Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaHuyu mwamba yupo vizuri tangu kipindi cha JPM. Tunahitaji vijana wa kuhoji kama hawa
Muoga huyo anawahi block watuMartin Maranja Masese a.k.a Brigedia
Jamaa mtu aisee
Ana hoja zenye mashiko
Ukileta usenge unalimwa blockMuoga huyo anawahi block watu
Halafu huyo Msigwa yuko wapi sasa?Anashinda corido za Ufipa st by Mchungaji Msigwa
Masese na Mwigulu unachagua yupi?Kama hii ndio future ya CDM basi vita mmepigana na mmeumaliza mwendo! Jina la bwana lihimidiwe.
Wewe huli mchicha au majani ya kunde?Mbona kavaa sare za CCM
Aah CCM hio,,,,,keshalamba asaliWewe huli mchicha au majani ya kunde?
Ila pia Masese ni Yanga
Watu kama hawa huwezi kuwapata CCM.Martin Maranja Masese a.k.a Brigedia
Jamaa mtu aisee
Ana hoja zenye mashiko
HakikaWatu kama hawa huwezi kuwapata CCM.
Hapana Martin ni reporter au good analyst. Kitu kinachomfanya kukosa zile original ideas ndio maana akipewa challenges kidogo, bila kupata reference huwa anageuka mbogo kwa sababu sidhani kama ana ile natural intelligence au intellectual capacity ya kuweza kurandana na watu kama zitto ambao huwa wanaweza kusimamia wanachokiamini kwa hoja.Ukileta usenge unalimwa block
Ijapokuwa mimi sinaga hizo swaga tutaenda sawa mpaka dakika ya mwisho