warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Manager na msemaji mkuu wa msanii maarufu wa filamu wema sepetu aitwaye martin kadinda , amefunguka kuhusu Team zinazoendelea uko IG. Hiki ndicho alichokiandika.
" Kusaidiana katika maisha , hakumaanishi kuwa tunammiliki, hayo ni maisha yake binafsi"
" Haya ya Instagram tuwaachie huku huku , ukiyasikiliza utashindwa kumwamini mama yako mzazi"
"Tusiishi Fake Life instagram wakati in real Life hatuna hata hela ya chumvi".
Ahsante sana kaka manager kwa maneno yako ya busara , nadhani watakuwa wamekuelewa.
" Kusaidiana katika maisha , hakumaanishi kuwa tunammiliki, hayo ni maisha yake binafsi"
" Haya ya Instagram tuwaachie huku huku , ukiyasikiliza utashindwa kumwamini mama yako mzazi"
"Tusiishi Fake Life instagram wakati in real Life hatuna hata hela ya chumvi".
Ahsante sana kaka manager kwa maneno yako ya busara , nadhani watakuwa wamekuelewa.