Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Aliye kuwa right hand man/leutenant wa Bashiru apewe kazi hiyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda is not clean. Mkuu alipolijua hilo, hana hamu naye.Hizi sio zama za kiku boy unatabiri kilakitu,sasahv tuna jiwe kwelikweli anafikiri mwenyewe anaamua hata makamu au waziri mkuu anakuwa surprised!! Jiulize we nani mpaka uanze kujua??
Ila mkuu angempa makonda ubalozi hasa South Africa a promote mziki na biashara na akazuie madawa ubalozi wetu kule ametulia sana
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Huyu mzee hamna kitu kabisa... Basi tuHarrison Mwakyembe
Mwanri amestaafu kwa mujibu wa sheria!Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Majina 2 3 5 ni age ya mkiti sidhani sana atataka waliopita uvccm na chamani
1. Shigela + ex Km uvccm
2, sixtus mapunda- ex Km uvccm
3. Emanuel nchimbi+ ex Mkit uvccm Taifa
4 Amos makala- ex Km uvccm na mwekahazina
5 Roderick mpogolo naibu sasa
6 silima - ktb organizesheni
Sahihi, Katibu atakuwa Muislam tena wa bara.Zanzibar haina nafasi? Vipi candidate mgombea kutoka kundi la lowasa?
Je rule number one tuliyozoea ya kanda pendwa haipo tena?
Mwisho wa reli ni sisi wasafisha viatu na kuvipaka mafuta badala ya kiwi tunaangaliwaje?
Yoote yaweza kuwa lakini sio makala wala mtu wa mwakaleli
Katibu Mkuu wa CCM inabidi awe mtu ambaye anachukia ufisadi kwa dhati ya moyo wake. Aidha awe amejipambanunua kuwa ana uwezo wa kusimamia yale ambayo anayaamini. Kusema ukweli CCM ilikuwa imegubikwa na wachumia tumbo na hayo tunayaona km kudhulumiwa kwa jengo la Channel 10. Tunamsihi Mwenyekiti wa CCM aangalie "outside the box". Tunamwomba Mwenyezi Mungu amwongoze katika hilo.Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
No 7 muweke Nasari!!Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Kaorodhesha dunia nzima, kamsahau Joe Biden😀mkuu naona kama una bet tu kwa muhindi
Kada wa Chama Cha Mafisadi auchukie ufisadi?Katibu Mkuu wa CCM inabidi awe mtu ambaye anachukia ufisadi kwa dhati ya moyo wake. Aidha awe amejipambanunua kuwa ana uwezo wa kusimamia yale ambayo anayaamini. Kusema ukweli CCM ilikuwa imegubikwa na wachumia tumbo na hayo tunayaona km kudhulumiwa kwa jengo la Channel 10. Tunamsihi Mwenyekiti wa CCM aangalie "outside the box". Tunamwomba Mwenyezi Mungu amwongoze katika hilo.
Unasemaje mbona mengi sanaTokea JPM aingie Ikulu, hakuna hata mmoja ambaye ametabiri Jambo nalo likatokea kama alivyotabiri, hata wewe unaota ndoto za mchana
Kwa shigella hapana hicho chama kitakuwa cha wasukuma, Mwenyekiti na Karibu wakeMkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca
Mungu atampigania, ni obvious kuwa hajawahi kumwangusha katika mambo makubwa kama hayaKatibu Mkuu wa CCM inabidi awe mtu ambaye anachukia ufisadi kwa dhati ya moyo wake. Aidha awe amejipambanunua kuwa ana uwezo wa kusimamia yale ambayo anayaamini. Kusema ukweli CCM ilikuwa imegubikwa na wachumia tumbo na hayo tunayaona km kudhulumiwa kwa jengo la Channel 10. Tunamsihi Mwenyekiti wa CCM aangalie "outside the box". Tunamwomba Mwenyezi Mungu amwongoze katika hilo.
Bonge la Arubadili ngoja tusubiri Vipi Jina lako HALIMO?Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.
Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.
Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.
Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.
Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.
Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi
Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula
Britanicca