Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Kichwa chako hakipo sawa 🤣🤣🤣🤣🤣Show za Iran huwa anamaliza dashboard ya ile military map lakini hapigi hata mbu asiehusika what an accuracy, had raha, sasa mzayuni kazi kwake kipi uzuie kipi uache kipi mabwana zako wahangaike nacho
Jaribu kumuona daktari mzee🤣🤣🤣Kuna swali niliuliza kipi Marekani anacho Irani hana wala alternative yake? Hana?
Hata kwa Hezbollah mlisema hivyo hivyo lakini baada kubutuliwa mkanyamaza kimya!!! Wafuga Midevu na Majini ni watu wa ajabu sana!!Ukiona hivyo ujue madhara ya shambulizi la Israel yalikuwa madogo na ndo maana Iran haiku onekana kupanic baada ya shambulizi.
Siku Israel ikithubutu kuishambulia vinu vya nyukilia au visima vya mafuta ndo utanielewa ninacho kimaanisha.
Jibu hoja achana na mleta mada hivi ndivyo duniani super pawa wetu anavyoJaribu kumuona daktari mzee🤣🤣🤣
Nimeshakuambia nenda kamuone daktari mzee huna hoja hapo.🤣🤣🤣🤣Jibu hoja achana na mleta mada hivi ndivyo duniani super pawa wetu anavyo
1. Nyuklia weapons - Iran hajaweka wazi anazo au hana lakini kwa kauli tuu unajua anazo maana mtu kusema anaweza kuvika nuklia war heads ndani ya saa 24 huyo tilia shaka
2. Ballistic Missiles - Iran ndio nyumbani kuna viwanda zaidi ya mia
3. Drones - Iran saivi alishatoka kwenye mambo ya kukopi saivi wengine ndio wanamkopi mfano mdogo Shaheed
4.Jets - Anazo pia saivi anashirikiana na Russia
4.Jeshi - Iran kuna majeshi idadi Zaid ya milioni kujumlisha na reserve
5.Vikundi vya kivita- Iran anavyo mpaka vingine ni serkali mfano Al houth
5. Meli Irani anazo pia na submarine zenye quality ileile kama ya Us
6.Boats Iran kazindua boats zinazopiga drones pia chini ya maji bila kuibuka
7. ICBM intercontinental hizo ndio zinabeba nyuklia warheads Iran anazo na kamodify zipo zinazobeba mabomu uzito mdogo zaidi ya 80 na kujifungua zikifikia target moja yanakuwa 80
8.satelites Iran nae karusha zake mwaka jana mwaka huu bajeti ya ulinzi imeongezeka huenda akarusha zingine
9.Hela Iran kazidiwa na anaongezewa vikwazo lakini kwa mambo yake zinatosha
10. Defence system Iran anazo pure made from Iran pia anachanganya na za Mrusi, mwaka kesho tutashuhudia kwa mara ya kwanza pure made from Iran air defense ya ballistic missiles.
11. Nakadhalika huko ni kwenye technology, intelligence strategy yote hayo yako level standard kubwa kabisa ndio maana vikundi vyake vinawatoa jasho watu wazima kikundi kama Al houth kimemtimua Marekani red sea
Mkuu. Ingekua ww ndiye umepigwa na mademu alafu wajuba wapo koridoni wanapasha tu kusibiria kiherehere chako waje kukuzika kabisa. Ungethubutu..?View attachment 3239752
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi, MARUBANI WA KIKE
OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
- Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
- Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
- Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
- Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
- Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
- Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
- Askari wanne wa Iran waliuawa.
Watakuambia B2 na B52..Kuna swali niliuliza kipi Marekani anacho Irani hana wala alternative yake? Hana?
Alternative yake ipo kuna ballistic Iran anazo zenye uwezo mkubwa kama oremshik ya kirusi yaani unapigwa moja yanasambaa 80Watakuambia B2 na B52..
Kaswali ukalale huna hoja wewe jihadist.Kipi alichonacho US Iran Hana? Zaidi ya hela? Kama alikimbia Afghanistan, alichemka mapinduzi ya Iran tena Iran ikiwa bado haijajipata na alitumia silaha za sumu, kakimbia juzi wayemen. Iran kashabutua kambi yake ya Iraq Kaua 80 us alishia kusema yaishe tena Trump huyuhuyu
Iran iliachwa uchi, ingelipaje?View attachment 3239752
Mnamo Oktoba 1, 2024, Iran ililenga Israel kwa makombora 200, Ni mashambulizi makubwa lakini athari zilikuwa kidogo, Mabomu mengi yalikosa target yalitua nje ya mji, Mtu mmoja aliuawa ambae ni Mpalestina baada ya bomu kukosa target kwa kutua Palestina.
Israel ikajibu October 26, hawakurusha makombora, walipeleka wanajeshi, MARUBANI WA KIKE
OCTOBER 26, 2024 – SIKU AMBAYO IRAN HAWAWEZI KUISAHAU
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake, inakuwaje mpaka leo hawalipi kisasi?
- Viwanda vya utengenezaji wa droni vililipuliwa.
- Viwanda vya makombora ya balistiki viliangamizwa.
- Radars za kugundua ndege hazikusaidia, zilisambaratishwa.
- Mfumo wa ulinzi wa anga ulibomolewa kabisa.
- Ndege za Israel zilipita katikati ya jiji la Tehran kwa dharau huku mifumo ya ulinzi ikihangaika.
- Ndege zote zilizokwenda zilirejea salama bila mkwaruzo.
- Askari wanne wa Iran waliuawa.
Sawa ImeloaKaswali ukalale huna hoja wewe jihadist.
Wajinga kama ninyi nilijua mmeshaakuwa na elim na kuelewa kumbe mna zile arrogances bado ukiambiwa uonyeshe huo uchi utaaonyesha au unataka kutuonyesha uchi wakoIran iliachwa uchi, ingelipaje?
Kila kitu kiliharibiwa.
Haiwezi kuthubutu tena kurusha vimondo vyake kwa wayahudi.
Na wewe hapa ndio umetoa hoja?!Wajinga kama ninyi nilijua mmeshaakuwa na elim na kuelewa kumbe mna zile arrogances bado ukiambiwa uonyeshe huo uchi utaaonyesha au unataka kutuonyesha uchi wako
Kwanini unaimgia jamiiforum ukiwa umelewaNa wewe hapa ndio umetoa hoja?!
Basi uko vizuri.
Waambie sasa ndugu zako Iran warushe tena vikombora Israel.
Hawawezi hadi mwisho wa dunia.
Mtu amekudharau hadi anatuma marubani wa kike kukushughulikia, ni aibu kubwa.
Ndege 300 ziliranda randa kwenye anga ya muajemi usiku kucha, zikijichagulia pa kupiga.
Wewe unadhani ni kwa nini?Kwanini unaimgia jamiiforum ukiwa umelewa