brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 590
- 767
Intro kalii sana sema I hope pia muvi itakuwa KaliKang kapata intro nzuri kuliko hata ya Thanos .
''Witness the beginning of a new dynasty''
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Intro kalii sana sema I hope pia muvi itakuwa KaliKang kapata intro nzuri kuliko hata ya Thanos .
''Witness the beginning of a new dynasty''
Intro kalii sana sema I hope pia muvi itakuwa Kali
Vipi Marvel wale character wao wa zamani kama wakina Iron man, captain america, thor,na wengine, ndo hawataonekana tena, au itakuwajeI'm glad you ask, because I would like to explain MCU plans to you!!
I'm glad you ask, because I would like to explain MCU plans to you!!
Nahisi Ant Man itakuwa iko serious, maana ndio movie inayoenda tupa Main Villain katika hii multverse Saga,Iwe ina emotions watu wawe serious jokes tushazichoka sasa
Aww!I'm glad you ask, because I would like to explain MCU plans to you!!
Kuna uwezekano mkubwa Spiderman 1 Toby maguire atakuwepo kwenye Avangers Secret Wars. Na others past heroes, lakini kama iron man atakuwepo basi atakua variant or other alternate self.Vipi Marvel wale character wao wa zamani kama wakina Iron man, captain america, thor,na wengine, ndo hawataonekana tena, au itakuwaje
This is what I always wanted, All of me against all of you😅Hahaha Nimeisoma kwa Ultron Voice...
Lazima iwe serious maana phase 4 yote imekumbana na blacklash toka kwa mashabiki...ndio maana Ant man waliikimbiza phase 5. Kuna series na muvi kadhaa zitakua Scrapped upya maana wameona wakienda na approach ya phase 4 wataloose credibility. Kwa ajili hiyo ndio maana Mwaka huu wameona watoe tu Secret invasion, Loki,Ironheart... Echo inaweza kutengenezwa upya kama ilivyofanywa Armour war, blade, nk.Nahisi Ant Man itakuwa iko serious, maana ndio movie inayoenda tupa Main Villain katika hii multverse Saga,
Na sidhan kama marvel wanaweza iaharibu hii movie
Hahahahaaa.."Thor you are bothering me"[emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha Nimeisoma kwa Ultron Voice...
Tulsa King [emoji38]Ndio kusema hakuna action movie/series ambayo imeshatoka mpaka sasa? Nikisema action namaanisha kweli action mkono uembee na misheni za maana.
Ngoja miangalie trela kwanzaTulsa King [emoji38]
Nataka nijue project mpya lakini nimeona Ant Man inatoka February,Okay just ask anything DQ[emoji8]
Mzee Rambo amefanya unyama mwingi sana humoNgoja miangalie trela kwanza
Don't tell me ulikua hujui feb 17 Ant man inatoka.Nataka nijue project mpya lakini nimeona Ant Man inatoka February,
Plz muelezee nisije nikaenda kusinzia cinemax
Hii ni series vipi kafanya vitu gani humo, yani inaelezea niniMzee Rambo amefanya unyama mwingi sana humo
Alikua kundi la Mafia, akaenda jela for 25 years alivyorudi akakuta utawala umebadilika wakamtaka asikae hapo Newyork aende Tulsa, ni kama vile mtu akutoe Dar akakutupe Katavi huko, alimind sana ila akawa mpole akaenda,Hii ni series vipi kafanya vitu gani humo, yani inaelezea nini