Anatumia!Kuna wakati fulani mudaa sana Kuna uzi nlichangia nkasema Rose nmemuona mahali kona ambazo syo na yuko kwenye muonekano wa kutumia madawa!Kwa hiyo wewe unaewajua unataka kututhibitishia kua Rose hatumii madawa?
Sure! She is always the Queen of Gospel Music all over East central and southern African countries.!No matter what happens she will always be the Queen of Gospel music....
GOD blessed her with a second to non talent, her first album might be the best selling album of all times(Tz)..
Its not easy to be a Queen, ill always love you Rose.
Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
Kuacha madawa kwanza lazima yeye mwenyewe atake kuyaacha......huwezi mlazimisha au kutumia nguvu au kumlazimisha yeye Rose aache madawaSure! She is always the Queen of Gospel Music all over East central and southern African countries.!
Lets Join hand together and see how we can help her.plz can someone come out with an idea..?
Nathan acha wizi, rudisha pesa ya RoseNimesoma haya maelezo kuna nusu ya ukweli na Nusu ya chumvi.!
Binafsi ni muandaaji wa Matamasha haya ya muziki wa injili. Nimeanza kufanya kazi na Rose mwaka 2007.
Akiwa chini ya Nathan, na bila shaka Nathan ndio meneja pekee Rose aliyewahi kuwa naye.!
Nathan alimuwezesha Rose kuwa na maendeleo kadhaa, Nathan aliweza kumsaidia Rose kumiliki magari kadhaa ikiwemo Rav 4 ya blue gari yake ya kwanza kisha baadae prado .alimuwezesha kuwa na makazi yake pale ipagala.!
Rose alipoamua kuachana na Nathan kwa sabbu anazozijua yeye aliangukia kwenye mikono ya watu kadhaa, mbona haujaeleza habari za yule meneje mchungaji Fake aliye mnyang'anya passport na gari zake?
Wakati akienda marekani?
Rose kaanza kupotea hewani baada ya kuondoka kwenye mikono ya Nathan hakujua tena upepo wa umaarufu wake unampeleka wapi. Hakuwa na Nguzo imara tena kwa kazi zake.!
Baada ya kuachwa huru na Nathani kila mtu alikuwa anajipigia je amekueleza kuhusu wale vijana aliokuwa anaambatana nao pale Dodoma?
Mimi binafsi Rose Muhando keshakula pesa yangu nyingi tu, na wala sio Nathan, kuna watu amewaumiza zaidi ya unavyoweza kuleta hayo maelezo ya Martna. Isingekuwa muziki wa Injili natumai angekuwa amefanyiwa kitu kibaya sana!
Mara ya mwisho nimemtafuta Rose mwezi huu tarehe 13 . Kupitia kwa Producer wangu na akatoa maelezo kuwa kazi yoyote atakayopaswa kuifanya ipitie kwa Meneja wake Nathan.
Hii ikiwa kabla ya video ya Nairobi haijaanza kusambaa mitandaoni.
Mwisho. Rose Mhando bado ana nafasi ya kufanya vizuri zaidi kama atampata mtu sahihi wa kumsimamia Kiafya, na kazi zake kwa ujumla.
Usione vinaelea vimeundwa bila Nathani usingemfahamu Rose mhando.
SureSure! She is always the Queen of Gospel Music all over East central and southern African countries.!
Lets Join hand together and see how we can help her.plz can someone come out with an idea..?
Mkuu, huyu mchungaji fake ni nani? Sioni haja ya kuwaficha hawa wanaodidimiza vipaji vya watu.Nimesoma haya maelezo kuna nusu ya ukweli na Nusu ya chumvi.!
Binafsi ni muandaaji wa Matamasha haya ya muziki wa injili. Nimeanza kufanya kazi na Rose mwaka 2007.
Akiwa chini ya Nathan, na bila shaka Nathan ndio meneja pekee Rose aliyewahi kuwa naye.!
Nathan alimuwezesha Rose kuwa na maendeleo kadhaa, Nathan aliweza kumsaidia Rose kumiliki magari kadhaa ikiwemo Rav 4 ya blue gari yake ya kwanza kisha baadae prado .alimuwezesha kuwa na makazi yake pale ipagala.!
Rose alipoamua kuachana na Nathan kwa sabbu anazozijua yeye aliangukia kwenye mikono ya watu kadhaa, mbona haujaeleza habari za yule meneje mchungaji Fake aliye mnyang'anya passport na gari zake?
Wakati akienda marekani?
Rose kaanza kupotea hewani baada ya kuondoka kwenye mikono ya Nathan hakujua tena upepo wa umaarufu wake unampeleka wapi. Hakuwa na Nguzo imara tena kwa kazi zake.!
Baada ya kuachwa huru na Nathani kila mtu alikuwa anajipigia je amekueleza kuhusu wale vijana aliokuwa anaambatana nao pale Dodoma?
Mimi binafsi Rose Muhando keshakula pesa yangu nyingi tu, na wala sio Nathan, kuna watu amewaumiza zaidi ya unavyoweza kuleta hayo maelezo ya Martna. Isingekuwa muziki wa Injili natumai angekuwa amefanyiwa kitu kibaya sana!
Mara ya mwisho nimemtafuta Rose mwezi huu tarehe 13 . Kupitia kwa Producer wangu na akatoa maelezo kuwa kazi yoyote atakayopaswa kuifanya ipitie kwa Meneja wake Nathan.
Hii ikiwa kabla ya video ya Nairobi haijaanza kusambaa mitandaoni.
Mwisho. Rose Mhando bado ana nafasi ya kufanya vizuri zaidi kama atampata mtu sahihi wa kumsimamia Kiafya, na kazi zake kwa ujumla.
Usione vinaelea vimeundwa bila Nathani usingemfahamu Rose mhando.
ooh..sembe inauzwa kwa mtindo wa matamasha?Kwasababu alikuwa hana nuru ya usoni na ngozi kumbe madawa ya kulevya ila hii issue ya madawa nilisikia kitambo sana
Pole zake Rose ila Msama wewe umeokoka na mkeo Nini kumtumikia shetani na huyo Nathani mnamtumia dada wawatu kubeba unga nyie mnajidai mnatajirika na kuuza nyimbo za dini
Mbona wako wanaohubiri injili madhabahuni huku wanazini? Let God be true and every man a liar!!Yaani unaimba nyimbo za injili huku wewe muimbaji unazini?
Kweli mwanadamu sio wa kumkatia dhamana.
Kabisaaamr nice, rose muhando, saida karoli,
Kipaji bila akili na maarifa ni mzigo
Sasa afike mbali mara ngapi mkuu" tangu amuibue rose nakuwa famous mpaka leo ni zaidi ya miaka 12 now ... kamtumia kujiingizia pesa mpaka basi" Au una maanisha kwamba ipo siku ataporomoka!!? Ukisema hivyo sawa tutakuelewaKwa jinsi hii hata huyo Nathan asitegemee kufika mbali kwa pesa za zuluma...
HahaaEeeh pamoja na mume Wa mtu
Anatafuta sympathy mkuu"... mtu kaliwa zaidi ya miaka 10 now "... eti leo ndio anajifanya kutambua kuwa jamaa alikuwa anamtumia My foot"... My foot waweza kukuta jamaa amefilisika so rose anatafuta chance ya kumkimbia mazima"... wanawake hawajawahi kuishiwa visaKama aliamini anachokiimba angekubali arudi kwenye umaskini ila amche Mungu. Rose ameanzana na huyo Nathan tangu mwanzo mpaka kanisa likamtenga. That was in 99 au kabla, sasa iweje leo ndo ajitambue.
Hahaa mtu anayelipwa laki 3 per show " kamjengea mpenzi wake NyumbaHii stori haina ukweli, haingii akilini hata kidogo au niambiwe Rose ni mtu asiejielewa toka mwanzo.
1 Anapigishwa show za kinyonyaji yeye alichuka hatua gani
2 Analazimishwa kunywa pombe na yeye anakunywa.
3 Analazimishwa ngono na meneja, anabakwa ama inalazimishwa vipi?
Hayo yote hayawezi kufanyika kwa mtu anaejielewa. Labada Rose alikuwa hajielewi tangu mwanzo.
Aisee alimkula !!?Leteni na habari za mmoja ya wale wacheza show wake, sio nathan tu.
HahaaHii ni kama ya Saida Karoli..ukimfanyia hivyo Shishi beibi utashika adabu yako .mitusi kama yote