Maruhani au majini wanatoaje kw mwili mwa mtu?

Maruhani au majini wanatoaje kw mwili mwa mtu?

mkulima gwakikolo

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
1,767
Reaction score
2,855
Wadau kuna dada yangu, ni mwislam kwa dini,mara nyingi amekua akiumwa kichwaa sana na wakati mwingne anaongEa yakimpanda lakin hua hajitambua akiwa nomal ,je haya madudu kuna watu wanaweza kuyaondoaa mana yanamtesa sana wakati mwingne hali kabsa
 
Sasa mkuu watu kwa wasio wakristo unajua huwa wanafanyaje ili kuondoa hayo majini?
Jina na Yesu linaondoa Majini kwa mtu yeyote, awe Mhindu, Mbudha au Mpagani.
Linafanya kazi kwa yeyote na popote.
Hata Sheick Yahya Hussein ali kiri hivyo enzi ya uhai wake.

Adui anayeweza kumshinda Shetani na watenda kazi wake (majini) ni Yesu pekee.

Ushahidi wa kihistoria unathibitisha kuwa mtu wa kwanza kufukuza majini kwa kauli tu, na kuyaamuru kwa kwenda, alikuwa Yesu Kristo wa Nazareti.
Majini pia yamethibitisha kuliogopa hilo jina, hayakuwahi kufanya upinzani na kushinda mbele yake.
Ni uamuzi wako sasa, ubaki na majini yako au uliite jina la Yesu liyaondoe.
Hakuna ushahidi mwingine wa wazi uliotolewa hadharani ulioweza kufanikisha zoezi la kufukuza majini kwa binadamu hadi hii leo.
 
Jina na Yesu linaondoa Majini kwa mtu yeyote, awe Mhindu, Mbudha au Mpagani.
Linafanya kazi kwa yeyote na popote.
Hata Sheick Yahya Hussein ali kiri hivyo enzi ya uhai wake.

Adui anayeweza kumshinda Shetani na watenda kazi wake (majini) ni Yesu pekee.

Ushahidi wa kihistoria unathibitisha kuwa mtu wa kwanza kufukuza majini kwa kauli tu, na kuyaamuru kwa kwenda, alikuwa Yesu Kristo wa Nazareti.
Majini pia yamethibitisha kuliogopa hilo jina, hayakuwahi kufanya upinzani na kushinda mbele yake.
Ni uamuzi wako sasa, ubaki na majini yako au uliite jina la Yesu liyaondoe.
Hakuna ushahidi mwingine wa wazi uliotolewa hadharani ulioweza kufanikisha zoezi la kufukuza majini kwa binadamu hadi hii leo.
Kuna ushahidi gani wa mtu kutolewa majini kwa jina la Yesu? hebu nipe huo ushahidi.
 
Jina na Yesu linaondoa Majini kwa mtu yeyote, awe Mhindu, Mbudha au Mpagani.
Linafanya kazi kwa yeyote na popote.
Hata Sheick Yahya Hussein ali kiri hivyo enzi ya uhai wake.

Adui anayeweza kumshinda Shetani na watenda kazi wake (majini) ni Yesu pekee.

Ushahidi wa kihistoria unathibitisha kuwa mtu wa kwanza kufukuza majini kwa kauli tu, na kuyaamuru kwa kwenda, alikuwa Yesu Kristo wa Nazareti.
Majini pia yamethibitisha kuliogopa hilo jina, hayakuwahi kufanya upinzani na kushinda mbele yake.
Ni uamuzi wako sasa, ubaki na majini yako au uliite jina la Yesu liyaondoe.
Hakuna ushahidi mwingine wa wazi uliotolewa hadharani ulioweza kufanikisha zoezi la kufukuza majini kwa binadamu hadi hii leo.
nusu uko sawa nusu umekosea...
 
nusu uko sawa nusu umekosea...
Inawezekana kwakuwa sijamalizia jibu langu na haswa kwa kuto kusema
kuwa,
Ni nani hasa mwenye mamlaka ya kuliita jina la Yesu ili liweze kuondoa Majini au Maruhani kwa mtu?

Mtu huyo kwanza lazima amwamini Yesu kwa dhati na kufanya mambo yote ambayo Yesu Kristo aliyafundisha katika kitabu chake cha Injili,

Haijalishi cheo cha mtu au anajiitaje huyo mtu hilo halina maana,
Mtu sahihi ni yule anayelishika Neno la Kristo na Kulifuata huyo ndiye anaye weza kuliita jina la Yesu na likaweza kuondoa Majini kwa mtu yoyote yule, hivi ndivyo Yesu mwenyewe alivyosema.
 
Kuna ushahidi gani wa mtu kutolewa majini kwa jina la Yesu? hebu nipe huo ushahidi.
Kwa uelewa wako, Je unaamini Jini linao uwezo wa kukaa ndani ya mtu ?

Kama linaweza, je linapomtoka mtu unaweza kuthibisha kuwa ni kweli limemtoka ?

Ukinijibu hayo maswali hayo nitakujibu swali lako, maana kuna watu hawaamini kabisa dhana ya Majini hivyo hata wanacho kiuliza hawakifahamu.
 
Kwa uelewa wako, Je unaamini Jini linao uwezo wa kukaa ndani ya mtu ?

Kama linaweza, je linapomtoka mtu unaweza kuthibisha kuwa ni kweli limemtoka ?

Ukinijibu hayo maswali hayo nitakujibu swali lako, maana kuna watu hawaamini kabisa dhana ya Majini hivyo hata wanacho kiuliza hawakifahamu.
Labda nikatishe kuwa mie sina tatizo na dhana ya majini,hivyo ungenijibu tu.
 
Huyo ilibidi asomewe ruqya,

Apende sana kudumu na udhuu maana mtume amesema ni ngao Moja wapo dhidi ya hao viumbe

Asisikilize wala kutazama vitu vilivyokatazwa aidha mzikii auu madude mengine ambayo siyoo mazurii..


Apende kusoma quranii, yaani akijikita kusoma qurani yaani anawajengea mazingira mabaya hao madudu

Kama kunauwezekano apate mafuta halisi ya mzaituni awe anapakaaa maaana ataaa shetanii aweee amejisahau vipiii hawezi kupumzika kwenye mtii huoo.
 
Wadau kuna dada yangu, ni mwislam kwa dini,mara nyingi amekua akiumwa kichwaa sana na wakati mwingne anaongEa yakimpanda lakin hua hajitambua akiwa nomal ,je haya madudu kuna watu wanaweza kuyaondoaa mana yanamtesa sana wakati mwingne hali kabsa
Mkuu nitafute mimi nipate kuyaondoa hayo mashetani yake.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Kama upo dar mcheki huyu mganga,, anaitwa mungu wa kabili 0744 000 473. Number hiyo apo
 
Back
Top Bottom