Anatuxo nyingi na Oscar mbili, lakini hamna hata moja ya maana amepata kama actor. Gone Girl ni movie nzuri sana, lakini yule sister naona ndiyo movie nzima. Kuna hii accountant, movie nzuri ila uigizaji wake naona kama bado.
Naona Bale alikuwa Batman mzuri mara nyingi kulinganisha na jamaa. Ila anaonekana kama director yupo vizuri sana.
Sio kuigiza tuu jamaa ni muongozaji mzuri sana
Hapo kwenye Mpira sasa ndo penyewe Jamaa kashindwa kabisa kuvumilia sii akaushie kama tunavyo kausha kwenye Uzi wa rikiboy..... Kila mtu ana starehe zake Bhana.Namimi nawaona watu wapuuzi sana wanaopenda bia na Mpira. Unapataje kiu ya pombe au mpira???
Muvi tunapata vingi vya kujifunza
Huu mzigo pamoja na kuwa na mastaa wengi lakin umeenda vibayaHebu twende mbele turudi nyuma. Nini maoni yako kwenye movie ya Eternals. Naona inafanya si vizuri sana kama ilivyotegemewa. Nini shida ??
Walitaka kuweka mambo mengi kwenye movie ya masaa 2 kweli?? Hawakiwa serious hapa.Huu mzigo pamoja na kuwa na mastaa wengi lakin umeenda vibaya
Nionavyo mimi, hii ingefaa sana kama ingekuwa series.Walitaka kuweka mambo mengi kwenye movie ya masaa 2 kweli?? Hawakiwa serious hapa.
Nionavyo mimi, hii ingefaa sana kama ingekuwa series.
Hawa jamaa ni noma ndio utaona wazungu sio wenzetu kabisa. Mfumo wao ni kwamba hua creative team wakiwemo Trinh Tran, Nate Moore, Jonathan Schwartz, Brad Winderbaum, Stephen Broussard, Eric Carroll Na Ryan Meinerding wakiongozwa na Kevin Feige, Victoria alonso na Lois de'Espocito hua wanakaa wanajadili labda Phase 4 iwe na characters fulani na ihusu masuala fulani kisha wanaajiri developer/Creator sasa kila mmoja anapewa characters wa kuwafanyia kazi.Hawa jamaa wanafikilia mbele sana utashangaa uko mbele utaipenda kama mm nilikua simuelewagi dokta strange ila sasa hivi naanza kutafuta movie zake
Ile movie ilikuwa nzuri sana.acting anaweza sana ndg yake Casey performance ya ile Manchester by the sea ilikuwa outstanding, ndio maana alipata oscar I think
Nimepata uvivu kuiangalia kwa jinsi ilivyopondwa. Labda tupate maoni ya walioiona hapa.Hebu twende mbele turudi nyuma. Nini maoni yako kwenye movie ya Eternals. Naona inafanya si vizuri sana kama ilivyotegemewa. Nini shida ??
Nimepata uvivu kuiangalia kwa jinsi ilivyopondwa. Labda tupate maoni ya walioiona hapa.
Hebu twende mbele turudi nyuma. Nini maoni yako kwenye movie ya Eternals. Naona inafanya si vizuri sana kama ilivyotegemewa. Nini shida ??
Nimeitazama jana hii muvi kiukweli haina mvuto kiivyo na story yake hovyo. Fight scene zilizonivutia ni Makkari kaupiga mwingi sana humo kuliko wengine. Anyway labda tungoje mwendelezo unaweza kua bora maana hata Thor Dark world na Iron man 2 zilikua hovyoNimepata uvivu kuiangalia kwa jinsi ilivyopondwa. Labda tupate maoni ya walioiona hapa.
Asee ebu mnieleweshe hapa kwa Spider Man no way home, wale jamaa waliokuja kutoka sijui wapi si katika movie wamekufa mfano yule mwenye machuma ya miguu alifia kwenye maji, na huyu mwenye kigari kinachopaa aligongwa na hicho kigari kilikuwa na mikuki sijui, sasa humu wazima imekuwaje