Marriage is not for everyone

Marriage is not for everyone

Ok well because you narrate in English let me advice you in English because it's my mother tongue...

The marriage needs perseverance, a lot of women they enter in a marriage as a trial. When they meet something devestating they run away, they have a lot of expectations in a marriage....

Listen, raise your child well, don't ever call or chat or texting your wife just focus with life, think positive, find a concubine just to fulfill you libido sometime it happen but don't expect too much from a women...

Best of luck welcome again.
Indeed this must be your father tongue not your mother as you said.Very sickening English.
 
Yaani una kingereza kizuri hivyo alafu unaachika
 
Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi. Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?


Back in September 25, 2022!

Kwanza tujue mke aliyekimbia ni mzazi wa mtoto mmoja kati ya hao au ulimuoa aje kulea watoto watatu uliozaa na wanawake tofauti?!
 
Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi. Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?


Back in September 25, 2022!

Kwanza tujue mke aliyekimbia ni mzazi wa mtoto mmoja kati ya hao au ulimuoa aje kulea watoto watatu uliozaa na wanawake tofauti?!
15369ec868b2a2a69358d14d8b33dcd8.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ka English kamenyooka.. Pole sana usikate tamaa huenda ukapata mwingine akakupa furaha zaidi.
 
Namshukuru Mungu kwa kuendelea kunikirimia pumzi ya uhai na afya njema. Nina miaka 37 lakini jambo linalo nikosesha amani kila wakati ni watoto wangu watatu. Kila mmoja ana mama yake. Jamii yangu wakati mwingine hunichukulia kama mhuni hivi. Jambo hili huwa linaniumiza sana. Nafikiria issue ya kuoa haina maana tena. Wenzangu wenye hali kama hii mnaweza ku-handle mazingira kama hayo kwenye jamii zenu?


Back in September 25, 2022!

Kwanza tujue mke aliyekimbia ni mzazi wa mtoto mmoja kati ya hao au ulimuoa aje kulea watoto watatu uliozaa na wanawake tofauti?!
I must clarify that while I confess to being the author of the aforementioned thread, it is not entirely accurate to say that I have three children. To be precise, I have two children, from different mothers. Furthermore, it is important to note that one of these children belongs to a divorced woman.

Allow me to explain the intention behind my actions. The reason I posted that thread was solely to solicit public opinions and gather diverse perspectives on a particular matter. You, know, Engaging in discussions with individuals who hold differing viewpoints can often lead to a more comprehensive understanding of a given topic.


It is crucial to understand that the intention behind soliciting public opinions was not to exploit or manipulate others but rather to foster a more informed and well-rounded understanding of the topic under discussion. By deliberately introducing certain details, I aimed to encourage a wider range of perspectives that would contribute to a more enriching and comprehensive debate.
That is that!
 
I must clarify that while I confess to being the author of the aforementioned thread, it is not entirely accurate to say that I have three children. To be precise, I have two children, from different mothers. Furthermore, it is important to note that one of these children belongs to a divorced woman.

Allow me to explain the intention behind my actions. The reason I posted that thread was solely to solicit public opinions and gather diverse perspectives on a particular matter. You, know, Engaging in discussions with individuals who hold differing viewpoints can often lead to a more comprehensive understanding of a given topic.


It is crucial to understand that the intention behind soliciting public opinions was not to exploit or manipulate others but rather to foster a more informed and well-rounded understanding of the topic under discussion. By deliberately introducing certain details, I aimed to encourage a wider range of perspectives that would contribute to a more enriching and comprehensive debate.
That is that!
Nimejifunza vitu vingi sana Kaka. Na lengo la kupost uzi huo umeeleweka vizuri sana kaka. Kikubwa tu umtangulize Mungu akupatie hekima ya kuwalea watoto wako vizuri. Lakini pia usisahau kujiangalia mwenyewe kiafya na kiroho na kimwili.

May God bless you Brother.
 
I must clarify that while I confess to being the author of the aforementioned thread, it is not entirely accurate to say that I have three children. To be precise, I have two children, from different mothers. Furthermore, it is important to note that one of these children belongs to a divorced woman.

Allow me to explain the intention behind my actions. The reason I posted that thread was solely to solicit public opinions and gather diverse perspectives on a particular matter. You, know, Engaging in discussions with individuals who hold differing viewpoints can often lead to a more comprehensive understanding of a given topic.


It is crucial to understand that the intention behind soliciting public opinions was not to exploit or manipulate others but rather to foster a more informed and well-rounded understanding of the topic under discussion. By deliberately introducing certain details, I aimed to encourage a wider range of perspectives that would contribute to a more enriching and comprehensive debate.
That is that!
Lazima nifafanue kwamba wakati ninakiri kuwa mwandishi wa thread iliyotajwa hapo juu, si sahihi kabisa kusema kwamba nina watoto watatu. Kwa usahihi, nina watoto wawili, kutoka kwa mama tofauti. Zaidi ya hayo, ni muhimu kutambua kwamba mmoja wa watoto hawa ni wa mwanamke aliyeachwa.

Niruhusu nieleze nia ya matendo yangu. Sababu niliyotuma uzi huo ilikuwa ni kutafuta maoni ya umma tu na kukusanya mitazamo tofauti juu ya jambo fulani. Unajua, Kushiriki katika majadiliano na watu ambao wana mitazamo tofauti mara nyingi kunaweza kusababisha uelewa mpana zaidi wa mada husika.

Ni muhimu kuelewa kwamba nia ya kutafuta maoni ya umma haikuwa kuwanyonya au kuwadanganya wengine bali kukuza uelewa wa kina wa mada inayojadiliwa. Kwa kuwasilisha maelezo fulani kimakusudi, nililenga kuhimiza mitazamo mipana zaidi ambayo ingechangia mjadala wenye manufaa zaidi na wa kina.
Hiyo ndiyo hiyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejifunza vitu vingi sana Kaka. Na lengo la kupost uzi huo umeeleweka vizuri sana kaka. Kikubwa tu umtangulize Mungu akupatie hekima ya kuwalea watoto wako vizuri. Lakini pia usisahau kujiangalia mwenyewe kiafya na kiroho na kimwili.

May God bless you Brother.
Amen,,,May you be blessed too!
 
mara zote ukitafuta mke hali hii hutokea..lakini ukikutanishwa na mke utaishi vizuri na mkeo/ mumeo..

wengi mnatafuta badala ya kukutanishwa......
bible imeweka wazi kabisa kwa si kila mtu ni wa kuoa au kuolewa...

.NB: mke kukimbia na vitu vya ndani na kuacha watoto wake alowazaa...inafikirisha..
leo unajuta na kuumia lakini yawezekana huko nyuma kabla hajatimka ulikuwa baba na sio mume.....
Wanawake wa sasa shughuli kuondoka na vyombo vyote vya ndani baadae nakuanza majuto kutaka kurudi kumbe kishacherewa🤣🤣
 
I have come to realize that marriage is not for everyone, and I have accepted that it may not be the right path for me. After going through multiple relationships and experiencing heartbreak, I have learned that trust can be fragile and love can be fleeting.

Being a father to my two children has shown me the true meaning of unconditional love and responsibility. My daughter, Mercy, brings me immense joy, and watching her grow into a beautiful young girl has been a blessing. My son, Seth, is a constant reminder of the commitment and sacrifice required to be a parent. Despite the challenges I have faced, my children are the light in my life.

Last year was one of the toughest periods of my life. My wife, whom I had trusted and loved deeply, betrayed me by running away with everything I had worked hard for. It was a devastating blow, both emotionally and financially. I felt broken and lost, unsure of how to pick up the pieces.

However, I refused to let despair consume me. I fought courageously to rebuild my life and find happiness within myself. I sought therapy to help heal the wounds and regain my self-worth. Slowly but surely, I started to overcome my depression and regain a sense of purpose. Thanks to Brother Mshana Jr. and others who were there for me during that difficult moment. May God bless you abundantly ♥️

As I reflect on my journey, I have come to the realization that marriage is not the sole definition of happiness and success. It is not the only path to fulfillment. I have learned to find joy in other aspects of my life – my career, my hobbies, and most importantly, the love I have for my children.

I have accepted that I may not have achieved everything I had hoped for at this age, but I am grateful for the strength and resilience I have developed. I have learned to prioritize my own well-being and happiness, for the sake of myself and my children.

While marriage may no longer be my interest, I am open to the possibility of finding love and companionship in other forms. Perhaps, in time, I will stumble upon a meaningful and fulfilling connection that aligns with my values and aspirations.

For now, I am focusing on being the best father I can be and building a life that brings me purpose and contentment. I am Vintage, a man who has learned that true happiness lies in embracing oneself and finding joy in the journey of life, regardless of societal expectations.
Dah!....pole Sana.....
 
Back
Top Bottom