Martin Kadinda na mkewe, mashallah

Pole sana,na ujinga wako huu unawezaje kumpata Nifah hadi awe mkeo?
Babe ake mimi ananielewa,ananipenda hivyohivyo na umbea wangu.
Guess what....habari nyingi hunipa yeye.
Kalagabaho
Napenda wambea, nasikia ni watamu sana, frankly speaking sijawahi kumpata. Nashangaa tena unaposema tayari uko na mume! So the gap between the hope and the happening!
 
Napenda wambea, nasikia ni watamu sana, frankly speaking sijawahi kumpata. Nashangaa tena unaposema tayari uko na mume! So the gap between the hope and the happening!
mume wake tuko nae huku jf ....mtoto wa magomeni huyo humuwezi.
 
Huyu jamaa si nlickia tikiti maji au uzushi tu
 
Fid q anasema
Hey! Kadinda mi sivai vimodo na vikoti
Sijui hata alimaanisha nini
 
Si alisema hapendi kumuanika m sweet wake kutokana na future ya kazi yake??? ( sijui anataka kufanya kazi ikulu!!)
Eti hapendi mambo ya media..vipi tena?
Mara apige picha kuonyesha maungo yake...mara leo anaonyesha watoto...du kazi kweliii....... mwanaume wa ukweli hutumia Dume.....hahahaaaaaaaaa
 
aaah anaeza kuoa afu wajanja wakamzalishia na yeye kutunza mke....mke mwenyew mbona amevaa miwani au ni hausigeli nini
 
Mara apige picha kuonyesha maungo yake...mara leo anaonyesha watoto...du kazi kweliii....... mwanaume wa ukweli hutumia Dume.....hahahaaaaaaaaa
[emoji126][emoji126][emoji126]
 
Mbona na jamaa angu anasema jamaa ni bwabwa na ana ushahidi kuwa anapakuliwa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…