MARRIAGE IS ALMOST HERE,but kazi za nje hazitaki kuelewa!NIENDELEE AU NISIENDELE NAO?

MARRIAGE IS ALMOST HERE,but kazi za nje hazitaki kuelewa!NIENDELEE AU NISIENDELE NAO?

Nomba nimsemee!mimi ndio yeye!
USIENDELEE PLZ,Ikiwezekana ukawatambulishe kwa my waifu wako ili awe mlinzi yeye mwenyewe.Utachoka muda si wako,unakwenda mileage za ziada ww zaidi ya Mungu alizokuumbia.
Kujitesa huko mi naona.....adhabuyake ndo hiyo kung'ang'niwa, ungekuwa na mmoja hayo yangekupata wapi??

seriously kuwa mbogo hapo vinginevyo utaitia ndoa yako changa dosari kubwa mno.
 
Kujitesa huko mi naona.....adhabuyake ndo hiyo kung'ang'niwa, ungekuwa na mmoja hayo yangekupata wapi??

seriously kuwa mbogo hapo vinginevyo utaitia ndoa yako changa dosari kubwa mno.
kwa hiyo niachane nao?
au niendelee?
hujasomeka mpwa....
 
kwa hiyo niachane nao?
au niendelee?
hujasomeka mpwa....

hutaki tu kunisoma mpwa na ni ukaidi wako huo siku zote.....nimesema kuwa mbogo (the animal u knw wat i mean)

Stooooooooooooooooooooop intertaining that nonesense oooooooooooh!!!

u have to have a session with Nguli
 
hutaki tu kunisoma mpwa na ni ukaidi wako huo siku zote.....nimesema kuwa mbogo (the animal u knw wat i mean)

Stooooooooooooooooooooop intertaining that nonesense oooooooooooh!!!

u have to have a session with Nguli
Na mwana mkaidi hafaidi mpaka siku ya idi,Shaurilo shem,usije kutuwekea thread ya kuomba ushauri tena hapa.tutakurefer hii thread
 
Wamimine, what is kipingamizi? unless ulioa au kuzaa ndio hapo uogope lakini vinginevyo u have the last say, akili kumkichwa.
 
Mkuu ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni...! Don't worry, just calculate!
 
Mh sijui! Ila kunaonekana kuna "something fish.....". haiwezekani mtu akakwambia tu kuwa nitaweka pingamizi!? lazima kuna kitu,ahadi au chochote.....we kumbuka tu katika hiyo pitapita yako ulifanya/sema nini!
Na hebu jiweke kwenye nafasi yao,
vaa hivyo viatu vyao......
mtu ulikuwa naye siku zote,ghafla anakwambia "achana na mimi nataka kuoa?!?". Kwako ina-make sense? Je wewe ndiye ungekuwa umeambiwa uachane na hao/huyo dada anaolewa,ungesemaje?
 
kazi za nje zinapaswa kuelewa kwamba sasa umeamua kufanya kazi uipendayo tena unataka kufanya kihalali,wakati mwingine ni lazima wengine waumie ili maisha ya wengine yakamilike,dunia ndivyo ilivyo.wanapaswa kufunga virago kutafuta mbuyu wa kuishi,ndo umeshaamua na liamuliwalo na moyo halitibiki kwa pingamizi,hata ukiamua kurudi mambo hayatokuwa sawa,ni mbele kwa mbele................ila kuwa makini kila mla kuku wa mwenzie miguu humuelekea...baadae ukiambiwa sasa ndoa imekwisha na wewe uelewe mapema!
 
We Geof, acha utani kabisa.Hebu wamwage wote and concetrate on your upcoming marriage.
 
hahaha hawa mabinamu eti unagombana na mmeo unawaomba ushauri hahaha mnanichekesha nyie
haya endeleeni

Tena kama ndo huyu shemeji Iribini wala usijaribu atakupotosha tena kwa makusudi huyu!!!

FL yakikupata mabinamu wengine wa ukweli wapo kukushauri anza na Nguli....nashangaaaa yuko wapi kuokoa jahazi la Goeff OMG!!!
 
Waweke pingamizi kanisani uliwaoa au umezaa nao?! Hujataka tu mpwa kuachia mfupa wa jirani wakati ng'ombe mzima unaye ndani

Umesema yote mamii.....He is just trying to pull our legs.

Geoff ndugu, kweli umefanya maamuzi au unatujaribu?
 
Umesema yote mamii.....He is just trying to pull our legs.

Geoff ndugu, kweli umefanya maamuzi au unatujaribu?
hapa nimeamua mam'aa!usinione hivi yaani NIMEDATA KWA MAWAZO
 
Hahaha! Kama ni hivyo, whats the problem then? Umeshasahau umuhimu wa nyumba ndogo? I thought wanataka kukuwekea pingamizi. Kama ni hivyo mpwa we oa afu endelea kutoa huduma. Sioni tatizo hapo! Najua mabinti watanisonya hapa lakini mpwa utanigongea SENKSI! And you will mean it ofcourse!


mmmmmmmm yaani huu ndio ushauri unutoa kwa mwenzako kweli kiyama kishashuka! huyo ZD na akutose kabisa!!! LOL
 
mmmmmmmm yaani huu ndio ushauri unutoa kwa mwenzako kweli kiyama kishashuka! huyo ZD na akutose kabisa!!! LOL
he he he!
mama unataka ampige chini mwenzio ili wewe UKAVE NAFASI?
 
kazi za nje zinapaswa kuelewa kwamba sasa umeamua kufanya kazi uipendayo tena unataka kufanya kihalali,wakati mwingine ni lazima wengine waumie ili maisha ya wengine yakamilike,dunia ndivyo ilivyo.wanapaswa kufunga virago kutafuta mbuyu wa kuishi,ndo umeshaamua na liamuliwalo na moyo halitibiki kwa pingamizi,hata ukiamua kurudi mambo hayatokuwa sawa,ni mbele kwa mbele................ila kuwa makini kila mla kuku wa mwenzie miguu humuelekea...baadae ukiambiwa sasa ndoa imekwisha na wewe uelewe mapema!


Love this...justice for one is injustice for another....
 
he he he!
mama unataka ampige chini mwenzio ili wewe UKAVE NAFASI?

Ahahahhahah Xspin wacha abakie kuwa shemeji tu.....simuwezi mie! hata aongezewe cherry juu.LOL😀
 
Back
Top Bottom