Hata nauli ya kufika huko kwa Nassary hana...niamini mimi....hapo alipo anawaza kupiga pasi ndefu boom lishakata....Hiyo USA anaisoma kwenye madesa....
dah kuna kipindi aliwazingua kuhusu post za walimu waliotemwa wee wakamwanika bana humu duh na multple id zake
Hahaha jf naipenda sana
Ndo huyo huyo...Ukimkuta jukwaa la elimu kama ye ndo Waziri wa elimu vile...
basi kipindi hicho hicho na hyo mpiga msuli naskia katika nyodo alishawai zinguana na ticha wake
USA mchezo...yupo hapo changanyikeni
Hhhhhhhaaaaaa
Hawa Jamaa walikuwa wanakatisha watu tamaa sana bora walivyoumbuliwa nakumbuka sredi ile page zilikuwa zinaenda kwa speed ya light 3x10⁸m/s.
na watu walinyonyeshwa ban kinoma aisee ila huyu Perry awe mpole asije akazinguliwa. mkuu yaan nyodo sio kitu kizuri kabisa
Kuna mtu alipost ana HIV anatafuta alie na HIV ili waoane heee perry alimjibu wee kufa mwenyewe na ukimwi wako" looo uzi ukageuka kumjadili perry
Hahahahahah...nimecheka aisee,boom kwishney analeta stress zake hapa
Hhhhhhaaaaa loooo perry hua nomaaa eti kama waziri kwa hiyo kachukua nafas ya mpiga msuli etii
huyo kadinda si ndo yule punga?
Ukute ndo yeye huyu kabadilisha jina...yani ana nyodo kama le baharia.....
USA mchezo...yupo hapo changanyikeni
Tuko nae huku Kajambanani........
Atakuwa Ardhi, uclas imeshajifia long time.
Ndo huyo huyo...Ukimkuta jukwaa la elimu kama ye ndo Waziri wa elimu vile...
Kuna Jamaa alikuwa na Nyodo sana anasoma MUCCOBS watu wakamuanika hapa hadi akabadilisha jina kutoka mpiga msuli hadi mwanasheria na kawa mpole kishenzi.
Hahaha jf naipenda sana
Hhhhhhaaaaa loooo perry hua nomaaa eti kama waziri kwa hiyo kachukua nafas ya mpiga msuli etii
Watu waliweka matokeo yake ya kusap na wakaambatanisha na picha yake