Married But Available itanimaliza ,ushauri wenu wadau....

..... Loneliness is very bad. Upweke nadhani ni girisi shetani anayotumiaga kutulainisha tuingie dhambini.

Yaani unaikanyaga unateleza fwiiiiiiiiii ukija kustuka, you are in so deep. Kwako unapataka na huku ulipojiingiza full kunoga.

It's easy kuwanyooshea vidole hawa akina mama na kusema ni pepo wa ngono.... ama walikuwa wanatafuta sababu ya kuwa mbali na waume zao ili wafanye uzinzi. But its not true.

Tunarudi pale pa kuepusha mitego shetani anayoweka.... Na kuuepuka upweke. Wanandoa wazidishe ukaribu hasa wanapokuwa mbali. Video chat, visit each other as often as possible..... And pray hard.

Binafsi nikimuona mtu afu niskie mapigo ya moyo kama yameshtuka afu yanataka kupiga ka beat flani ka trap huwa nasema fasta "Auzubillah"

😎😎
 
Na mkewe pia kule anakwanguliwa vilevile. Hii wazee Wa kubet tunaita BOTH TEAM TO SCORE AND GOALS OVER 3.5 ....
Inatia uchungu sana kugongewa aisee... lakini nafikiria kama nikiacha kuchoronga huku bado mke wangu anaweza kuwa anachorongwa na wanaume wa Dar....kwa hiyo huwa inabidi niendelee kumgonga kwa hasira tu
 
Kazi ipo na hizi ndoa walah.
 
Ni kweli kabisa mkuu wife wako naye huku Dar anakung'utwa tena kushinda hata wewe unavyokula wa mwenzio

Ninavyoona haya mambo huku Dom napata hasira sana....yaani naona kabisa nat...ombewa mke wangu...ila sababu sina jinsi na huyu mwanamke namkaza hasa...ila namtafuta huyo mbaya wangu wa udi na uvumba...kuna mitego nimeshaanza kuiweka...mtasikia
 
in theory yes but not in practice
 
Pombe haijawai kumuacha mtu salama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…