AahaaaaaaNaomba niwakumbushe ndugu zangu Yanga imeingia nusu fainali.
Haya mjadala uendelee
💪💪💪💪💪💪💪💪Safi
Hapa inawakumbusha kufa kiume FC au robo fainali FC😂Naomba niwakumbushe ndugu zangu Yanga imeingia nusu fainali.
Haya mjadala uendelee
Hata nao wakiiangalia mechi mbili za Yanga dhidi ya Rivers, pia wanasema hivyo hivyo kuwa Yanga haina mpira wa kutishaMarumo gallants hawana mpira wa kutisha
ndio viwango vya shirikisho hivyo, usishangaeHii timu kule kwao inakaribia kushuka daraja.
Umeangalia recent form lakini au umeishia kuangalia nafasi ya timu? Inaweza kuwa inakaribia kushuka lakini ikagawa vipigo mpaka ukashangaaMarumo ni kama ruvu shooting....mtu anaeshika mkia kwenye ligi yao akitufunga ni uzembe
Labda IHEFUYanga itampiga yeyote atakayeweka kizuizi kuelekea safari yake ya kuchukua makombe.
Mafala sana hao wamenichania mkeka Jana.Nabii hakubaliki kwao,
Hii timu kule kwao inakaribia kushuka daraja.
Shirikisho ni kwa timu mbovuMarumo ni kama ruvu shooting....mtu anaeshika mkia kwenye ligi yao akitufunga ni uzembe
Marumo ni kama ruvu shooting....mtu anaeshika mkia kwenye ligi yao akitufunga ni uzembe