Marufuku Kwa Uchawi Tanzania; Miaka mitatu baadaye

Marufuku Kwa Uchawi Tanzania; Miaka mitatu baadaye

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Je, sheria yenyewe bado inatiliwa maanani au ilikuwa ni fixi tu za wauza sura? Tanzania bans witchdoctors in attempt to end albino killings - The Guardian Habari hii iliangaziwa sana mwaka wa 2015, hii ni baada ya mauwaji ya kikatili ya Albino. GoT ilitangaza marufuku dhidi ya wachawi na waganga wa kienyeji ili kujaribu kusitisha uovu huo. Mikakati hiyo ya serikali bado ipo wakuu?

Hiyo ilikua 2015 wakati wa uchaguzi, kawaida uchinjaji wa albino hutendeka sana wakati wa kampeni na uchaguzi maana imani zao ni kwamba nyama ya hao watu huwezesha kupata kura nyingi. Tusubiri 2020 na kutumaini kwamba walishabadilisha hizo kauli za kizwazwa....
 
Hiyo ilikua 2015 wakati wa uchaguzi, kawaida uchinjaji wa albino hutendeka sana wakati wa kampeni na uchaguzi maana imani zao ni kwamba nyama ya hao watu huwezesha kupata kura nyingi. Tusubiri 2020 na kutumaini kwamba walishabadilisha hizo kauli za kizwazwa....
Yaani marufuku yenyewe ilikuwa ni ya wakati wa uchaguzi tu?
 
Wakenya mnajikosesha sifa ya kuwa Waafrika, tuambeni ni nchi gani ya kiafrika yenye watu wenye gozi nyeusi ambao utamaduni wao hauna aina fulani ya uchawi ndani yake? South Africa, Ghana, Congo, Togo au Senegal? Wazungu wali wafumba macho wakenya mpaka mnajisahau kama na nyinyi ni waafrika wenye ngozi nyeusi.
 
Hiyo ilikua 2015 wakati wa uchaguzi, kawaida uchinjaji wa albino hutendeka sana wakati wa kampeni na uchaguzi maana imani zao ni kwamba nyama ya hao watu huwezesha kupata kura nyingi. Tusubiri 2020 na kutumaini kwamba walishabadilisha hizo kauli za kizwazwa....
Anayeamini hiyo nyama itampa kura na anayeamini mganga atamsaidia kuzuia mkewe kutoka nje wana tofauti gani?

 
Anayeamini hiyo nyama itampa kura na anayeamini mganga atamsaidia kuzuia mkewe kutoka nje wana tofauti gani?



Bora hii ya kuzuia mke kuchepuka kuliko yenu ya kunyofoa viungo vya watoto maskini wa albino.
 
Bora hii ya kuzuia mke kuchepuka kuliko yenu ya kunyofoa viungo vya watoto maskini wa albino.
Kuna kipindi nchini kwenu kulikua na maandamano yasiyoisha wanawake wakaamua wasitoe **** hadi mkae chini msuluhishane na mkasuluhishana.
Hii komenti ya kusema bora kuzuia mke inaonyesha jinsi gani mnapenda ngono.

Swali langu lilikua "Wana tofauti gani?" We umeona kut01mbana tu
 
Kuna kipindi nchini kwenu kulikua na maandamano yasiyoisha wanawake wakaamua wasitoe **** hadi mkae chini msuluhishane na mkasuluhishana.
Hii komenti ya kusema bora kuzuia mke inaonyesha jinsi gani mnapenda ngono.

Swali langu lilikua "Wana tofauti gani?" We umeona kut01mbana tu

Tofauti ni kwamba nyie mnawatafuna albino, ndio nchi pekee dunia yote yenye tabia za kuwatafuna albino eti ndio muwe matajiri na kupata kura kwenye uchaguzi. Laana hiyo imesababisha mzidi kuwa maskini pamoja na kuwa mna nchi kubwa yenye kila aina ya raslimali, mnachezea kwenye laana maana kama albino mnawanyofoa sana wakati wa kura, ina maana viongozi wenu wanahusika pakubwa.
 
Tofauti ni kwamba nyie mnawatafuna albino, ndio nchi pekee dunia yote yenye tabia za kuwatafuna albino eti ndio muwe matajiri na kupata kura kwenye uchaguzi. Laana hiyo imesababisha mzidi kuwa maskini pamoja na kuwa mna nchi kubwa yenye kila aina ya raslimali, mnachezea kwenye laana maana kama albino mnawanyofoa sana wakati wa kura, ina maana viongozi wenu wanahusika pakubwa.
Sikujua kama wewe ni mshirikina kiasi hiki!!![emoji1]
Yaani umaskini wa Tanzania kisa ni viongozi kudaiwa kwenda kwa waganga!!!!? Hahaha qumanina walahi

Itakua kenya umaskini wenu umetokana na kunyimwa **** hadi akili zikashindwa kuwaza sawasawa.
 
Wakenya mnajikosesha sifa ya kuwa Waafrika, tuambeni ni nchi gani ya kiafrika yenye watu wenye gozi nyeusi ambao utamaduni wao hauna aina fulani ya uchawi ndani yake? South Africa, Ghana, Congo, Togo au Senegal? Wazungu wali wafumba macho wakenya mpaka mnajisahau kama na nyinyi ni waafrika wenye ngozi nyeusi.
Naona kastama mkubwa wa wachawi leo umemua lazima ijitambulishe, liwe liwalo! Sasa serikali yenu ilikuwa inapiga marufuku wachawi kwanini? Ama hilo pia lilikuwa ni agizo la Karumanzela? 😀
 
Tofauti ni kwamba nyie mnawatafuna albino, ndio nchi pekee dunia yote yenye tabia za kuwatafuna albino eti ndio muwe matajiri na kupata kura kwenye uchaguzi. Laana hiyo imesababisha mzidi kuwa maskini pamoja na kuwa mna nchi kubwa yenye kila aina ya raslimali, mnachezea kwenye laana maana kama albino mnawanyofoa sana wakati wa kura, ina maana viongozi wenu wanahusika pakubwa.
Ikifika kwenye mambo ya uchawi, tofauti kati ya Kenya na Tanzania ni kubwa sana. Kenya wanaoamini uchawi ukiwaona utajua kwamba ni watu ambao walikosa elimu ya kutosha. Tanzania viongozi wao ndo wapo kwenye mstari wa mbele. Tena kwenye foleni kabisa, wakiingia kinyuma nyuma, wakiwa uchi wa mnyama, kwenye nyumba za matope za wataalamu gushi wa 'sayansi ya kiafrika'! Sasa wewe fikiria, hapo wananchi wao nao watakuwa ni wa sampuli gani? Dah, ni hatar.
 
Sikujua kama wewe ni mshirikina kiasi hiki!!![emoji1]
Yaani umaskini wa Tanzania kisa ni viongozi kudaiwa kwenda kwa waganga!!!!? Hahaha qumanina walahi

Itakua kenya umaskini wenu umetokana na kunyimwa **** hadi akili zikashindwa kuwaza sawasawa.

Ndio, tena laana kali sana hiyo, siku mkiacha kuwatafuna albino, nchi tabadilika na kuwa ya baraka, ila kwa sasa hao ndugu zenu wanateseka kisa ngozi zao zimekosa melanin (kaulize nini maana ya melanin, maana siku mkijua maana yake mtashangaa jinsi mlikua mumepotoka)
 
Ndio, tena laana kali sana hiyo, siku mkiacha kuwatafuna albino, nchi tabadilika na kuwa ya baraka, ila kwa sasa hao ndugu zenu wanateseka kisa ngozi zao zimekosa melanin (kaulize nini maana ya melanin, maana siku mkijua maana yake mtashangaa jinsi mlikua mumepotoka)
Hahaha na nataka ujue hakuna dawa ya kuzuia mke kuchepuka kilichotokea kinaitwa penis captivus (nalog off leo siku nzima kama hata kenya nzima mlijua hii) kwahiyo wewe endelea kukesha kwa waganga na utaendelea kut01mbewa.

wewe unayezuia usimegewe na hao wanaoua albino wote ni mandondocha
 
Ikifika kwenye mambo ya uchawi, tofauti kati ya Kenya na Tanzania ni kubwa sana. Kenya wanaoamini uchawi ukiwaona utajua kwamba ni watu ambao walikosa elimu ya kutosha. Tanzania viongozi wao ndo wapo kwenye mstari wa mbele. Tena kwenye foleni kabisa, wakiingia kinyuma nyuma, wakiwa uchi wa mnyama, kwenye nyumba za matope za wataalamu gushi wa 'sayansi ya kiafrika'! Sasa wewe fikiria, hapo wananchi wao nao watakuwa ni wa sampuli gani? Dah, ni hatar.
Nawaza hadi leo wanawake mngeendelea kuwabania **** hao waume zenu, hivi leo wangekua kwenye hali gani!!!???[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Hivi hata miezi 3 ilitimia?
 
Hiyo ilikua 2015 wakati wa uchaguzi, kawaida uchinjaji wa albino hutendeka sana wakati wa kampeni na uchaguzi maana imani zao ni kwamba nyama ya hao watu huwezesha kupata kura nyingi. Tusubiri 2020 na kutumaini kwamba walishabadilisha hizo kauli za kizwazwa....
Unajisikiaje unapotangaza Uongo ulio dhahiri dhidi ya jirani wako? Una uhakika ktk Tz kuna jamii hata kihistoria iliowahi kutumia nyama ya binadamu kama kitoweo hata ktk ushirikina? Mi Nadhani kama jambo hulijui ni busara kuuliza.

Kihistoria kuna jamii moja ya wakenya, walitumia nyama ya binadamu (wareno) kama kitoweo, kwa Tz ulishawshi kusikia hayo?

Kuna imani za kishirikina huku, kwa baadhi ya jamii, nazo ni ngeni toka Congo na Zambia, ambazo huamini viungo vya albino huweza kutumika ktk kufanikisha mambo yao kishirikina, kama utajiri, kipato nknk, si chakula.

Kihistoria, duniani kote na ktk jamii zote, kulikuwepo na kwa baadhi ya jamii bado hadi sasa, imani inayoamini mtu kuwa albino ni mkosi, najisi hivyo hapaswi kuishi, hilo lipo Afrika yetu yote, tukubalii uwepo wa tatizo ndio tufanikiwe kulikabili, sio kulificha. Swala la imani hizi lipo ktk jamii nyingi za kiafrika, tulishawahi kuuliza humu kama kuna mtu alishawahi kumuona albino Mmasai.
 
Naona kastama mkubwa wa wachawi leo umemua lazima ijitambulishe, liwe liwalo! Sasa serikali yenu ilikuwa inapiga marufuku wachawi kwanini? Ama hilo pia lilikuwa ni agizo la Karumanzela? 😀
Kwahiyo unataka kusema kwa Tanzania uchawi uliruhusiwa kisheria? Tofautisha "uganga wa jadi" na uchawi.
 
Ikifika kwenye mambo ya uchawi, tofauti kati ya Kenya na Tanzania ni kubwa sana. Kenya wanaoamini uchawi ukiwaona utajua kwamba ni watu ambao walikosa elimu ya kutosha. Tanzania viongozi wao ndo wapo kwenye mstari wa mbele. Tena kwenye foleni kabisa, wakiingia kinyuma nyuma, wakiwa uchi wa mnyama, kwenye nyumba za matope za wataalamu gushi wa 'sayansi ya kiafrika'! Sasa wewe fikiria, hapo wananchi wao nao watakuwa ni wa sampuli gani? Dah, ni hatar.
Ila wachawi (kama unaavyowaita) wana wateja wao Kenya zaidi, inasemekana.
 
Kwahiyo unataka kusema kwa Tanzania uchawi uliruhusiwa kisheria? Tofautisha "uganga wa jadi" na uchawi.

Ila wachawi (kama unaavyowaita) wana wateja wao Kenya zaidi, inasemekana.
Aisee, Jombaa tufafanulie tofauti ya, 'uganga wa jadi', 'uchawi','uganga wa kienyeji' na misamiati mingine ya nguvu za giza. Nadhani sina weledi kabisa kwenye haya maswala.
 
Nawaza hadi leo wanawake mngeendelea kuwabania **** hao waume zenu, hivi leo wangekua kwenye hali gani!!!???[emoji1] [emoji1] [emoji1]

Hivi hata miezi 3 ilitimia?
Sijakuelewa hata kidogo.
 
Back
Top Bottom