Martin Kadinda,huyu jamaa yupo smart kwenye interview

Martin Kadinda,huyu jamaa yupo smart kwenye interview

Hivi huwa najiuliza, kwa nini wabunifu wa mitindo wanaume wengi wana chembe chembe za ushoga? Au wengine ni mashoga kabisa wanaojulikana wazi, na hii ni duniani kote???!!!

hata mi najiulizaga sipati jibu
 
Huyo bwana designer ana dalili zote za upunga. Kwanza tizama anapojieleza mikono inatumika sana na kuchanua vidole. Kama anavyofanya dada yetu Sporah. Pili hawezi jibu swali dogo Yes or No. Lazima ataleta hadithi ndefu wakati aliulizwa watu wanadai kuwa wewe ni mwanaume tata. Alitakiwa ajibu, no si kweli. Sasa hadithi nyingi za nini kutaka ku justify..
Tatu wana mikao yao muangalie utagundua tu.

Waliosoma naye wanasema alipokuwa dent alikuwa analiwa tigo. Ila kwa sasa hawana uhakika....
 
Nmeangalia jamaa yupo vizuri .. sio yule ambaye nasoma humu JF watu wakiropoka

Mi nilikuwa simfahamu ila jamaa yupo vizuri kuongea
 
umeona lugha inavyochanganywa?

Mtu makini kwenye interview hachanganyi lugha hata isipotakikana. Mtu akifanya hivyo anajionyesha ama hajali uendelevu mujarab au hajui lugha zote mbili vizuri.

Hapo nimemsikiliza sekunde kumi tu.

Nachelea kumsikiliza zaidi nitaibua mengine mengi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom