Tetesi: Martin Shigella Katibu mkuu CCM, Mwanri kuwa RC Tanga

Kwanini kwa sasa tusimpe mwanamama
 
Emmanuel Nchimbi ndiyo bora na ana sifa zote ila hawezi kupewa. Ninarudia hawezi kupewa. Yaani anasema hivi hawezi kupewa. Historia inanipeleka 2015. Sina urafiki na yoyote ambaye alitaka niwe Mimi. Ninarudia sina unafiki huo na mifano ipo. Shinikizo au wengi wake siyo miluzi ya sasa hivyo Mimi nikishasema nimesema. Narudia nikishasema nimesema.
 
Huyo Makonda asahau kwani amesha mtia hasara baba ya kuharibu mission ua kummaliza Lisu
 
Kama utani february makamba anaula
Anawaacha nyape na rizmomo kwenye kundi la membe
 
Mi naona pole pole apewe hiyo nafasi alafu nafasi ya pole pole kama nape atahurumiwa anaweza kava hapo kidogo ccm nitaona iko vizuri
 
Mwanasiasa mwenye uwezo Wasira ktk hii nafasi kumbuka enzi Dr Slaa alivyokuwa anajibu hoja
 
Hivi Shiggella aliwahi kuisaidia ccm wapi na kwenye Lipi ?
 
Hii itasaidia PAYE yangu (More than 34%) Kupunguzawa ?
 
Mbona mimi kwenye hayo majina simo
 
ingekua enzi za jk sawa mambo yalikua predictable
 
SIXTUS MTOE ANA FAILI LAKE TAKUKURU ANAWEZA FIKISHWA MAHAKAMANI WAKATI WOWOTE NDIO MAANA HATA JINA LAKE LIKAKATWA PAMOJA NA KUONGOZA KWENYE KURA ZA MAONI UBUNGE MBINGA
 
Kwakuwa sijaona jina la makonda siiamini hiyo list ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ni wakati sasa kwa Pascal Mayalla kuangaliwa kwa jicho la huruma.
Samia ikikupendeza huyu kijana atakusaidia kwenye mambo flani hivi๐Ÿ˜Ž
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ