Kenya 2022 Martha Karua ateuliwa kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga

Kenya 2022 Martha Karua ateuliwa kuwa mgombea mwenza wa Raila Odinga

Kenya 2022 General Election
So kamuiga Rafiki yake JPM kumteua Samia, ndio kusema kwamba naye Raila hata maliza miaka yake ya utawala?
Hii ni fikira ya upuzi sana. Hapa Kenya wagombea wengi wamewai chagua wanawake kama wagombea wenza ila hawakushinda. Na pia wanawake wengi wamewai gombea urais akiwemo huyo huyo Martha Karua ila hawakufanikiwa. Yani Mtanzania akikuona ukipumua atasema eti umemuiga. 🤣 🤣
 
Wakenya nao siku hizi wanachezewa tu,
Huyu odinga hii ni mara ya ngapi?
Halafu hivi kenya hakuna wanasiasa waislamu?
Mbona wamepoa sanaaa
 
Akizungumza katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kenyatta, Bw Odinga alimsifu Bi Karua kwa bidii na rekodi yake ya haki za binadamu.

"Nilimhitaji Joshua wa kweli kwenye kando yangu, ambaye hatakuwa koti la ziada. Baada ya kutafuta na kutafakari, pamoja na mashauriano, nimefikia uamuzi kwamba anayeshikilia nafasi hii lazima awe mwanamke," Bw Odinga alisema.

Bw. Raila Aliongeza: "Ofisi ya Naibu wa Rais ni ofisi mbayo haiwezi kushindana na urais. Anayeshikilia wadhifa huo lazima awe mfanyakazi mwenza

---
Azimio la Umoja One Kenya presidential flag bearer Raila Odinga has named Narc-Kenya leader Martha Karua as his running mate.

Speaking at the Kenyatta International Convention Centre, Mr Odinga praised Ms Karua for her zeal and human rights record.

"I needed a true Joshua on my corner, one who will not be a turn coat. After along search and reflection, together with consultation, I have arrived at the decision that the holder of this position must be a woman," Mr Odinga said

He added: "The office of the DP is a workshop which cannot compete with the presidency. The holder must be a co-worker"

After reviewing the committee report I have nominated Stephen Kalonzo Musyoka as the Chief Cabinet Secretary to help me form the Azimio government.

"I also nominate Kenneth Marende as the speaker of the senate. I also nominate Oparanya as CS for Treasury," he said.

Mr Odinga also proposed Mr Peter Munya as CS Agriculture and Mombasa Governor Hassan Joho as CS for lands, to deal with the land issues especially at the coast.

In her acceptance speech, Ms Karua said she was happy to deputize Mr. Odinga, congratulating her other running mates hopefuls.

"I am deeply honored by the decision to nominate me as the deputy president of the coalition. i am aware of the responsibility and this nomination is a collective honour that cannot be left f me alone to savor. It is personal journey but also a national journey," she said.

She added; "We are going to do more in the area of social-economic rights. Together, we can finally bring to life the dreams deferred." she said.

M Karua's choice has split Azimio which saw Wiper Kenya party leader Kalonzo Musyoka bolt out.

In a separate press conference, Mr Musyoka wished Ms Karua well.

"I wish Raila's running mate Martha Karua well. We have agreed to go our separate ways. I told Raila the decision to pick Karua will be met with a lot of opposition. OKA will be alone and very soon Wiper will be launching its own manifesto," he said.

Ms Karua, who joined the Azimio team in March has been crisscrossing the country drumming up support for Mr Odinga.

Last week, she attended the running mate interviews where she said she would accept the verdict of the interviewing panel.

"I went for the interviews without any set conditions... I went knowing the situation there and I will continue working with them regardless of the outcome," she said.

She went on to drum up support for Mr Odinga, saying that his record was unmatched to anyone opposing his candidature.

"My history and that of Raila are similar. He is a patriot that has fought for human rights all his life. I am in Azimio because I know Raila has the interest of the people at heart... even when he is wronged he makes decisions based on the people's interest," she said.

Ms Karua said the Azimio leader has a record of standing with Kenyans and thus the best suited to be president.

“When we consider the incidences of 2002, 2007 and 2013 we can all agree that he (Raila) put his interest aside for the sake of Kenyans. What kind of leader do we want if not someone who put the interest of Kenyans first? No other side has such a leader,” she noted.

She asked Kenyans while going to cast their vote to consider the person and not the party.

“Let us weigh all these people and see what kind of people they are… there are good and bad people on both sides but no one comes close to Raila,” she said adding that the Azimio government will ensure they ward off cartels and seal all corruption loopholes.

Jubilee vice chairman David Murathe has lauded Azimio flag bearer Raila Odinga for his choice of Narc-Kenya leader Martha Karua as his running mate, saying she is better placed to fight for the interests of Mt Kenya region and the country.

Mr Murathe said Mr Odinga and Ms Karua ticket will charm the country, with the possibility of the country having the first female Deputy President since independence.

"Martha is somebody who can secure the interests of Mt Kenya as Uhuru (President Kenyatta) goes home.

"So they need somebody like Martha who can excite the vote in Mt Kenya and the country," Mr Murathe said.

Ms Karua, he said, "will appeal to the women and appeal to the forces of democratization which she has fought for."
Jubilee vice-chairman David Murathe said that even anti-corruption crusaders will now know the fight against corruption with Ms Karua and Jakom,

"She has everything going for her," Mr Murathe said adding that Ms Karua will fight for the Mt Kenya community and serve their interests.

"When the community feels insecure now that they don’t have a candidate, they need a fighter next to Jakom to take care of their interests."
He described Ms Karua as principled.
"She will be able to insulate Jakom and will not take nonsense.
"Those who think they will go to distract Jakom, they will have to pass through her first."

The Jubilee official pointed out that the choice of Ms Karua is vital for Mr Odinga interms of the value of the vote, chemistry and will excite the vote base – both Mt Kenya and women base.

"This is the person who can do it. She will take Ruto head on – on corruption wi

A lawyer by profession, Ms Karua graduated from the University of Nairobi in 1980 and the Kenya School of Law in 1981.

She worked as a magistrate before leaving to start her law firm and was instrumental in the treason trial of former Subukia MP Koigi Wamwere.

At the risk of being blacklisted by the Kanu regime, she defended several human rights activists.

Ms Karua would later plunge into politics and was elected MP for Gichugu constituency in 1992 and became the Democratic Party's legal affairs secretary in 1993.

She served as minister for Water Resources Management and Development in the late President Mwai Kibaki’s administration between 2003 and 2008 before she was appointed minister for Justice, National Cohesion and Constitutional Affairs, where she served until April 6, 2009, when she resigned from the government.

She is celebrated for championing the Water Act 2002, which accelerated the pace of water reforms and improved related services. She is also known for the fight for democracy, the second liberation and constitutional change.

View attachment 2226769

Martha Karua atafanya yaliyotokea TZ kwa JPM​

 
Nilikua kwenye delegation ya mkapa tulitumwa na JK... namkumbuka sana huyo mama.
Wakati huo hali ilikuwa mbaya sana. Ningependa ueleze hata kwa paragraph mbili au tatu unakumbuka nini katika hio safari yako ya Kenya. Najua hali ilikuwa ngumu ila ningependa kupata taswira kutoka kwako na kumbukumbu zako wa wakati huo.
 
Wakenya nao siku hizi wanachezewa tu,
Huyu odinga hii ni mara ya ngapi?
Halafu hivi kenya hakuna wanasiasa waislamu?
Mbona wamepoa sanaaa
Wapo wengi tu kina Joho, Aden Duale, Ukur Yattany, Junet Muhammed n.k ila kule Hakunaga siasa za kidini ndio maana Odinga licha ya kuwa mkristo anapigiwa kura miaka yote na jamii ya wapwani na wasomali ambao ni waislam 90%
 
Martha ni msafi..... Odinga kazaliwa familia ya bilionea so kakuta Hela zipo ila Ruto + Gachagua wamekulia maisha magumu Hela wamezipata baada ya kuwa viongozi wa kisiasa!!

Karua ni msafi Kenya nzima inajua Hilo, hajawahi kuwa na skendo ya wizi.
Africa hakuna huo ujinga unaousema? Hizo hela za Odinga na za kina Martha zote ni wizi tu wa mali za umma....... Africa hakuna huo ujinga unaousema
 
Wakati huo hali ilikuwa mbaya sana. Ningependa ueleze hata kwa paragraph mbili au tatu unakumbuka nini katika hio safari yako ya Kenya. Najua hali ilikuwa ngumu ila ningependa kupata taswira kutoka kwako na kumbukumbu zako wa wakati huo.
Ni kwamba Mwai alimlazimisha kivuitu kutangaza matokeo ya kughushi hali iliyopelekea Kivuitu kukimbia nchi huku nyuma akiacha fujo Kenya.

Tanzania ilikua miongoni mwa wasuluhishi wa mgogoro ule uliogharimu maisha mengi sana ya watu. Kutoka Tanzania alitumwa Mkapa na tulimsindikiza maafisa wa MFA akiwa na marehemu Koffi Annan basi bwana huyo mama akiwa waziri na mtu wa karibu na Kibaki ndiye alichochea sana machafuko Kenya kwa kiburi chake cha kukataa suluhu alifikia hatua ya kumtukana Mkapa matusi ya nguoni kwa kile alichodai kuingilia mambo yasiyowahusu.

Nilijaribu kufwatilia background ya huyu mama nikagundua hata kwa Moi walikwaruzana sana na mwanamke asiye na tone la adabu linapokuja swala la mapambano.

She is so aggressive.
 
Ni kwamba Mwai alimlazimisha kivuitu kutangaza matokeo ya kughushi hali iliyopelekea Kivuitu kukimbia nchi huku nyuma akiacha fujo Kenya.

Tanzania ilikua miongoni mwa wasuluhishi wa mgogoro ule uliogharimu maisha mengi sana ya watu. Kutoka Tanzania alitumwa Mkapa na tulimsindikiza maafisa wa MFA akiwa na marehemu Koffi Annan basi bwana huyo mama akiwa waziri na mtu wa karibu na Kibaki ndiye alichochea sana machafuko Kenya kwa kiburi chake cha kukataa suluhu alifikia hatua ya kumtukana Mkapa matusi ya nguoni kwa kile alichodai kuingilia mambo yasiyowahusu.

Nilijaribu kufwatilia background ya huyu mama nikagundua hata kwa Moi walikwaruzana sana na mwanamke asiye na tone la adabu linapokuja swala la mapambano.

She is so aggressive.
Naona kweli ulikuja Kenya. Ni kweli Karua akichukua msimamo habanduki hata kwa mtutu wa bunduki. Ila siasa ndio hivyo, Odinga na huyu Karua sasa ni marafiki na siasa haina uadui wa milele ina uadui wa muda mfupi tu. Ila pole kusikia kwamba Karua kamtukana Mkapa. Mkapa alikuwa mzee mzuri.
 
Naona kweli ulikuja Kenya. Ni kweli Karua akichukua msimamo habanduki hata kwa mtutu wa bunduki. Ila siasa ndio hivyo, Odinga na huyu Karua sasa ni marafiki na siasa haina uadui wa milele ina uadui wa muda mfupi tu. Ila pole kusikia kwamba Karua kamtukana Mkapa. Mkapa alikuwa mzee mzuri.
Ndipo nami nimeamini siasa haina adui wa kudumu maana huyu Martha alitia doa sana ndoto ya Raila.....
 
Safi sana, sidhani kama kuna wanasiasa wengi nchini Kenya, ambao wanajielewa zaidi ya Martha Karua. Sikutarajia Raila Odinga amchague yeyote mwingine, wanaendana sana na Martha kwa mengi. Sanasana ikifika ni kwenye masuala ya haki na utawala wa kisheria. Hongereni sana Azimio la Umoja One Kenya, mnazidi kunishawishi.
Mkuu vipi huko Kenya between Raila na Ruto who is leading the race?

I wish Raila ashinde nione nini ataifanyia nchi yake, kapambana kwa miaka mingi sana.
 
Wapo wengi tu kina Joho, Aden Duale, Ukur Yattany, Junet Muhammed n.k ila kule Hakunaga siasa za kidini ndio maana Odinga licha ya kuwa mkristo anapigiwa kura miaka yote na jamii ya wapwani na wasomali ambao ni waislam 90%
Oooh ok,
Lakini kama hakuna siasa za kidini basi wangetawala wote dini hii na dini hii,
Lakini dini moja tu inatawala miaka yote huo sio udini?
Hapa nazungumzia nafasi tatu za juu
 
Back
Top Bottom