Marufuku Kwa Uchawi Tanzania; Miaka mitatu baadaye

Marufuku Kwa Uchawi Tanzania; Miaka mitatu baadaye

Hahaha na nataka ujue hakuna dawa ya kuzuia mke kuchepuka kilichotokea kinaitwa penis captivus (nalog off leo siku nzima kama hata kenya nzima mlijua hii) kwahiyo wewe endelea kukesha kwa waganga na utaendelea kut01mbewa.

wewe unayezuia usimegewe na hao wanaoua albino wote ni mandondocha

Bora niwe na imani isiyohusisha kuwachinja albino, iwe ni penis captivus au chochote kile lakini isiishie kumtafuna mtoto wa albino.
 
Unajisikiaje unapotangaza Uongo ulio dhahiri dhidi ya jirani wako? Una uhakika ktk Tz kuna jamii hata kihistoria iliowahi kutumia nyama ya binadamu kama kitoweo hata ktk ushirikina? Mi Nadhani kama jambo hulijui ni busara kuuliza.

Kihistoria kuna jamii moja ya wakenya, walitumia nyama ya binadamu (wareno) kama kitoweo, kwa Tz ulishawshi kusikia hayo?

Kuna imani za kishirikina huku, kwa baadhi ya jamii, nazo ni ngeni toka Congo na Zambia, ambazo huamini viungo vya albino huweza kutumika ktk kufanikisha mambo yao kishirikina, kama utajiri, kipato nknk, si chakula.

Kihistoria, duniani kote na ktk jamii zote, kulikuwepo na kwa baadhi ya jamii bado hadi sasa, imani inayoamini mtu kuwa albino ni mkosi, najisi hivyo hapaswi kuishi, hilo lipo Afrika yetu yote, tukubalii uwepo wa tatizo ndio tufanikiwe kulikabili, sio kulificha. Swala la imani hizi lipo ktk jamii nyingi za kiafrika, tulishawahi kuuliza humu kama kuna mtu alishawahi kumuona albino Mmasai.

Unatumia nguvu nyingi kuandika riwaya ilhali nchi yenu tumeona taarifa zikiangazwa hadi kimataifa kwamba mnawasaka sana albino na kuwachinja, hususan wakati wa kampeni. Wengine mnakata mkono na kukimbia nao na kuacha maskini mtoto wa watu anafuja damu, kisa tu kakosa rangi kwenye ngozi yake.
 
Bora niwe na imani isiyohusisha kuwachinja albino, iwe ni penis captivus au chochote kile lakini isiishie kumtafuna mtoto wa albino.
hahahs [emoji1] [emoji23] [emoji23] mlikua mnaomba mungu uhuru asimzingue odinga maana machafuko yangetokea wanawake wangeingia tena kazini kuwabania **** mfe kwa nyege.
 
Naona kastama mkubwa wa wachawi leo umemua lazima ijitambulishe, liwe liwalo! Sasa serikali yenu ilikuwa inapiga marufuku wachawi kwanini? Ama hilo pia lilikuwa ni agizo la Karumanzela? 😀
Unauliza kwanini serikali imepiga marufuku, ni kwasababu taaluma iliingiliwa na waganga feki wakijiita waganga wa jadi lakini ni waganga njaa tuu kama wale wanaokuja Kenya kula hela za wanasiasa na matajiri.
 
Aisee, Jombaa tufafanulie tofauti ya, 'uganga wa jadi', 'uchawi','uganga wa kienyeji' na misamiati mingine ya nguvu za giza. Nadhani sina weledi kabisa kwenye haya maswala.
Uganga wa jadi au tiba asili au tiba mbadala ama tiba za mitishamba, ni jina linalotumika kumaanisha matibabu ya kiasili, Mfano majani, mizizi, miti nk. Huu si huchawi, ni matibabu tu yanayotumia local medicine. Uchawi ni kuamini ktk nguvu za giza, majini na mambo kama hayo.

Tatizo, kuna waganga hawa wa mitishamba, baadhi yao wanachanganya hizi fani, za utabibu wa jadi na ushirikina kwa pamoja. Kwahiyo, kwa kulitambua hilo, ndio maana walizuiwa kwa muda ili wajipambanue. Tanzania tangu zamani ina Witchcraft Act inayoratibu na kuzuia mambo ya kiuchawi.
 
Unatumia nguvu nyingi kuandika riwaya ilhali nchi yenu tumeona taarifa zikiangazwa hadi kimataifa kwamba mnawasaka sana albino na kuwachinja, hususan wakati wa kampeni. Wengine mnakata mkono na kukimbia nao na kuacha maskini mtoto wa watu anafuja damu, kisa tu kakosa rangi kwenye ngozi yake.
Kama ulinielewa vyema, sikupinga uwepo wa matukio hayo. Bali si kweli kwamba wanawachinja ili wawale nyama. Hilo halipo kabisa.
 
Basi itakua show haikuhusu

hahahs [emoji1] [emoji23] [emoji23] mlikua mnaomba mungu uhuru asimzingue odinga maana machafuko yangetokea wanawake wangeingia tena kazini kuwabania **** mfe kwa nyege.
We jamaa bana ndo maana nilikuambia sikuelewi hata kidogo. Uwe na staha bana, huna hoja ya ziada kando na sehemu nyeti za wanawake na kujamiana? Nini cha ajabu hapo? Si hayo ni ya kawaida kwa kila binadamu? Oa au nenda katongozane, acha utoto.
 
Unauliza kwanini serikali imepiga marufuku, ni kwasababu taaluma iliingiliwa na waganga feki wakijiita waganga wa jadi lakini ni waganga njaa tuu kama wale wanaokuja Kenya kula hela za wanasiasa na matajiri.
Kumbe 'quality' ya uganga ndo ilikuwa imedorora hadi wakaamua 'taaluma' yenyewe, kama unavyoiita, ipigwe marufuku? Kuwa serious jombaa.
 
Kumbe 'quality' ya uganga ndo ilikuwa imedorora ndo wakaamua 'taaluma' yenyewe, kama unvyoiita, ipigwe marufuku? We jamaa kuwa serious kidogo.
Hivi huko kwenu Kenya hakuna kitego kinacho tafiti dawa za jadi au asili? Sisi huku tunavyo vingi tuu na vingine viko chini ya serikali. Waganga feki ndio hao wanaowadangana watu (wakenya pia) kama wanaweza kumaliza matatizo yao wakati wanajuwa hawana huo uwezo na nia yao ni kupiga hela tu.
 
Uganga wa jadi au tiba asili au tiba mbadala ama tiba za mitishamba, ni jina linalotumika kumaanisha matibabu ya kiasili, Mfano majani, mizizi, miti nk. Huu si huchawi, ni matibabu tu yanayotumia local medicine. Uchawi ni kuamini ktk nguvu za giza, majini na mambo kama hayo.

Tatizo, kuna waganga hawa wa mitishamba, baadhi yao wanachanganya hizi fani, za utabibu wa jadi na ushirikina kwa pamoja. Kwahiyo, kwa kulitambua hilo, ndio maana walizuiwa kwa muda ila
Shukran kwa ufafanuzi huo jombaa, ila umetia doa hoja yako uliposema kuna waganga wa jadi wanaotumia uchawi. Kwa ufahamu wangu hiyo ni asilimia zaidi ya themanini. Hao ndo tunawajadili, sio madaktari wa miti shamba, ambao hawajatajwa kwenye mada. Tunaongea kuhusu wahuni wanaosababisha maafa ya mamia ya albino. Hadi sasa hivi, sheria imewaadhibu au la?
 
Hivi huko kwenu Kenya hakuna kitego kinacho tafiti dawa za jadi au asili? Sisi huku tunavyo vingi tuu na vingine viko chini ya serikali. Waganga feki ndio hao wanaowadangana watu (wakenya pia) kama wanaweza kumaliza matatizo yao wakati wanajuwa hawana huo uwezo na nia yao ni kupiga hela tu.
Naona taratibu unarudi kwenye mada. Waganga wa kienyeji, Kenya huwa wanajiita madaktari wa miti shamba, wapo pia, tena kuna hadi maabara ya kufanya utafiti wa tiba za kiasili. Hata daktari halisi anaeza akawa mchawi. Unajitia hamnazo ikifika ni kwenye suala la uchawi na mauaji ya watu wasiokuwa na hatia. Marufuku bado ipo? Kama ipo ni wangapi wametiwa mbaroni?
 
Unatumia nguvu nyingi kuandika riwaya ilhali nchi yenu tumeona taarifa zikiangazwa hadi kimataifa kwamba mnawasaka sana albino na kuwachinja, hususan wakati wa kampeni. Wengine mnakata mkono na kukimbia nao na kuacha maskini mtoto wa watu anafuja damu, kisa tu kakosa rangi kwenye ngozi yake.
Huwa wanatuzingua kwamba shughuli ya uchaguzi kwao huwa haina maafa wala umwagikaji wa damu. Sijui kwao albino ni wanyama na sio binadamu? Cha kutamausha ni kwamba, kuna uwezekano wa haya yote kujirudia tena, muda wa uchaguzi ukiwadia.
 
We jamaa bana ndo maana nilikuambia sikuelewi hata kidogo. Uwe na staha bana, huna hoja ya ziada kando na sehemu nyeti za wanawake na kujamiana? Nini cha ajabu hapo? Si hayo ni ya kawaida kwa kila binadamu? Oa au nenda katongozane, acha utoto.
Sikia niliposema haikuhusu ni kwakua ulisema hujaelewa.

Unless kama hukua duniani ila dunia nzima inajua kua wapinzani na watawala nchini kwenu walikubali kukaa meza moja kusuluhishana baada ya nyie wanawake kugoma kutoa **** mpaka suluhu ipatikane.
Ulivyojifanya huelewi nilijua tu unazingua but who gon argue with a woman? Nikaamua nikuache.

And no hilo siyo la kawaida, kukubali usuluhishi kisa pussy is at stake siyo kawaida.
 
Sikia niliposema haikuhusu ni kwakua ulisema hujaelewa.

Unless kama hukua duniani ila dunia nzima inajua kua wapinzani na watawala nchini kwenu walikubali kukaa meza moja kusuluhishana baada ya nyie wanawake kugoma kutoa **** mpaka suluhu ipatikane.
Ulivyojifanya huelewi nilijua tu unazingua but who gon argue with a woman? Nikaamua nikuache.

And no hilo siyo la kawaida, kukubali usuluhishi kisa pussy is at stake siyo kawaida.
Wewe jamaa umelogwa? Eti who gon argue with a woman. Acha kudhalilisha dada zetu. Alafu mi ni mwanaume bana. Check out my profile, acha kuchanganya bange na mbege!
 
Wewe jamaa umelogwa? Eti who gon argue with a woman. Acha kudhalilisha dada zetu. Alafu mi ni mwanaume bana. Check out my profile, acha kuchanganya bange na mbege!
Tatizo jina uliloamua kutumia mkuu.

Huku nilipo hiyo inamaanisha mwanamke mbanaji aliye serious muda wote.

Anyway siwadhalilishi wadada ila ni hali halisi iliyotokea huko kwenu. Huwezi kubadilisha.
 
Tatizo jina uliloamua kutumia mkuu.

Huku nilipo hiyo inamaanisha mwanamke mbanaji aliye serious muda wote.

Anyway siwadhalilishi wadada ila ni hali halisi iliyotokea huko kwenu. Huwezi kubadilisha.
Wewe jamaa bana, kwani kwenye kila kitu lazima uingize ngono ndani yake, ndo umebalehe juzi juzi nini? Usiwe na mazoea ya kukurupuka. Sasa hayo ya sijui kwa kikolomije eti hii ndo inamaanisha vile ni ya nini? Chunga sana, minyoo ikizidi dawa athari zake ndo hizo basi.
 
Wewe jamaa bana, kwani kwenye kila kitu lazima uingize ngono ndani yake, ndo umebalehe juzi juzi nini? Usiwe na mazoea ya kukurupuka. Sasa hayo ya sijui kwa kikolomije eti hii ndo inamaanisha vile ni ya nini? Chunga sana, minyoo ikizidi dawa athari zake ndo hizo basi.
Ni kweli minyoo ikizidi athari ni hii.

Umewahi kuwaza athari za kua sex starved? Ndiyo hizi zako za kuona watu wamebalehe juzi na wanakurupuka.

Wewe ongea, gala gala, nuna, tukana, ila dunia inajua suluhisho la maandamano lilikua pressured na nyege.

Umeleta stori ya albino ni ya ukweli hakuna aliyepinga, mbona nyinyi mnakua wakali sasa? Sex starved maniacs
 
Ni kweli minyoo ikizidi athari ni hii.

Umewahi kuwaza athari za kua sex starved? Ndiyo hizi zako za kuona watu wamebalehe juzi na wanakurupuka.

Wewe ongea, gala gala, nuna, tukana, ila dunia inajua suluhisho la maandamano lilikua pressured na nyege.

Umeleta stori ya albino ni ya ukweli hakuna aliyepinga, mbona nyinyi mnakua wakali sasa? Sex starved maniacs
WTF is this bugger talking about? Somebody please translate this gibberish for me.
 
WTF is this bugger talking about? Somebody please translate this gibberish for me.
Wenzako tunatumia vichwa kufikiria siyo kufugia nywele.

Haya subiri ndondocha mwenzako akupe mwanga.

Mma wewe
 
Wenzako tunatumia vichwa kufikiria siyo kufugia nywele.

Haya subiri ndondocha mwenzako akupe mwanga.

Mma wewe
Shida hueleweki jombaa. Unachoongea kuhusu, wewe mwenyewe tu ndo unachokijua. Sasa tufanyeje?
 
Back
Top Bottom