Marriage is an outdated concept

Okay, nina maswali kwako?

1. Nini kitatokea kama wanawake watagomea wanaume kulala nao hadi tu pale watakapojicommit kwa familia zao kwa kuja na wazazi wao kutoa posa na kuoa kihalali, je wanaume wakikutana na huo utaratibu watapata vipi mwanamke wa kufanya nae mahusiano ya kingono nje ya ndoa?

2. So katika haya maelezo yako yote umefanya assumption kuwa mwanamke hana akili wala ufahamu wa kutambua umuhimu wa bikra yake mwenyewe katika kuanza maisha na mwanaume, why aiweke rehani akijua thamani yake, so wanawake hajui thamani ya bikra?

3. Kama una assume wanawake hawajui thamani ya Bikra then nikuulize je ni sahihi pia kwa mwanaume kutojua wajibu wa kujali na kumtunza mke wake atakae muoa? Kama umeweza kumpa mwanamke pass ya kutothamini kitu kinachompa thamani muhimu kama mke wa mtu then automatically unaopia uhalali wa kuassume ni sahihi kwa wanaume wote kupewa pass au kukaushiwa kama wanafeli majukumu yao kwa makusudi, si ndio?

4. Umezungumzia swala la wanaume kutongoza mabinti kama ndio sababu ya mabinti wa kisasa kutokuwa na bikra na kutozitunza, nikuulize mama zetu na bibi zetu unadhani walikuwa hawatongozwi miaka hiyo, haukusikia story zao wakihadithia namna waliwakwepa babu zetu kwa sharti kuwa wakapose kwanza makwao ndipo mengine yataendelea haujawahi sikia hizo story, je swali langu kwako, unahisi ni wanaume wameshusha standards zao kama wanaume au ni wanawake wameacha kusimamia misimamo itakayolinda utu wao kwa wanaume na kuwaandaa kuheshimiwa katika ndoa kama wanawake wanaolinda miili yao?

5. Unajua kwamba kwa wastani miaka hii binti wa kisasa kati ya umri wa miaka 16 hadi 25 huwa ndoa kwake ni kosa, yaani ukimwambia nataka nikuoe na ukiwa tayari kwa kufanya hilo jambo basi atakukataa kwasababu mbali mbali kama kujiona bado mtoto kwa ndoa, shinikizo la wazazi kuwa asome kwanza mahusiano ni baadae, ulimbukeni wa uhuru wa kujiachia umri wa usichana ili watumike kwanza sababu soko la ngono linawaita sana, wanaume wa rika lao wanakuwa bado hawana pesa na mali hivyo kuolewa nao ni kujifunga na maisha ya usichana na kupitwa na fursa nyingi za kujipatia mali.

Je, swali langu, ni nani huwa anamkataa mwenzake katika umri wa miaka 16 hadi 25 kati ya binti ambaye ndio anachanua au kijana ambae bado ndio anajitafuta anauwezo wa kumudu vitu vidogo sana ila maisha ya kuishi pamoja na mke anaweza kujikongoja ,tuongee ukweli, Mwanamke katika umri huo masharti yake ili umuoe uishi nae kama mke na tamaa yake ya kuolewa huwa inakuwa sawa sawa na akifika kuanzia miaka 28 hadi 30+ huko? [emoji848][emoji848][emoji848]
 
Kuna mkaka leo katoka kuniambia anataka kunioa[emoji1]
Unajua nikamjibu nini? 'Bado niponipo kwanza'
@Jadda njoo usome hapa, mtu anataka kuoa anajibiwa "bado nipo nipo kwanza". Sasa kwann nisimtafutie ela ya simu mpya, saloon na kitimoto ili anipe hata nafasi ya kumkula tu kisha nitemane nae.
 
Mwisho wa kua na soko ni miaka mingapi?
Ukifika kati ya 28 na 30 soko lako la kuolewa linashuka kwa kasi sana. Ila soko la ngono linapanda yaani utakuwa ni mdoli wa ngono. Hadi ukongoronyoke.

Si unaona Kajala na akina uwoya, mbona hawaolewi na ni wanawake, ukisikia ndoa ni ndoa tu ya mtu anataka uwe malaya wake wa kuweka ndani ila hautakuwa mke kama mke yule wa kuheshimiwa na kukubalika kama mke wa mtu.

Kwa ground game ni ngumu sana huwa nawaonea huruma sana mabinti wanaofarijiana eneo la ndoa bila kujua kuwa mambo huwa yanawabadilikia huku juu.
 
Nitachangamka nikifika 25, sasa hivi badobado
 
@Jadda njoo usome hapa, mtu anataka kuoa anajibiwa "bado nipo nipo kwanza". Sasa kwann nisimtafutie ela ya simu mpya, saloon na kitimoto ili anipe hata nafasi ya kumkula tu kisha nitemane nae.
Aisee! Mimi nina mipango yangu, na ndoa ni mpango wangu wa 3
Wa kwanza hata bado sijaumaliza nikarukie ndoa..kisa tu mtu anataka kunioa sasa hivi big No..

Yeye anataka kuoa sababu kakamilisha mipango yake.. Vipi kuhusu mipango yangu?? Siwezi kujisahau kisa ndoa
Nikamilishe yangu ili hata nikiingia kwenye ndoa naenda kuitumikia bila kua na stress ya mipango mingine.

Ndoa sio kitu cha lazima ila ni muhimu!!!!
 
Kubwa linaloangaliwa ni :-
1. Value ya muda wake aliopoteza akiwa na wewe.
2. Utulivu wa akili aliokupa mpk ukaweza kupata pesa na kupanga mipango ya kimaendeleo.
3. Utu aliokuonesha.

Thamani ya hivyo vitu 3 ni kubwa mno, hailipiki. Ndiyo maana mahakama huwa inaamua tu kwamba mgawane mlivyo navyo
 
Ningekuwa sijaoa haki ya nani nisingeoa kamwe.
Wanawake wa siku hizi hawana haiba za waifu materials wameharibiwa na mitandao ya kijamii CONTENT CREATORS wanawafundisha kulipa kisasi ,nyimbo za kizazi kipya zinawafundisha UKINICHIT NAKUCHIT ya nini tumiizane roho unakuta nyimbo inaimwa na mke wako eti SIKU HIZI HAKUNA MAHABA MAPENZI YA MKATABA bado ukienda Tik Tok mkeo analetewa video ambazo anapenda zaidi kuzisikiliza kama za kupambana na mwanaume ndo anazilike basi Artificial intelligence ya mitandao ya kijamii humsogezea mavideo yanayofanana na hizo akili zake.
Zamani nilijua ukioa una uhakika wa uchi kumbe tena kuna kunyimwa
 
Kama kuna watu sio waoaji hamaniishi ya kwamba ni sawa kwa waoaji wakandamizwe na sheria husika. Suala ni sheria kuwekwa katika mzani sawa iwe kwa muoaji na ambae sio muoaji ili ikitokea kutengana na mwenzake kuwe na fair playing ground.
Kenya tayari wamefanyia amendment sheria ya ndoa yao.
 
Jaribu mwalimu ila kwa nesi usijaribu ni hatari sana kwako
 
Safi sana umeongea vyema
 
Tatizo liko kwenye hiyo mipango. Wadada wengi unakuta anasema siolewi mpk nikamilishe mipango yangu lkn ukimchunguza utakuta hicho anachokiita mpango kiko centred kwenye kuitumikisha k.

Yaani unakuta ana biashara ndogo ama kazi ya kawaida ambayo haimpi nafasi ya yeye kujenga future yoyote. Ili apate kiwanja, gari, ama kuikuza biashara yake lazima ampate sponsor aitafune k.

Mwisho wa siku mdada kama huyu anakuwa anadanga na anachakaa kihisia, kiroho, kimwili na kijamii kuliko aliyeko kwenye ndoa.

Kwahiyo nasisitiza uwe na mipango inayokupa thamani kama mwanamke, siyo mipango inayokupa uhuru wa kudanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…