Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndy dizaina wa msanii mmja mkubwa bongoHuyu aliyeshika simu naomba pole imfikie popote alipo kwa kushika simu nzito
Alitaka kupewa ubalozi kweli??? Nimeona siku hizi ameacha mapozi ya kike, namwona pia ni msomi flani hivi, anaenda mpaka UN headquartersHuyo mwenye Maroon ni mwanadiplomasia na alitaka kupewa ubalozi eti
Ndio alitaka wahadhina fulani hivi wakamindAlitaka kupewa ubalozi kweli??? Nimeona siku hizi ameacha mapozi ya kike, namwona pia ni msomi flani hivi, anaenda mpaka UN headquarters
Awamu ya tano ama ya sita??Ndio alitaka wahadhina fulani hivi wakamind
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu aliyeshika simu naomba pole imfikie popote alipo kwa kushika simu nzito
We nae! kwenye list ya kina Temu jina la Rio pia lilikua vetted in, Mwishon mamlaka ya uteuzi ikasanuliwa na kina Sanga kwamba hapo unauziwa embe ng'ong'o si unajua Moja ni dini swafi akaitema haramu bila hajizi.Awamu ya tano ama ya sita??
Mwambie mi nimesema hadi nmechokaHuijui Dar vizuri wewe, kuna watu kama hawa kibao wametoka hukohuko kwenu Bariadi.
Huyo kadindiswha?Ndio alitaka wahadhina fulani hivi wakamind
Kadindishwa ndo kavaa maroon au umevuta bangi?Huyo kadindiswha?
Huyo #1 sahvMsanii gani tena huyo? Weka hata code basi tung'amue
Unayo bangi hapo? Maroon kwa kiswahili ndio rangi gani? Tuanzie hapo.Kadindishwa ndo kavaa maroon au umevuta bangi?
😂😂😂😂si ugoogle jamaa, au Google yako ni kwa ajili ya pornographiesUnayo bangi hapo? Maroon kwa kiswahili ndio rangi gani? Tuanzie hapo.