Haya Sasa wafuasi wa kataa NDOA
Mwamba katuwakilisha vyema kabisa
Back to topic
Bro pole Sana kwa mapito hayo yes ndoa sio ya Kila mtu though you learned it in a hard way, lakin huwezi mchagulia mwalimu njia ya kukufundishia
Kilichokutokea wewe sio wa kwanza na Wala sio wa mwisho na ni vice versa nadhani ushawahi sikia wanawake wanatelekezwaeee na waume zao na maisha yanaendelea but when it comes to a women leave her man and run away huwa inawaumaeeee poyeeee
I love the last statement kuhusu wanao MaashaAllah
Wekeza kwa wanao na mapenzi ya kweli pia yapo sana tu sema ulipata mtu ambae sio sahihi kwa wakati sahihi
Kuhusu
Mshana Jr huyu baba mungu amuweke tu uhai mrefu he mean alot to me