At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Wewe piah lofa. [emoji23]Hujui kuwa tukipaza wengi zinasikika vizuri! lofa kabisa wawe!!
Sent using Jamii Forums mobile app by My phone
[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe piah lofa. [emoji23]Hujui kuwa tukipaza wengi zinasikika vizuri! lofa kabisa wawe!!
You are so damn "wrong" msinge piga magoti au kulaza makalio kwa stageUchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Hahaha nyie watu hampeeeendi kusikia machungu yanayokuumiza..hahaha vumilia jomba sindano ikuingieeee sawiaaPumba tupu, hivi hunaga point za kuandika kila siku unakuja na uharo tu
Utawala was kishamba mnauita kwa sababu unawajengea barabata, mahospitali, madege, maviwanja ya ndege, elimu bureeee,madawa yamelundikana mahospitalini, hospital Kila kata, maflaiova, mafisadi kukimbia, maadili na wizi hakuna, SGR, nyerere dam, madini ndio usiseme, gawiwo teletele, na mengimengi mpaka Mwenyezi Mungu akaamua mpaka Corona aifutilie mbali kule, watanzania wote wawe salama..pamoja nanwewe unayesema serikali ya kishamba..hiyo ndio serikali ya kishamba unayosema..sema lingineWewe haikosi utakuwa mnufaika wa huu utawala wa kishamba!!
Sio yeye tu jomba sema asilimia 90 ya wananchi Ni wanufaika wa Magufuli nanserikali yake..tuko nyuma yake mjomba Magu mpaka kieleweke..mpaka mshike adabu shen...zzz.yyyy SanaWewe haikosi utakuwa mnufaika wa huu utawala wa kishamba!!
Wananchi wa familia yako!!S
Sio yeye tu jomba sema asilimia 90 ya wananchi Ni wanufaika wa Magufuli nanserikali yake..tuko nyuma yake mjomba Magu mpaka kieleweke..mpaka mshike adabu shen...zzz.yyyy Sana
Mfa maji huyo. Mbowe anagombea udiwani?MALALAMIKO YAPO NJE YA UTARATIBU WA KANUNI ASOME UPYA KANUNI
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mimi mtoto wangu alikuwa anakula bakola akija analia eti kapigwa sasa kesi zimeanza kuja kwangu kapiga wenzake.Ukiwa na mtoto kila siku unakushitakia baba fulani kanipiga ujue umezaa boya na dhaifu
Ndo ccm kila sku kudeka deka tu
Sijui kama tume hii inazijua hizo kanuni.MALALAMIKO YAPO NJE YA UTARATIBU WA KANUNI ASOME UPYA KANUNI
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Mmejiuliza faida mliyopata kwa kumzuia Lissu siku saba, what is the difference.Munisi Yuko sahihi .Jukwaani Mbowe alikuwa anatakiwa kunadi sera za za Chadema na atalifanyia Nini Jimbo Sio kumnadi negatively Munisi
Kamati ya Maadili imsikilize Munisi
Ni dhaifu kama mlivyowanunua akina Molllel? Mwaka huu ccm kushney.Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.