Marubani wa kike walifanya shambulio la aibu na uharibifu mkubwa kwenye jamhuri ya kiislam ya Iran, kwanini Iran inasita kulipa kisasi?

Marubani wa kike walifanya shambulio la aibu na uharibifu mkubwa kwenye jamhuri ya kiislam ya Iran, kwanini Iran inasita kulipa kisasi?

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
1739821212224.png


Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.

Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi, MARUBANI WA KIKE

OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
  • Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
  • Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
  • Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
  • Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
  • Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
  • Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
  • Askari wanne wa Iran waliuawa.
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
 
Huwezi kulipua kiwanda na asife mtu


Sema nini Iran iliitia aibu mifumo ya ulinzi wa anga ya Israeli ambayo kila kukicha ilikuwa ikisifiwa humu




Ila nilivutiwa na utulivu wa makombora ya iran yalivyo litawala anga la Israeli
Hayo makombora yaliyorushwa na Iran yalikuwa na athari ndogo sana, Ni mtu moja tu alieuawa baada ua kombora kumalizia safari yake Palestina
 
View attachment 3239752

Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.

Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi

OCTOBER 26 2024, SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU

  • Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa!
  • Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa!
  • Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa!
  • Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa!
  • Ndege za Israel zilipita KATIKATI YA JIJI LA TEHRAN kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika!
  • Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila hata mkwaruzo !
  • 💥 Askari 4 wa Iran waliuawa
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi ?
Ushabiki
 
View attachment 3239752

Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.

Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi

OCTOBER 26 2024, SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU

  • Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa!
  • Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa!
  • Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa!
  • Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa!
  • Ndege za Israel zilipita KATIKATI YA JIJI LA TEHRAN kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika!
  • Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila hata mkwaruzo !
  • 💥 Askari 4 wa Iran waliuawa
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi ?
Iran wameokoka siku hizi, Neno Lao ni moja tu, samehe saba mara sabini
 
Ewe mgalatia kikombe hutakiepuka Hata iweje Hata ipite miaka mingapi hili ni deni na hakika Iran huwa analipa, US wanajua Hilo kwani na wao walilipwa walipo Fanya ujinga wao

🇮🇷🇮🇷🚨☄️ | Iran affirms its retaliation, Truthful Promise 3 will come

Deputy Commander of the IRGC, Fadavi:
🔸 "Operation Truthful Promise 3" will be executed at the right time. For 46 years, we have acted correctly to a considerable extent, and, God willing, we will continue to do so. Even Zionist officials themselves acknowledge that Hamas has won and they have been defeated."

@NEWWORLDORDYR | Mirror Channel
 
View attachment 3239752

Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.

Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi

OCTOBER 26 2024, SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU

  • Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa!
  • Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa!
  • Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa!
  • Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa!
  • Ndege za Israel zilipita KATIKATI YA JIJI LA TEHRAN kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika!
  • Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila hata mkwaruzo !
  • 💥 Askari 4 wa Iran waliuawa
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi ?
Wabongo bana huwa mnakaulevi flani kuhusu na hili taifa hata wakiijamba mtasema amejipulizi manukato
 
View attachment 3239752

Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.

Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi

OCTOBER 26 2024, SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU

  • Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa!
  • Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa!
  • Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa!
  • Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa!
  • Ndege za Israel zilipita KATIKATI YA JIJI LA TEHRAN kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika!
  • Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila hata mkwaruzo !
  • 💥 Askari 4 wa Iran waliuawa
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi ?
Walipiga nini
 
Ewe mgalatia kikombe hutakiepuka Hata iweje Hata ipite miaka mingapi hili ni deni na hakika Iran huwa analipa, US wanajua Hilo kwani na wao walilipwa walipo Fanya ujinga wao

🇮🇷🇮🇷🚨☄️ | Iran affirms its retaliation, Truthful Promise 3 will come

Deputy Commander of the IRGC, Fadavi:
🔸 "Operation Truthful Promise 3" will be executed at the right time. For 46 years, we have acted correctly to a considerable extent, and, God willing, we will continue to do so. Even Zionist officials themselves acknowledge that Hamas has won and they have been defeated."

@NEWWORLDORDYR | Mirror Channel
Wamedhalilishwa kupita maelezo, yani Iran imepigwaje na wanawake halafu mpaka leo hawalipi kisasi ?

Iran na ukubwa wote ule ndio ya kusubiri kulipa kisasi kwa kunyatia baada ya aibu na fedheha kama ile ?
 
Wamedhalilishwa kupita maelezo, yani Iran imepigwaje na wanawake halafu mpaka leo hawalipi kisasi ?

Iran na ukubwa wote ule ndio ya kusubiri kulipa kisasi kwa kunyatia baada ya aibu na fedheha kama ile ?
Tunaomba picha ya Iran akipigwa!!!!! acha kujitekenya na kucheka mwenyewe!!! Ukitaka ya Israel ikibutuliwa utapewa pia!!!
 
Chakushangaza video za mashambulizi ya Iran zimejaa mitandaoni na kila mtu ali ziona wakati nyinyi mpaka sasa hamjawahi kutuletea video za mashambulizi ya Israel zaidi ya ngonjera.
 
Wamedhalilishwa kupita maelezo, yani Iran imepigwaje na wanawake halafu mpaka leo hawalipi kisasi ?

Iran na ukubwa wote ule ndio ya kusubiri kulipa kisasi kwa kunyatia baada ya aibu na fedheha kama ile ?
Ukiona hivyo ujue madhara ya shambulizi la Israel yalikuwa madogo na ndo maana Iran haiku onekana kupanic baada ya shambulizi.
Siku Israel ikithubutu kuishambulia vinu vya nyukilia au visima vya mafuta ndo utanielewa ninacho kimaanisha.
 
Israel kamfanya kisasi kibaya sana huyo msumbufu asiyejua mipaka yake hapo mashariki ya kati
 
Ukiona hivyo ujue madhara ya shambulizi la Israel yalikuwa madogo na ndo maana Iran haiku onekana kupanic baada ya shambulizi.
Siku Israel ikithubutu kuishambulia vinu vya nyukilia au visima vya mafuta ndo utanielewa ninacho kimaanisha.
Maneno mengi ya Nini mzee mmepigwa na wanawake 🤣🤣🤣🤣
 
Ukiona hivyo ujue madhara ya shambulizi la Israel yalikuwa madogo na ndo maana Iran haiku onekana kupanic baada ya shambulizi.
Siku Israel ikithubutu kuishambulia vinu vya nyukilia au visima vya mafuta ndo utanielewa ninacho kimaanisha.
Akuna madhara kabisa,, lkn Iran Janja Janja sana wakataka Sababu ya Kisheria ndio wakatangaza kufa watu w4 na DAMAGES Seem chache!!! Kutoka apo IRAN ikaenda UN kulalamikia kurudi hm ikatangazwa Promis no3 !!!!!
 
Back
Top Bottom