Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Marriage Is a Hypocritical Institution Part 2, Kauli sifuti ng'o

Hivi mmeelewa au mmeamua kubisha tu?

Naona watu wanajibu kama vile wametukanwa.
Kwani Lara kasema hataki kuolewa kwa vile ndoa ni unafiki?
Au Lara kasema ndoa ni kisiwa cha mateso?
Au kashauri wasio na ndoa wasiingie kwa vile ni unafiki?
Kuna sehemu kaiponda ndoa kua waliomo wamepotea??
Naona wengi mnakuja na point ambazo binti wa watu hajaziongelea kabisa.
Bora usome taratibu... NO TIME LIMIT
Unawahi kuandika yako matokeo yake unakua kituko.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi.

Kweli kabisa aisee....Nimeamini watu huwa wanakurupuka sana...

Kwa mtu anayesoma kwa makini hii thread inaujumbekubwa mno.....Tatizo lingine ni kuwa watu wengi wamedandia treni kwa mbele..Wakasahau hii thread ni ya tatu yenye mtiririko kuanzia thread ya kwanza..
 
Hivi mmeelewa au mmeamua kubisha tu?

Naona watu wanajibu kama vile wametukanwa.
Kwani Lara kasema hataki kuolewa kwa vile ndoa ni unafiki?
Au Lara kasema ndoa ni kisiwa cha mateso?
Au kashauri wasio na ndoa wasiingie kwa vile ni unafiki?
Kuna sehemu kaiponda ndoa kua waliomo wamepotea??
Naona wengi mnakuja na point ambazo binti wa watu hajaziongelea kabisa.
Bora usome taratibu... NO TIME LIMIT
Unawahi kuandika yako matokeo yake unakua kituko.

Ndoa na iheshimiwe na watu wote na malazi yawe safi.
hata mimi nazidi kushanga jinsi wanavyo badilisha mjadala!
 
Well sipo kushabikia just said mind. ila I hope uliyosema yangekuwa hvyo bsi mna uhakika gani huyu Lara ni ke?..and kuwa ana maanisha?point inabaki kuwa tuna jadili linaloongelewa na tunayoyaona uku mtaani ni kweli yanatendka.kinachonishangaza ni kuwa Hawa wote wanaoshadadia ndoa iheshimiwe hapa uwa siwaoni kwenye threads za vitanzi tunavyofungwaga ma Mrs kuwa me lazma achepuke tupende tusipendee"",kaz zetu kufua na kulea raha Kwa vimada etc etc yaan uwa tunamvaa Lara sisi tuu vnatuuma kwelikwelii me wengiii wanashadadiaa"Leo kuwaita wanafkii kipi kiwakasirichashoo?
Ninayosema ni kweli kwasababu ni uzoefu wa kwenye ndoa yangu na si mambo ya kusikia au kusimuliwa na sizungumzii maisha ya mtu mwingine bali ni mimi na ndoa yangu, unlike lara 1

Sihitaji kujua kuwa mleta thread ni me au ke, ila maudhui ya ujumbe wa muhusika hayaendani na hali halisi kwani ayasemayo ni ya kusikia,kusimuliwa na hana hata chembe ya uzoefu huo...very sad.

Huko yanatendeka, huku hayatendeki...niko kwenye ndoa na sijapata karaha azisemazo huyu dada, sijawahi kuwaza kumtaliki mwenza wangu...hata nikiangalia marafiki zangu,ndugu zangu wako poa na familia zao...matatizo/mafarakano yapo...yes kuna sababu zipelekeazo ndoa kuvunjika lakini the bottom line is hayo yote hutokea pasipokutegemea,hata ukiwa mseja waweza kukumbwa na dhoruba hilo.

Fanya uchunguzi,washabikiao michepuko na kupinga utulivu katika mahusiano wengi wao wako single au wanajifurahisha tu kwa kuiga tabia mbaya-wanatupa karata zao za bahati ili waokoteze mipira iliyokufa,na wanawapataga.

Hayo ya kufulishwa n.k umeyasikia wapi,ukiona hivyo ujue mke mwenyewe amekubaliana na hali, mbona hata ma-bf,gf wanafuliana tu...kumfulia au kumpikia mwenza wako si tatizo (change that perception) ndoa ni hatua...wanaokurupuka hukutwa na hayo ambayo wewe na lara 1 mnayoona ni sahihi.

Tatizo lenu women wa aina yako wewe na lara 1 mmekuwa created or raised with unrealistic impression of what marriage is or is supposed to look like...ukienda na mawazo hayo utashindwa hata kuishi mwenyewe...lazima muwe na matumaini na kukubali mabadiliko (optimism).

Hata sikubaliani nanyi.
 
Last edited by a moderator:
lara 1 NINA SWALI MOJA TU..TAFADHARI NIJIBU..... ''HUWA UNAPATA KADI ZA MICHANGO NA MIALIKO YA HARUSI/KITCHEN PARTY NA SENDOFF????''...UNACHANGIA/KUHUDHURIA AMA TUPA KULE??..JIBU LAKO NI MUHIMU SANA(It may sound off topic)....
 
Ngoja na mie niseme yangu lara 1.

Kidogo na mie Biblia nimeisomapo. Tukianzia hapoo, yaani Biblia iko full kuelezea pande zote za shilingi.

Ukisema Ibrahim na Sara, upande mwingine wako Isaka na Rebeka.

Ukisema Hosea na Gomeri, wako Musa na Zipora.

Ukisema Daudi, yuko Esta.

Wako kina Ruthi na Boazi, Mariam na Yusufu, Elizabeti na mumewe. Kina Nuhu, Yusufu, Ayubu na wengine wengi ambao upande wa pili haujasemwa unaweza kuhisi hadi waitwe wema lazima walikuwa wako vizuri kwenye ndoa zao.

Ukiongelea kupenda, Samson na Yakobo, na Sulemani wanaonyesha chaguzi zilivyo ngumu.

Ukisema mwanaume hawezi kuwa mwaminifu ukijitetea kwa Suleiman, Daudi na Ibrahim wapo waseja Danieli, Eliya,Paulo watakuhukumu.

Mwanamke ukisema sitaweza vishawishi kwa reference ya Bethsheba au mke wa Potifa, wapo kina nabii Anna na Tamari watakushuhudia.

Kwa ufupi, dunia yako chaguo lako. Wote, waliochagua kuishi wenyewe au kuwa na ndoa mitikasi ni constant. Ukibahatisha hewala hewala, mkiamua kuwa kama Rebeka na Isaka sawa, pia kama Ahabu na Yezebeli ushirikiano utakuwa juu. Ole wao wapatao aina za Gomeri, Bethsheba, mke wa Potifa, Nabali, Daudi na Sulemani. Ukichagua unafiki, unafiki utaishi ndani yako ya moyo, ukichagua kusimamia show kama Abigaili na kwenyewe ni heri.

Ndoa ni entity isiyo na umbo kama maji. Kwa hiyo wewe kifaa ukiwa ovyo, itakuwa ovyo ukiwa poa itakuwa poa.

Upande wa pili, kwa kina sie tusiofaa ambao hatujakamilika na tungependa kukamilika ndoa ni mtihani mzuri wa kufikia ule utu kamili. Kwa kirefu, hakuna sehemu duniani ukalala na betrayer asiye ndugu yako na kesho ukamsaidia kupata mahitaji yake kwa roho moja eti mke wangu au mume wangu, what a love!
 
Last edited by a moderator:
Ninayosema ni kweli kwasababu ni uzoefu wa kwenye ndoa yangu na si mambo ya kusikia au kusimuliwa na sizungumzii maisha ya mtu mwingine bali ni mimi na ndoa yangu, unlike lara 1

Sihitaji kujua kuwa mleta thread ni me au ke, ila maudhui ya ujumbe wa muhusika hayaendani na hali halisi kwani ayasemayo ni ya kusikia,kusimuliwa na hana hata chembe ya uzoefu huo...very sad.

Huko yanatendeka, huku hayatendeki...niko kwenye ndoa na sijapata karaha azisemazo huyu dada, sijawahi kuwaza kumtaliki mwenza wangu...hata nikiangalia marafiki zangu,ndugu zangu wako poa na familia zao...matatizo/mafarakano yapo...yes kuna sababu zipelekeazo ndoa kuvunjika lakini the bottom line is hayo yote hutokea pasipokutegemea,hata ukiwa mseja waweza kukumbwa na dhoruba hilo.

Fanya uchunguzi,washabikiao michepuko na kupinga utulivu katika mahusiano wengi wao wako single au wanajifurahisha tu kwa kuiga tabia mbaya-wanatupa karata zao za bahati ili waokoteze mipira iliyokufa,na wanawapataga.

Hayo ya kufulishwa n.k umeyasikia wapi,ukiona hivyo ujue mke mwenyewe amekubaliana na hali, mbona hata ma-bf,gf wanafuliana tu...kumfulia au kumpikia mwenza wako si tatizo (change that perception) ndoa ni hatua...wanaokurupuka hukutwa na hayo ambayo wewe na lara 1 mnayoona ni sahihi.

Tatizo lenu women wa aina yako wewe na lara 1 mmekuwa created or raised with unrealistic impression of what marriage is or is supposed to look like...ukienda na mawazo hayo utashindwa hata kuishi mwenyewe...lazima muwe na matumaini na kukubali mabadiliko (optimism).

Hata sikubaliani nanyi.
Kwa hio TALAKA ZOOOTE MAHAKAMANI PIA UNREALISTIC, NA PSI UJIMBE WAO ULE AAAH UMEKOSEWA HAMNA ANAE CHEPUKA?, Na waume za watu manake hii pia YAHITAJI experience tunaowachunaa aaah ni unrealistic kabisaa, kila mume yuko kwa mkewe, na hkuna mtoto aliezaliwa nje ya ndo, MA KWELI MALEZI YA LARA 1 NDO YAMELETA YOTE HAYAAAA DUUUUUUUUUU!

Hahahaaaaaaaaaaaa! ALL YOU HAVE TO DO IS LOK AT THE STATISTICS sisi FINANCERS TUNASEMA UNATUMIA PAST DATA, KUFANZA HORIZONTAL ANALYSIS, NA VERTICAL ANALYSIS THEN UNA UNA PREDICT NA SPECULATE MOVEMENT YA FINANCIAL AU MONEY MARKET INSTRUMENTS.
 
lara 1 NINA SWALI MOJA TU..TAFADHARI NIJIBU..... ''HUWA UNAPATA KADI ZA MICHANGO NA MIALIKO YA HARUSI/KITCHEN PARTY NA SENDOFF????''...UNACHANGIA/KUHUDHURIA AMA TUPA KULE??..JIBU LAKO NI MUHIMU SANA(It may sound off topic)....

Inategemea tumeshibana vipi, nachangaa, ila baadhi najuuuuuta kuchanga coz maumivu hayajaisha watu washafungiwa virago tupo nao tena, wanangoja round 2, huku unaweza kuta mtu 24 keshaolewa ndoa 3! WE ARE NOT BUNCH OF HYPOCRITES IF ITS NOT WORKING WANARUDI TU, TUNAUNGANA UPYAAAAA! Na wasi wasi hatunaaa, 24 ndoa 3, watoto 2 kila mtu na babae! Mjini hapa! Ila mimi dini yangu hainiruhusu kufata culture!
 
Ngoja na mie niseme yangu lara 1.

Kidogo na mie Biblia nimeisomapo. Tukianzia hapoo, yaani Biblia iko full kuelezea pande zote za shilingi.

Ukisema Ibrahim na Sara, upande mwingine wako Isaka na Rebeka.

Ukisema Hosea na Gomeri, wako Musa na Zipora.

Ukisema Daudi, yuko Esta.

Wako kina Ruthi na Boazi, Mariam na Yusufu, Elizabeti na mumewe. Kina Nuhu, Yusufu, Ayubu na wengine wengi ambao upande wa pili haujasemwa unaweza kuhisi hadi waitwe wema lazima walikuwa wako vizuri kwenye ndoa zao.

Ukiongelea kupenda, Samson na Yakobo, na Sulemani wanaonyesha chaguzi zilivyo ngumu.

Ukisema mwanaume hawezi kuwa mwaminifu ukijitetea kwa Suleiman, Daudi na Ibrahim wapo waseja Danieli, Eliya,Paulo watakuhukumu.

Mwanamke ukisema sitaweza vishawishi kwa reference ya Bethsheba au mke wa Potifa, wapo kina nabii Anna na Tamari watakushuhudia.

Kwa ufupi, dunia yako chaguo lako. Wote, waliochagua kuishi wenyewe au kuwa na ndoa mitikasi ni constant. Ukibahatisha hewala hewala, mkiamua kuwa kama Rebeka na Isaka sawa, pia kama Ahabu na Yezebeli ushirikiano utakuwa juu. Ole wao wapatao aina za Gomeri, Bethsheba, mke wa Potifa, Nabali, Daudi na Sulemani. Ukichagua unafiki, unafiki utaishi ndani yako ya moyo, ukichagua kusimamia show kama Abigaili na kwenyewe ni heri.

Ndoa ni entity isiyo na umbo kama maji. Kwa hiyo wewe kifaa ukiwa ovyo, itakuwa ovyo ukiwa poa itakuwa poa.

Upande wa pili, kwa kina sie tusiofaa ambao hatujakamilika na tungependa kukamilika ndoa ni mtihani mzuri wa kufikia ule utu kamili. Kwa kirefu, hakuna sehemu duniani ukalala na betrayer asiye ndugu yako na kesho ukamsaidia kupata mahitaji yake kwa roho moja eti mke wangu au mume wangu, what a love!
Kuna oda imetoka mambo ya bible yasijadiliwe ndani ya hii mada! Mwenyewe nimefuta yote! Sorry its a bit late!
 
Daaaaaaah! Ngoja nilale wadau! Maana ubishani huu kwapa lote hoi kwa kutype! Kama nalipwaaaa!
 
Daaaaaaah! Ngoja nilale wadau! Maana ubishani huu kwapa lote hoi kwa kutype! Kama nalipwaaaa!

Jilalie mama, maana nyie msio na wakumweleza matatizo mnazeeka mapema sana. Tuache wenzio timeze piliton usingizi automatic, wewe mpaka ujichoshe ndo stress zikome ulale.
 
Jilalie mama, maana nyie msio na wakumweleza matatizo mnazeeka mapema sana. Tuache wenzio timeze piliton usingizi automatic, wewe mpaka ujichoshe ndo stress zikome ulale.

Kwa hio ulikuwa unasubiri nilale ndo uje? Hahaaa! Change of plans LEO FRIDAY NIMETOKA! Utalalje kama kuku mapema yote hii, ijumaa!
 
Kwa hio ulikuwa unasubiri nilale ndo uje? Hahaaa! Change of plans LEO FRIDAY NIMETOKA! Utalalje kama kuku mapema yote hii, ijumaa!

Lala1 unamkwara mdada ukimkuta mvivu wao kutumia a kiri yake kufikiri anaweza nadhani wewe ni genius but for those critical all thinkers atajua u'r around the Saddam ata sio G.bush unavyoshughulika kuandika kuandika uwezi kuwa umetoka mtu mwenyewe sellule ukiwa mwongo Jua kutunza kumbukumbu! Lastly u told us umetumia mud a mwingi ndani ukapata time ya kutustudy wanaume wjf mpaka ukamchagua matola. Wewe ni mgonjwa mikiki ya ndoa huiwezi wewe kaa mbali na married but bado matatizo yapo tu.
 
Debate hi haita reach conclusion mana kila mtu na mtazamo.wake anavo perceive issues na ku tackle kila cha msingi kila mtu afanye anachoona chema machoni pake mwenyewe mwingne anaweza kuona kitu hiki kizuri wakati mwingne anakiona kibaya
Sio kweli mkuu, hauwezi kusema mboga hii haina chumvi wakati haujaionja na wala ww sio mpishi
 
socrate daughter!

excellent point, na usipokuwa na nauli ya kuingilia humo basini, usitukane waliofanikiwa kuingia kwa kuwaita wanafiki na wasio maana...

Kama vipi tafuta basi jingine hata kama jua linaelekea kuzama, utafika tu hata kama ni usiku wa manane....

Huyu amezoea kuzamia, akikutana na meli ya mgiriki atanyongewa baharin
 
lara 1, mwisho wa (risala) yako hujatuambia mtazamo/mapendekezo yako ni yapi kuhusu chapisho lako, kama ilivyo kazi ingine ya fasihi nilitazamia mwandishi kumaliza kutoa opinion yake... Watu wasioane? Waoane? Au wafanye nini? (japo utawahi kujitetea neno lako sio sheria)

hamna mtu anaesafiria nyota yako, except nahisi utaanzisha thread ingine ili kukwepa nyota yako kusafiriwa
 
Last edited by a moderator:
life is more than marriage.... its just a matter of play your card well...ndoa imesababisha mengi humu duniani mabaya na mazuri .... any way we are waiting kwa hao amabo wanaushuhuda mzuri na mbaya pia

Ni kweli life is more than marriage lakini marriage is one way to life....hivyo kwa watu ambao wanaona hiyo ndo njia yao to life, nyie ambao hamuioni kwanini mnataka kuwakatisha tamaa? Hatukatai dosari hazikoseni kwenye ndoa, lakini mnautoa wapi uweledi wa kujifanya ndo makungwi wa kuzijua hizo dosari wakati hampo kwenye njia hiyo?
 
Wewe ndo unachanganya!

Turudi unakochanganya wewe

KWANINI MTU AVUMILIE. KITU? NA KWANINI UFANYE KITU SI CHA KUMFURAHISHA MWENZIO KIMFANYE AVUMILIE? UNAFIKI WA MTU MMOJA NDO UNALETA UVUMILIVU KWA MWENZIE! Na kitendo cha kuvumilia kujifanya umeridhika na kitu ama kile kitu kinachofanywa na mwenzio japo shubiri unajionesha uko poa tu pia ni UNAFIKI haijalishi unafanya kwa sake ipi.

UNAFIKI UNALETA MACHUNGU AMBAYO HUSABABISHA UVUMILIVU!

Exactly sehemu zingine hawafanyi dressing kuwa HALI NI TAMBARAREEEE! Wanakubali WAZI mahusiano ni changamoto! Kwa kukubali huko wazi kunawaondoa kutoka sifa ya BUNCH OF HYPOCRITES!

Kwa point hii upo nje kabisa ya principles za mahusiano yoyote yawe ya kijamii, kiuchumi hata kisiasa. Mahusiano yoyote kuna ku-compromise na element kubwa ya ku-compromise ni kuforego or lower down your interest na kukubaliana na interest za second part then you establish the balance. Hii kwa kifupi ni kuvumiliana ili mtengeneze mutual relations. Ipo kila sehemu kwenye business, transanctions, political relations, social relations etc. Sasa kama ikitokea kwenye ndoa unaiita hypocrisy wakati wewe mwenyewe ni principle ambayo haipiti siku umeitumia in other contexts then you are eating your back!
 
Back
Top Bottom