Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
ChaiAkina madhara kabisa,, lkn Iran Janja Janja sana wakataka Sababu ya Kisheria ndio wakatangaza kufa watu w4 na DAMAGES Seem chache!!! Kutika apo IRAN ikaenda UN kulalamikia kurudi hm ikatangazwa Promis no3 !!!!!
God bless IDFView attachment 3239752
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi
OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
- Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
- Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
- Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
- Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
- Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
- Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
- Askari wanne wa Iran waliuawa.
Muislam ukiwa vitani! Kifo chako kikisababishwa na Mwanamke- Uendi Peponi🤣🤣Bikra 72 neiView attachment 3239752
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi
OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
- Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
- Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
- Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
- Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
- Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
- Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
- Askari wanne wa Iran waliuawa.
Mgalatiaa kwenye ubora wake.wee unaona rahaa sana watu wasipo ishi kwa amaniHayo makombora yaliyorushwa na Iran yalikuwa na athari ndogo sana, Ni mtu moja tu alieuawa baada ua kombora kumalizia safari yake Palestina
mkuu we unaishi israel?Hayo makombora yaliyorushwa na Iran yalikuwa na athari ndogo sana, Ni mtu moja tu alieuawa baada ua kombora kumalizia safari yake Palestina
Lete picha Iran ikipigwa tujue chai ipoje!!!Chai
Lete picha tuone Iran ikipigwa wasomaji wa JAMII FORUMS wajue chai ni ipi!!!!!!!!Chai
Tuoneshe video za ushahidi wa hicho kitu kibaya.Israel kamfanya kisasi kibaya sana huyo msumbufu asiyejua mipaka yake hapo mashariki ya kati
ChaiLete picha tuone Iran ikipigwa wasomaji wa JAMII FORUMS wajue chai ni ipi!!!!!!!!
Sijui kwanini watu mnashabikia sana vita??View attachment 3239752
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi
OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
- Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
- Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
- Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
- Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
- Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
- Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
- Askari wanne wa Iran waliuawa.
Ewe mwarabu wa kankokoEwe mgalatia kikombe hutakiepuka Hata iweje Hata ipite miaka mingapi hili ni deni na hakika Iran huwa analipa, US wanajua Hilo kwani na wao walilipwa walipo Fanya ujinga wao
🇮🇷🇮🇷🚨☄️ | Iran affirms its retaliation, Truthful Promise 3 will come
Deputy Commander of the IRGC, Fadavi:
🔸 "Operation Truthful Promise 3" will be executed at the right time. For 46 years, we have acted correctly to a considerable extent, and, God willing, we will continue to do so. Even Zionist officials themselves acknowledge that Hamas has won and they have been defeated."
@NEWWORLDORDYR | Mirror Channel
Sasa kama hii ni kweli ni kipi kinwafanya waisraeli na wamerekani kulalamika kuwa irani inatengeneza mabomu ya nuclear iwapo hiyo mitambo yote imevunjwa kwa kulipuliwa?View attachment 3239752
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi
OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
- Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
- Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
- Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
- Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
- Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
- Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
- Askari wanne wa Iran waliuawa.
Divai !!!Chai
Hiii sio chai ni Divai !!!!! Mlokole wawapi ww sio kiteto!!!Ewe mwarabu wa kankoko
Tuliambiwa huku mtaan eti hzbolha syo hamasi israel isjaribu, ila kisago kilipoanza nkagundua bora hamas kuliko hzbolha
Watakuletea picha ya netanyahuTuoneshe video za ushahidi wa hicho kitu kibaya.
Makomboro hatushwi hovyo ... makomboro sio kama mayai nduguMbona Iran siku hizi harushi makombora,?ni ishara ya wazi kuwa alikatwa mkia wake ndio maana siku hizi kakaa kimya
arushe vipi wakati hamas wako kwenye makubaliano na waisraeli?Mbona Iran siku hizi harushi makombora,?ni ishara ya wazi kuwa alikatwa mkia wake ndio maana siku hizi kakaa kimya
Yeye anajua mabomu ni kama pipiarushe vipi wakati hamas wako kwenye makubaliano na waisraeli?