warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
MWANAMITINDO maarufu Bongo, Martin Kadinda amesema kabla hajawa kiongozi wake, awali aliwahi kumtamani kimapenzi mcheza filamu Wema Sepetu
Lakini alighairi baada ya kugundua ni mwanamke wa kudekadeka. Kadinda alitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati akipiga stori na paparazzi wetu kuhusu masuala mbalimbali yanayomhusu msichana huyo .
Lakini alighairi baada ya kugundua ni mwanamke wa kudekadeka. Kadinda alitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati akipiga stori na paparazzi wetu kuhusu masuala mbalimbali yanayomhusu msichana huyo .