Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,898
- 14,413
Sio Majaliwa tenaMkuu, hakuna sehemu wamesema Control hTower waliwaonya/waelekeza marubani wakapuuza!
Na zaidi, wamesema, cabin crew ndo wamefungua mlango na kuwaruhusu abiria kutoka, mitumbwi ilisaidia kuwatoa abiria majini!