Marumo Gallants (Bahlabani ba Ntwa) fans tukutane hapa

Baada ya game urudi kwenye jina lako halisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Halafu ufungue Uzi kuwalaumu hao marumo jinsi walivo WABOVU....
Bahlabani ba ntwa ( Sisi ni makolo)
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Aki hiyo Timu sijawahi hata kuisikia 'Gallants🤪 , yaani mnavyoteseka ila Subiri Yanga itawaonyoosha na hao tukutane final
 
Baada ya game urudi kwenye jina lako halisi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
Halafu ufungue Uzi kuwalaumu hao marumo jinsi walivo WABOVU....
Bahlabani ba ntwa ( Sisi ni makolo)
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Karibu South Africa
BAHLABANE BA NTWA [emoji1241][emoji1241][emoji1221][emoji1221]
 
Mods, wekeni kumbukumbu ya ahadi hizi ya mwana🦁.Ila ujumbe wa wananchi ni Kuwa hatupoiii🤔.Hadi kieleweke 😂
 
Mods, wekeni kumbukumbu ya ahadi hizi ya mwana[emoji881].Ila ujumbe wa wananchi ni Kuwa hatupoiii[emoji848].Hadi kieleweke [emoji23]

Ni swala la muda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
BAHLABANE BA NTWA
 
Ni swala la muda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
BAHLABANE BA N
Ni swala la muda tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
BAHLABANE BA NTWA
Ila mods wameshaandaa ban hiyo muda tu ukifika🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…