Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Martha ana Hela Gani??? Ni middle class tu sio billionaire kma majizi kina Gachagua na Ruto!!!Africa hakuna huo ujinga unaousema? Hizo hela za Odinga na za kina Martha zote ni wizi tu wa mali za umma....... Africa hakuna huo ujinga unaousema
Tatizo wengi Wana asili ya usomali so kupewa madaraka ya Urais Inakua changamoto kidogo ila hata Katibu Mkuu wa chama Cha Odinga na Kenyatta yaani Azimio ni Muislam.Oooh ok,
Lakini kama hakuna siasa za kidini basi wangetawala wote dini hii na dini hii,
Lakini dini moja tu inatawala miaka yote huo sio udini?
Hapa nazungumzia nafasi tatu za juu
Anaweza akaja akawa magufuli wa kenya ila yeye wa kikeMartha ana Hela Gani??? Ni middle class tu sio billionaire kma majizi kina Gachagua na Ruto!!!
Odinga amekulia amekuta kuna Hela, Babake Odinga yaani Mzee Jaramogi alikua na Hela kabla hata ya uhuru wa Kenya sasa kivipi kazipata kwenye siasa?
Bado tuna watu wasafi Afrika na mmoja wapo ni Martha Karua.....Mafisadi wakisikia jina lake wanajificha chini ya uvungu.
Kadanganye wapumbavu wenzakoTz hakuna udini ndio maana wanatawala wote,
Mara muislam mara mkiristo
Ila kenya ni wakristo tuuu, basi huoni kuwa huo ndio udini?
Be fair kwenye majadiliano wacha povu
Nadhani urafiki wa Raila na Karua ni wa siku nyingi.Enzi Raila anakwaruzana na Baba Moi, Karua ni mmoja wa legal team iliyo mtetea Raila. Kwa vyovyote vile Raila has made the right choice kumchagua Karua -iron lady.Naona kweli ulikuja Kenya. Ni kweli Karua akichukua msimamo habanduki hata kwa mtutu wa bunduki. Ila siasa ndio hivyo, Odinga na huyu Karua sasa ni marafiki na siasa haina uadui wa milele ina uadui wa muda mfupi tu. Ila pole kusikia kwamba Karua kamtukana Mkapa. Mkapa alikuwa mzee mzuri.
Mimi nakupa point, wewe unatukana,Kadanganye wapumbavu wenzako
Inawezekana wewe ni mke wangu unanijua sanaMimi nakupa point, wewe unatukana,
Huwezi kujadiliana nina wasi wasi kama wewe ni mkenya, hakuna mkenya mpumbavu kiasi hicho
Mimi ni mwanume, nimetimia sawa sawa,Inawezekana wewe ni mke wangu unanijua sana
Ataweza?Karua amewasha moto KOT, wananchi wana rap siyo kawaida.
(baba anahitaji) 20% but Martha na kiherehere yake anataka kupea baba 90%(kikuyu vote)🙂🙂🙂
not likely but it's a "aim for the stars land on the moon" type of thing
Ruto amefanya makosa makubwa sana kumchagua huyu fisadi. Ilipaswa amchague Kithure KindikiMahustler tupo humuView attachment 2226762
Rigathi hata sura na mazungumzo yake vinaonesha wazi ni mtu mbaya sanaRuto amefanya makosa makubwa sana kumchagua huyu fisadi. Ilipaswa amchague Kithure Kindiki
Kwa vyote vyote vile Martha ameongeza hamasa kampeni ya Azimio. Further she is talking tough kama kawaida- kenya kwanza mujiandae kupongeza Azimio kwa ushindi . Lazima tutashinda!not likely but it's a "aim for the stars land on the moon" type of thing