Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Mtaalamu wa Multiple personality ni James McaVoy kama uliangalia Split na Glass unapata picha

sijaimaliza hadi leo, ila nngependa kuona character development ya Kon-shu huko mbele hahaha ananifurahisha anakwambia “i am the justice” [emoji28]
Huyo noma nimeona hiyo mzee.

Nimeangalia interview moja eti unajua ila movie hamna hata sehemu moja ambayo wameshoot wakiwa British?
Can you believe that? Hahahaa
 
THOR: love and thunder

Nina mawazo kidogo niliyokuwa nayawaza na kujenga theory hii kichwani

**Baada ya kiona subtrailer week iliyopita nilikiwa nawaza vitu hivi.

- kuna uwezekano mkubwa ndugu yetu Thor(original) baada ya kupitia mengi sana hapo nyuma kabla ya Endgame kisha kuungana na Guardians. Bado hakuwa sawa, na mawazo yake bado hayakuwa tayari kupokea uhalisia wa kupoteza baadhi ya watu wake wa karibu tangu asgerd ilivyoharibiwa, mpaka uvamizi wa Thanos kule kwenye space ship iliyoongeza machungu zaidi kwa kupoteza watu wengi wakiwemo Loki na getkeeper wa asgard.

- Thor pamoja na Guardians wanatembelea planet mbalimbali mwisho wa siku wanagundua kuna multiple asgard planet ( sina uhakika kama ni planet[emoji16]) kama zilivyo earths( tangu tupo zama za multiverse).

- Thor anajaribu kuwashawishi timu ya Groot watembelee asgard na mr. Rocket kama kawaida anamuunga mkono Thor.

- Bila kutegemea wanapofika wanakuta hali ya asgard ipo kwenye machafuko kidogo, kisha Thor na timu yake wanaingilia kuipigania.

- Wakati wa mapambano ghafla anakutana na Jane Foster( thor) na kumfananisha na mpenzi wake wa mwanzo. Lakini si yule Jane Foster anayemjua bali ni Variant of thor kwenye hiyo planet na hawajuani.

- Baada ya machafuko kutulia kunakuwa na tafrija na thor( tunae mjua) anakaribishwa kujitambulisha na kujieleza ilikuwaje wakafika hapo.

- Pamoja na hayo, kwa kuwa hawamtambui kama ni prince wa asgard, king wa hiyo planet asgard (Zeus) anamdhalilisha Thor.

****"""
Lakini ile mirnior (nyundo) sijui inaonesha ila crucks, kwa kuona kama ime ungwa ungwa unapata hisia ni ile ambayo dada yake Thor aliivunja kwenye Ragnarok
 
Kumbuka wake ni supersoldiers. Wana nguvu zisizo natural.
Super soldier can't move things with his or her ming anapigwa vile
Akikutaka na yule assistant wa thanos je?
Which naona walimpunguza nguvu.

Kuna yule adui wa captain marvel somebody the accuser,mchiz anabonda hatari
Wajikaze bhana
Huo ndio mwanzo wa kwenda past kuomba msaada
 
Kumbuka wake ni supersoldiers. Wana nguvu zisizo natural.
Hamna kazi pale bora Becky kidogo angeweza kupambana shida na yy mpaka risasi na nguvu zake kama zimepunguzwa tofauti na alivyokuwa kwenye Cap america the winter soldier
 
THOR: love and thunder

Nina mawazo kidogo niliyokuwa nayawaza na kujenga theory hii kichwani

**Baada ya kiona subtrailer week iliyopita nilikiwa nawaza vitu hivi.

- kuna uwezekano mkubwa ndugu yetu Thor(original) baada ya kupitia mengi sana hapo nyuma kabla ya Endgame kisha kuungana na Guardians. Bado hakuwa sawa, na mawazo yake bado hayakuwa tayari kupokea uhalisia wa kupoteza baadhi ya watu wake wa karibu tangu asgerd ilivyoharibiwa, mpaka uvamizi wa Thanos kule kwenye space ship iliyoongeza machungu zaidi kwa kupoteza watu wengi wakiwemo Loki na getkeeper wa asgard.

- Thor pamoja na Guardians wanatembelea planet mbalimbali mwisho wa siku wanagundua kuna multiple asgard planet ( sina uhakika kama ni planet😁) kama zilivyo earths( tangu tupo zama za multiverse).

- Thor anajaribu kuwashawishi timu ya Groot watembelee asgard na mr. Rocket kama kawaida anamuunga mkono Thor.

- Bila kutegemea wanapofika wanakuta hali ya asgard ipo kwenye machafuko kidogo, kisha Thor na timu yake wanaingilia kuipigania.

- Wakati wa mapambano ghafla anakutana na Jane Foster( thor) na kumfananisha na mpenzi wake wa mwanzo. Lakini si yule Jane Foster anayemjua bali ni Variant of thor kwenye hiyo planet na hawajuani.

- Baada ya machafuko kutulia kunakuwa na tafrija na thor( tunae mjua) anakaribishwa kujitambulisha na kujieleza ilikuwaje wakafika hapo.

- Pamoja na hayo, kwa kuwa hawamtambui kama ni prince wa asgard, king wa hiyo planet asgard (Zeus) anamdhalilisha Thor.

****"""
Theory nzuri mkuu, ila;
-Zeus kuwa king wa asgard inaleta utata kidogo, kwa sababu yeye(Zeus) ni King na god of gods wa Olympus.
Asgard ni nyumbani kwa mina odin na thor ambao wao wanatokea kwenye hadithi za ki-ving/norsemen, wakati Zeus na wenzake wengine wanatokea kwenye hadithi za kiromani/greek/latin.
Sijui watawekaje kwamba hawa watu watakutana sehemu moja.
-Pia Zeus katika ufalme wake ni mungu wa radi(god of lightning), moja ya mambo mengi anayoweza kuyaamrisha. Sasa kutokea mtu mwingine tena mwenye nguvu kama zake inakuwa kama kumtishia himaya yake.

Theory yako iko pouwa kimtindo.
 
-Pia Zeus katika ufalme wake ni mungu wa radi(god of lightning), moja ya mambo mengi anayoweza kuyaamrisha. Sasa kutokea mtu mwingine tena mwenye nguvu kama zake inakuwa kama kumtishia himaya yake.

Theory yako iko pouwa kimtindo.

greek mythology zeus ni mungu wa anga sio wa radi ila ana silaha yale ya Lightning bolt ambayo ndio iko na mfumo wa radi

Baada ya kumuua baba yao zeusi aliwagawanya ndg zake kumiliki pande nne za dunia yeye akabaki Mungu wa angani, underworld akampa kaka yake Hades
 
Hamna kazi pale bora Becky kidogo angeweza kupambana shida na yy mpaka risasi na nguvu zake kama zimepunguzwa tofauti na alivyokuwa kwenye Cap america the winter soldier

Becky/James nguvu hazijapunguzwa ila this time ni kama amekuwa binadamu hivi, kipindi kile cha Winter Soldier alikuwa ruthless maana alikuwa brainwashed, hana huruma na hana ties na mtu yeyote, kazi yake ni kuua tu no matter ni nani.

Ukiwa huna kumbumbuku una-behave tofaut, unakuwa kama mnyama fulani hivi.
 
Becky/James nguvu hazijapunguzwa ila this time ni kama amekuwa binadamu hivi, kipindi kile cha Winter Soldier alikuwa ruthless maana alikuwa brainwashed, hana huruma na hana ties na mtu yeyote, kazi yake ni kuua tu no matter ni nani.

Ukiwa huna kumbumbuku una-behave tofaut, unakuwa kama mnyama fulani hivi.
Me uhusika ule ndo nilioukubali
 
Out of context

Kuna Series inaitwa Time traveler’s Wife iko interesting tunaowaamin HBO toka GOT, True blood n.k
Ndugu sijajutia kuangalia hizo two episodes daaah series tamu kidogo.
Inakubidi uweze kushikanisha haraka lakini.

HBO wametisha sana
 
Super soldier can't move things with his or her ming anapigwa vile
Akikutaka na yule assistant wa thanos je?
Which naona walimpunguza nguvu.

Kuna yule adui wa captain marvel somebody the accuser,mchiz anabonda hatari
Wajikaze bhana
Huo ndio mwanzo wa kwenda past kuomba msaada
assistant wa Thanos[emoji1] yule mjomba ana dharau sana na sura yake ya samaki
 
assistant wa Thanos[emoji1] yule mjomba ana dharau sana na sura yake ya samaki

Hahahah Ebony Maw halafu kafanana na Squidward kama iron man alivyosema

Aisee jamaa nilimkubali kwanza ana kashfa huyo alimpa compliment ya kumkashifu strange...akamwambia

“Your powers are quaint, You must be popular with children”

[emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka balaa
 
Thanos: Siku ya kwanza naangalia Endgame alisema line moja hiyo hatari considering nilisoma udaku kuwa Captain atakufa basi nkapata wasiwasi kishenzi

Wakaongea ongea ikafika cap akasema...
Cap: Born out of blood

Thanos akajibu: They'll never know it...because you won't be alive to tell them( huku anaweka sawa mpanga wake)

nkasema this is it.. Captain atakufa
 
jamani The man from toronto ikitoka mnistue.
 
Thanos: Siku ya kwanza naangalia Endgame alisema line moja hiyo hatari considering nilisoma udaku kuwa Captain atakufa basi nkapata wasiwasi kishenzi

Wakaongea ongea ikafika cap akasema...
Cap: Born out of blood

Thanos akajibu: They'll never know it...because you won't be alive to tell them( huku anaweka sawa mpanga wake)

nkasema this is it.. Captain atakufa
Be thankful coz your meaningless life is now contribute....

Tony: I'm sorry Earth is closed today you better pack up and get out of here.
Ebony 😅😅😅: Stonekeeper does this chattering animal speak for you????🤣🤣🤣🤣🤣
Nachekaga sana hapa.
FB_IMG_16540023821508322.jpg
 
Be thankful coz your meaningless life is now contribute....

Tony: I'm sorry Earth is closed today you better pack up and get out of here.
Ebony 😅😅😅: Stonekeeper does this chattering animal speak for you????🤣🤣🤣🤣🤣
Nachekaga sana hapa.
View attachment 2250452
Ebony maw ana jeuri sijaona anakwambia

“He exhausts me, bring me the Stone...baada ya kuongea kidg dah!🤣🙌🏽

itabid nirudie kumuona sema nilifurahi sana aliposema strange must be popular with the children 😂😂😂
 
Back
Top Bottom