bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Kujitesa huko mi naona.....adhabuyake ndo hiyo kung'ang'niwa, ungekuwa na mmoja hayo yangekupata wapi??Nomba nimsemee!mimi ndio yeye!
USIENDELEE PLZ,Ikiwezekana ukawatambulishe kwa my waifu wako ili awe mlinzi yeye mwenyewe.Utachoka muda si wako,unakwenda mileage za ziada ww zaidi ya Mungu alizokuumbia.
seriously kuwa mbogo hapo vinginevyo utaitia ndoa yako changa dosari kubwa mno.