Majini hayapatani na hivyo vitu, mwanzoni yatafanya ukorofi lakini kadiri anavyoendelea kutumia yatahama yenyewe na kutokomea kusikojulikana....Naona Leo tunaloga wote mkuu
Turudi kwenye mada, baada ya hayo nini kinatokea?
Nimekusoma mkuu, asanteMajini hayapatani na hivyo vitu, mwanzoni yatafanya ukorofi lakini kadiri anavyoendelea kutumia yatahama yenyewe na kutokomea kusikojulikana....
Mvua imelowesha vilinge vingi na maji yamesomba vitendea kazi vingi... Wengi wako off leo
Hapana sina hata la kusingiziwaSamahani mshana hivi wewe huna maruhani?
Mbona una dalili zote za kuwa na hawa viumbe kina Sharifu, subiani, jabali, kisongo, maimuna, Masai,Hapana sina hata la kusingiziwa
Umekosea kabisa.... Vinakifahamu vema hiki chumaMbona una dalili zote za kuwa na hawa viumbe kina Sharifu, subiani, jabali, kisongo, maimuna, Masai,
Hahaha kimekaza na hahiyeyuki?Umekosea kabisa.... Vinakifahamu vema hiki chuma
Damu ya Kristo YesuHahaha kimekaza na hahiyeyuki?
Sasa watumia nn weye mpaka hunayo
AmeniDamu ya Kristo Yesu
Na mimi nasumbuliwa na majini nahitaji dawakwa imani yako uko sahihi, ila kwa ukweli halisi hauko sahihi
Aisha Hassan mie sio mganga jaribu kutafuta wenye utaalamu huo watakusaidia.Na mimi nasumbuliwa na majini nahitaji dawa