Martin Kadinda,huyu jamaa yupo smart kwenye interview

Martin Kadinda,huyu jamaa yupo smart kwenye interview

bibie labda hujamwelewa ni kwa nassary panaitwa USA river

Hata nauli ya kufika huko kwa Nassary hana...niamini mimi....hapo alipo anawaza kupiga pasi ndefu boom lishakata....Hiyo USA anaisoma kwenye madesa....
 
Hata nauli ya kufika huko kwa Nassary hana...niamini mimi....hapo alipo anawaza kupiga pasi ndefu boom lishakata....Hiyo USA anaisoma kwenye madesa....

ha ha ha tena umenikumbusha hivi huyu Perry sio yule ambae wanafunzi wenzake walimuumbua kule kwenye jukwa la chaki kweli kumbe ni denti cjui uclas cjui wapi eti leo anamzingua Viol
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha tena umenikumbusha hivi huyu Perry sio yule ambae wanafunzi wenzake walimuumbua kule kwenye jukwa la chaki kweli kumbe ni denti cjui uclas cjui wapi eti leo anamzingua Viol

Atakuwa Ardhi, uclas imeshajifia long time.
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha tena umenikumbusha hivi huyu Perry sio yule ambae wanafunzi wenzake walimuumbua kule kwenye jukwa la chaki kweli kumbe ni denti cjui uclas cjui wapi eti leo anamzingua Viol

Ndo huyo huyo...Ukimkuta jukwaa la elimu kama ye ndo Waziri wa elimu vile...
 
Last edited by a moderator:
Ndo huyo huyo...Ukimkuta jukwaa la elimu kama ye ndo Waziri wa elimu vile...

dah kuna kipindi aliwazingua kuhusu post za walimu waliotemwa wee wakamwanika bana humu duh na multple id zake
 
ha ha ha tena umenikumbusha hivi huyu Perry sio yule ambae wanafunzi wenzake walimuumbua kule kwenye jukwa la chaki kweli kumbe ni denti cjui uclas cjui wapi eti leo anamzingua Viol

Kuna Jamaa alikuwa na Nyodo sana anasoma MUCCOBS watu wakamuanika hapa hadi akabadilisha jina kutoka mpiga msuli hadi mwanasheria na kawa mpole kishenzi.
 
Last edited by a moderator:
Kuna Jamaa alikuwa na Nyodo sana anasoma MUCCOBS watu wakamuanika hapa hadi akabadilisha jina kutoka mpiga msuli hadi mwanasheria na kawa mpole kishenzi.

basi kipindi hicho hicho na hyo mpiga msuli naskia katika nyodo alishawai zinguana na ticha wake
 
Back
Top Bottom