Martin Kadinda awaaumbua Team Wema

Jitu linaingia lenyew kazi kuhangaika na status za watu wengine ...utasutwa kama huna comment pita kimya kimya ...

My wiiiu ulikua wapiiii shosti hiloo twende nalo kwenye kigodoroooooo limekosa bwana na wanja wake wa sinaaaa mumee hahhhhha
 
mkimaliza mniambie nianze rasmi operation pumbuka.
 
Thread zangu humu ni umbea tu , kama unajiona haufit wapitie mbali , mashindano yao ya kuvaa bikini na pedo wakafanyie uko wakafungue thread zao waanzishe ujinga wao uko , humu ni ma ubuyu tu tunapeana

hii ni jf popote muda wowote unakomenti bwana...acha mikwara mbuzi bwana ww warumi aje wewe.....owner ni max pekee
 
hii ni jf popote muda wowote unakomenti bwana...acha mikwara mbuzi bwana ww warumi aje wewe.....owner ni max pekee

Wanasema thread zangu za umbea , sasa kama wao hawapendi umbea humu wanafuata nini? warumi kila dakika , kama wanataka upuuz wao na wenyew wafungue thread zao watukane uko , humu big no kama hapawafai wapite ivii..
 
Last edited by a moderator:
kula like mkuu via mchina.
Endelea kutupa burudani wambea tunaochipukia tupo na tunathamini kazi za vidole vyako

Yaan apa watasanda mbona , kama hawanipendi wakaombe kazi ya u mods wanipe BAN ya maisha , vinginevyo mi bado nipo sana humu binamu , nipo kwa ajili ya kuwapa ma utamu ya muji , najua na wenyew wanapenda umbea tatizo hawajikbal
 
Aaahah jamani swalamaaaa metoka pwani kule twala pweza namuulizia aunt bilal yupoooo ama karudi endlessf****
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…