Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Sifa kuwa Spika,
Ni uwe na sifa za kugombea ubunge tu. Wenzetu wanawapima elderly senior statesmen ambao wana track record nzuri kiutawala na kisiasa.
Hapa kwetu wagombea watauana, wengine wataenda hata kwa waganga wa kienyeji.
Yale marupurupu ya;
Ukiona hata mwanafunzi anataka kuwa Spika, basi vigezo vina matatizo.
CCM mmetufikisha kwenye huu upuuzi, mpaka jana jioni kokoro lilishavuta watu 66.
Ni uwe na sifa za kugombea ubunge tu. Wenzetu wanawapima elderly senior statesmen ambao wana track record nzuri kiutawala na kisiasa.
Hapa kwetu wagombea watauana, wengine wataenda hata kwa waganga wa kienyeji.
Yale marupurupu ya;
- 80% mshahara wa Spika
- Vieite (V8)mpyaa
- Dereva wa serikali mpaka uchoke mwenyewe
- Malipo bulungutu heavy
Ukiona hata mwanafunzi anataka kuwa Spika, basi vigezo vina matatizo.
CCM mmetufikisha kwenye huu upuuzi, mpaka jana jioni kokoro lilishavuta watu 66.