Sasa nini hiki umeongea na wewe?
Ukihubiri mabadiliko unatakiwa uwe sehemu ya hayo mabadiliko.
Sasa nini hiki umeongea na wewe?
Ukihubiri mabadiliko unatakiwa uwe sehemu ya hayo mabadiliko.
Kiranga you nailed it. Hawezi kutuambia tupende vya kwetu wakati yeye kiswahili hakipendi. Yaani akitaka kuweka msisitizo ni lazima aongee Kingereza. Wote hatq huyo Sporah hajui kingereza nimemsikiliza matamshi ya yake. Instagram anatamka,'Instogramu'!!
Ni vyema tukajifunza kutochanganya lugha wakati wa mahojiano. Sijawahi ona ma celebrity wakichanganya latino na english at the same time.
Mtu makini kwenye interview hachanganyi lugha hata isipotakikana. Mtu akifanya hivyo anajionyesha ama hajali uendelevu mujarab au hajui lugha zote mbili vizuri.
Hahahaaa huyo Sporah kwenye kile kipindi chake na Diamond badala ya kusema 'mount Kilimanjaro' alisema 'mountain Kilimanjaro'.
USA mchezo...yupo hapo changanyikeni
Hahaha.
Direct translation.
Mountain = mlima.
Therefore "mlima Kilimanjaro" = "mountain Kilimanjaro".
She should know better, but also the hodgepodge patch up illogical job that is the English language does not help matters.
Especially for people who are used to a more logically consistent language like Swahili.
Nilidhan mimi ningekuchapa ukaenda kulala sasa hiviiii
Kipi hujaelewa mdau!! Au ni sentensi ya mwisho ndo imekuchanganya?
Sijaelewa ni kwa nini unatenda kile unachopinga wenzako kukitenda......
TANMO huenda na mimi ni celebrity wa bongo. Hivyo naanza kujifunza swaga kimtindo...
Ungenichapa na nini?
Hivi huwa najiuliza, kwa nini wabunifu wa mitindo wanaume wengi wana chembe chembe za ushoga? Au wengine ni mashoga kabisa wanaojulikana wazi, na hii ni duniani kote???!!!
Huyo bwana designer ana dalili zote za upunga. Kwanza tizama anapojieleza mikono inatumika sana na kuchanua vidole. Kama anavyofanya dada yetu Sporah. Pili hawezi jibu swali dogo Yes or No. Lazima ataleta hadithi ndefu wakati aliulizwa watu wanadai kuwa wewe ni mwanaume tata. Alitakiwa ajibu, no si kweli. Sasa hadithi nyingi za nini kutaka ku justify..
Tatu wana mikao yao muangalie utagundua tu.
Wengi wao ni mashoga sijui kwaninii
Bina ulikua wapii bila kuniaga mfyuuuuuuuuu
Bina nilikuwa Vietnam kukuletea smartphone za bure lol....
Mzima lakini? Si unajua ziara za first class tunavyokuwa busy? Nimerud sasa lete maneno...