Marriage is an outdated concept

Una uhakika kuwa hajawaambia??

Hili ni suala la kijamii,halihusu baba,mama wala dada,linawahusu wanajamii wote,hao dada zake na shangazi zake yeye hawezi kuwaoa.

Hivyo ana haki ya kuwasilisha jambo hili kwenye jamii ili jamii ijifunze.
Achana nao hao hawana hoja. Wanajaribu kufanya bullying kwenye weak spot. Wakijua wakileta ndugu zangu kwenye mjadala itanichoma moyo
 
Mbona ndio ilivyo? Kuwa ukioa na mali zako unazo basi hazimuhusu muolewa katika mgao.

Ondoa neno shinikiza weka kubaliana, Ukisema kila kitu kiwekewe sheria unajua ni wapi unaelekea?

Ndoa ni kwaajili ya watu watu wazima wawili waliokubalina kuoana. Tupewe sheria na ya kunanilii basi! ๐Ÿ˜‚
 
Mbona karibia wote ni hivyo. Ukitafiti utajua. Mwanamke anapata pesa akitumia mwanaume atajulishwa na itabidi amrejeshee kama deni au mkopo.

Ila pia wanawake huwa wana matumizi yao ambayo ndio pesa yao wanayofuta huwa inakwenda huko.
 
Mkuu matatizo binafsi yapo kila upande na pale mnaposhindwana basi mnaachana tu tatizo linakuja utaratibu upoje baada ya kuachana? Hapo ndipo unaona sheria ya ndoa ipo outdate kumbuka hapa sipingi mahusiano ya kimapenzi baina ya mwanamke na mwanaume ambacho sikubaliano nacho ni ule mkataba wa ndoa mnaotakiwa kuusaini. Mnapoingia kwenye ndoa mara zote thamani ya mwanaume kiuchumi inakua juu kuzidi thamani ya mwanamke kwaiyo automaticaly mwanaume atakua na mchango mkubwa kiuchumi sasa kwann mali zigawanywe. Wewe uza range rover yako mimi nauza bajaji yangu halafu tuchanganye hela za mauzo tugawane pasukl kwa pasu je utakubali?
 
Mbona karibia wote ni hivyo. Ukitafiti utajua. Mwanamke anapata pesa akitumia mwanaume atajulishwa na itabidi amrejeshee kama deni au mkopo.

Ila pia wanawake huwa wana matumizi yao ambayo ndio pesa yao wanayofuta huwa inakwenda huko.
Na ninyi waume zao mnafurahia hilo suala?

Kwahiyo umeona tatizo lilipo?
 
Suala sio makubaliano suala ni usawa katika hayo makubaliano. Baada ya ndoa kuvunjika kila mmoja achukue mali ambayo ina jina lake kama mmiliki yaani umemkuta mtu tayari ashajiwekea misingi ya kukua kiuchumi halafu uko mbeleni mali zigawanywe sio sawa.
 
Ndoa
_____

Sio kila mwanaume anaweza kuoa na sio kila mwanamke anaweza kuolewa"....marriage is not for everyone" kwani si kila anayeonekana mwanaume ni mwanaume & mwanamke ni mwanamke .. nisiingie in details.



..kuoa/kuolewa na kuishi kwenye ndoa yenye amani ni ndoto ya kila mwanaume na mwanamke anayejitambua na anayejua anataka nini hapa duniani.

Wanaume tunapoowa hatutakiwi kufikiria kuachana na vijimali vyetu vya hapa na pale ......hiyo ni ajali km ajali nyingine, haina kinga...ni km unaponunua gari hautakiwi kufikiri kuhusu ajali na kusema "kataa kumiliki gari".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ