Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu jamaa hata yule shetanni alimshindwa mpk akaamua kufa yeye mwenyeweHuko mitaani kushaanza kuwaka moto wa mabango, mmoja yuko kwenye bodaboda, huku mwingine yuko kwenye Bajaj.
Jambo la kufurahisha ni tangazo la Waziri wa Tamisemi kwamba vyombo hivyo visiguswe na Polisi
View attachment 3034958
Udhaifu wake ni kuwa na hasira za harakaHapana Martin ni reporter au good analyst. Kitu kinachomfanya kukosa zile original ideas ndio maana akipewa challenges kidogo, bila kupata reference huwa anageuka mbogo kwa sababu sidhani kama ana ile natural intelligence au intellectual capacity ya kuweza kurandana na watu kama zitto ambao huwa wanaweza kusimamia wanachokiamini kwa hoja.
Kingine ego level yake ipo juu sana na nadhani akipewa title kama ya the late anko magu anaweza kuwa vibaya kumzidi. Maana mtu ambaye hataki kukosolewa huku hana power yoyote zaidi ya online platform. Patia picha akipewa madaraka
Ni mzuri but apunguze hasira za harakaMartin Maranja Masese a.k.a Brigedia
Jamaa mtu aisee
Ana hoja zenye mashiko
Yule ni mwepesi sanaUkileta usenge unalimwa block
Ijapokuwa mimi sinaga hizo swaga tutaenda sawa mpaka dakika ya mwisho
Mwigulu! sio bora kabisa kutoka CCM lakini bado anafaa mara 100 kuliku huyo kijana wenu.Masese na Mwigulu unachagua yupi?
Ana hasira za haraka lakini hana uwezo wa kutengeneza original ideas ndio maana kitu kidogo anapanic. Hii ni kwa sababu ana uwezo mkubwa wa kujionesha yupo right kupitia attacks, matukio na data ila hana uwezo mkubwa wa kuingia kwenye mijadala inayoenda zaidi ya hapo.Udhaifu wake ni kuwa na hasira za haraka
Kwanza mpaka sasa hatuna bunge kunakusanyiko la majangili tupu humo ndani, aacha aingie huko atasaidia kwa kiasa chakeAna hasira za haraka lakini hana uwezo wa kutengeneza original ideas ndio maana kitu kidogo anapanic. Hii ni kwa sababu ana uwezo mkubwa wa kujionesha yupo right kupitia attacks, matukio na data ila hana uwezo mkubwa wa kuingia kwenye mijadala inayoenda zaidi ya hapo.
Ndio maana mtu akimpa challenge inayomuhitaji yeye kutumia uwezo wake binafsi bila hizo references huwa anaishia kutukana na kublock ili kulinda pride yake.
Kwa hiyo Martin anaweza kuwa mwanaharakati mzuri na ninamkubali sana kwa ujasiri wake maana ni wachache wanao. Ila kwenye uwezo wake kiuongozi sina hakika japo najua anaweza kuingia bungeni na akawa asset kwa sababu hata bunge letu lina shortage ya watu wanaoweza chambua data, kuongea ukweli na kuainisha matukio ili kuchochea safari ya kufikia kwenye ukweli.
Zitto ana hoja gani za msingi ambazo zitakumbukwa kwenye hili taifa?sidhani kama ana ile natural intelligence au intellectual capacity ya kuweza kurandana na watu kama zitto ambao huwa wanaweza kusimamia wanachokiamini kwa hoja.
8 people are here...
Utawezaje kutoa hoja zenye mashiko za kuibana serikali bila reference? Si utaonekana unabwabwaja tubila kupata reference huwa anageuka mbogo kwa sababu sidhani kama ana ile natural intelligence au intellectual capacity
Anasubiri posho ya buku saba LumumbaHalafu huyo Msigwa yuko wapi sasa?
Hoja ijibiwe kwa hoja, kuna watu kwenye mitandao wako radhi wabishane na ukweli hata kwa kitu kilicho wazi na chenye ushahidiMaana mtu ambaye hataki kukosolewa huku hana power yoyote zaidi ya online platform. Patia picha akipewa madaraka
Kati ya wewe na yeye nani mwepesi?Yule ni mwepesi sana
Hata kwa Msigwa mliyanena haya!Watu kama hawa huwezi kuwapata CCM.
Kelele za Mitandaoni sio za kitaani kwenye uhalisia atie mguu apigwe za uso!Huko mitaani kushaanza kuwaka moto wa mabango, mmoja yuko kwenye bodaboda, huku mwingine yuko kwenye Bajaj.
Jambo la kufurahisha ni tangazo la Waziri wa Tamisemi kwamba vyombo hivyo visiguswe na Polisi
View attachment 3034958