beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mwenyekiti wa Chama cha Wenye Matatu. Dickson Mbugua aikejeli NTSA kupiga marufuku safari za usiku.
Akizungumza na waandishi wa habari, Bw, Mbugua amesema marufuku hiyo ni kinyume na azma ya serikali kuweka miundombinu ya uchumi wa saa 24.
Aitaka NTSA kuondoa marufuku hiyo mara moja!
Akizungumza na waandishi wa habari, Bw, Mbugua amesema marufuku hiyo ni kinyume na azma ya serikali kuweka miundombinu ya uchumi wa saa 24.
Aitaka NTSA kuondoa marufuku hiyo mara moja!