Martha Mwaipaja atoboa siri sakata la Rose Muhando

Wafanya biashara. Naam, utasikia uzinduzi utafanywa na mh Lowassa. Au wengine utasikia maombi ya kufunga na kuomba mgeni rasmi mama Samia. Wengine tunabaki kushangaa tu
 
Sipendi sana unyanyasaji wa namna hii mbaya zaidi anamlazimisha na Penzi.... I wish ningekuwa naniliu watu kama hawa unawadetain kishumundu
 
Kuna watu mnajua kuunda sentensi, una akili na hekima💪
 
Yes,hii ni vita halisi ya kiroho ila wengi hawajui!
Kuimba ni ibada kamili na ni anointing ,shetani anajua ndo maana anapambana kuwatoa kwny mstari!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…