Tetesi: Martin Shigella Katibu mkuu CCM, Mwanri kuwa RC Tanga

Tetesi: Martin Shigella Katibu mkuu CCM, Mwanri kuwa RC Tanga

Tokea JPM aingie Ikulu, hakuna hata mmoja ambaye ametabiri Jambo nalo likatokea kama alivyotabiri, hata wewe unaota ndoto za mchana
 
Hizi sio zama za kiku boy unatabiri kilakitu,sasahv tuna jiwe kwelikweli anafikiri mwenyewe anaamua hata makamu au waziri mkuu anakuwa surprised!! Jiulize we nani mpaka uanze kujua??
Ila mkuu angempa makonda ubalozi hasa South Africa a promote mziki na biashara na akazuie madawa ubalozi wetu kule ametulia sana
Makonda is not clean. Mkuu alipolijua hilo, hana hamu naye.
 
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.

Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.

Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.

Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.

Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.

Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi

Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula

Britanicca

Mwegelo Kisarawe oyeeeee??
 
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.

Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.

Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.

Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.

Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.

Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi

Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula

Britanicca
Mwanri amestaafu kwa mujibu wa sheria!
 
Majina 2 3 5 ni age ya mkiti sidhani sana atataka waliopita uvccm na chamani

1. Shigela + ex Km uvccm
2, sixtus mapunda- ex Km uvccm
3. Emanuel nchimbi+ ex Mkit uvccm Taifa
4 Amos makala- ex Km uvccm na mwekahazina
5 Roderick mpogolo naibu sasa
6 silima - ktb organizesheni

Zanzibar haina nafasi? Vipi candidate mgombea kutoka kundi la lowasa?

Je rule number one tuliyozoea ya kanda pendwa haipo tena?

Mwisho wa reli ni sisi wasafisha viatu na kuvipaka mafuta badala ya kiwi tunaangaliwaje?

Yoote yaweza kuwa lakini sio makala wala mtu wa mwakaleli
 
Zanzibar haina nafasi? Vipi candidate mgombea kutoka kundi la lowasa?

Je rule number one tuliyozoea ya kanda pendwa haipo tena?

Mwisho wa reli ni sisi wasafisha viatu na kuvipaka mafuta badala ya kiwi tunaangaliwaje?

Yoote yaweza kuwa lakini sio makala wala mtu wa mwakaleli
Sahihi, Katibu atakuwa Muislam tena wa bara.
 
Wakimpa Mwakyembe mzee wa sumu wamejimaliza..huyu hadi jimboni walimkataa kwa kishindo
 
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.

Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.

Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.

Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.

Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.

Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi

Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula

Britanicca
Katibu Mkuu wa CCM inabidi awe mtu ambaye anachukia ufisadi kwa dhati ya moyo wake. Aidha awe amejipambanunua kuwa ana uwezo wa kusimamia yale ambayo anayaamini. Kusema ukweli CCM ilikuwa imegubikwa na wachumia tumbo na hayo tunayaona km kudhulumiwa kwa jengo la Channel 10. Tunamsihi Mwenyekiti wa CCM aangalie "outside the box". Tunamwomba Mwenyezi Mungu amwongoze katika hilo.
 
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.

Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.

Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.

Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.

Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.

Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi

Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula

Britanicca
No 7 muweke Nasari!!
 
Katibu Mkuu wa CCM inabidi awe mtu ambaye anachukia ufisadi kwa dhati ya moyo wake. Aidha awe amejipambanunua kuwa ana uwezo wa kusimamia yale ambayo anayaamini. Kusema ukweli CCM ilikuwa imegubikwa na wachumia tumbo na hayo tunayaona km kudhulumiwa kwa jengo la Channel 10. Tunamsihi Mwenyekiti wa CCM aangalie "outside the box". Tunamwomba Mwenyezi Mungu amwongoze katika hilo.
Kada wa Chama Cha Mafisadi auchukie ufisadi?
 
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.

Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.

Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.

Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.

Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.

Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi

Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula

Britanicca
Kwa shigella hapana hicho chama kitakuwa cha wasukuma, Mwenyekiti na Karibu wake
 
Katibu Mkuu wa CCM inabidi awe mtu ambaye anachukia ufisadi kwa dhati ya moyo wake. Aidha awe amejipambanunua kuwa ana uwezo wa kusimamia yale ambayo anayaamini. Kusema ukweli CCM ilikuwa imegubikwa na wachumia tumbo na hayo tunayaona km kudhulumiwa kwa jengo la Channel 10. Tunamsihi Mwenyekiti wa CCM aangalie "outside the box". Tunamwomba Mwenyezi Mungu amwongoze katika hilo.
Mungu atampigania, ni obvious kuwa hajawahi kumwangusha katika mambo makubwa kama haya
 
Mkuu wa mkoa Tanga ni Miongoni mwa Majina yaliyoko mezani kwa mkuu likiwa ndani ya majina mengine mawili yaani Harrison Mwakyembe na Asha Rose Migiro.

Ila kwa wanaojua wanaona upepo unamnyemelea Shigella anakijua sana chama chetu.

Hata hivo kuna Wanazuoni wawili ambao Mkuu amesema nao anawafikiria, mmoja ni Mwalimu UDSM na Mwingine yuko Wizara ya Ujenzi.

Majina ya Membe na Chenge hayo ndo hayakufikiriwa kabisa.

Jina la Makongoro limekuwepo na kulijadili sana take this also.

Kwa kifupi majina haya ndo yanatoa Katibu
1. Martin Shigella
2. Harrison Mwakyembe
3. Asha Migiro
4. Mwanazuoni wa UDSM
5. Makongoro NYERERE
6. Emmanuel Nchimbi

Nafasi ya Shigella anaiziba Aggrey Mwanri, akikataa Mwegelo ameula

Britanicca
Bonge la Arubadili ngoja tusubiri Vipi Jina lako HALIMO?
 
Back
Top Bottom