bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Our berry Allan ndio tulimpenda,sasa kama wana badilisha itakua shida nyingineMambo yao kwa mda huu yamekuwa hovyo wamekata movie ya batgirl ilikuwa itoke mwakan lakn haitaonywesha na huyo jamaa aliyecheza the flash aliomba msahama inasemeka movie yake itaoneshwa halaf wata recast character yake atapewa mtu mwingin japo sina uhakika na hilo niliona kuna taarifa inasema hivyo
Hakuna, unaweza anzisha labda and hakuna ubaya sio sheria kwamba lazima kiongelewe cha MCU peke akeMbona sielewi...Uzi wa marvel mnapiga story za Superman...hivi hakuna Uzi wa DC??
niliwaza nkasema ile itakuwa ni zile homework alizokuwa anaacha mwalim mjisahishie wenyewe😅Sasa nawaza kutakua na second season au walikua wanajifurahisha tu huko studio??
Mzee sijauonaMbona sielewi...Uzi wa marvel mnapiga story za Superman...hivi hakuna Uzi wa DC??
Sasa nawaza kutakua na second season au walikua wanajifurahisha tu huko studio??
Season 2 ipo matayarishoni mzee. Kama season 2 ya what if..? Imeanza kuandaliwa 2019 kabla ya S1 kutoka muda huu wapo wanaandaa S3. Loki S2 wameanza kuindaa 2020niliwaza nkasema ile itakuwa ni zile homework alizokuwa anaacha mwalim mjisahishie wenyewe😅
Kuna jambo linalonitatiza kuhusiana na Multiverse. Ukiwaangalia spiderman wa Universe nyingine ni tofauti kabisa ki sura na kiumbo na spiderman wetu.Nimemiss kujibu maswala.. Mwenye swali lolote la kuhus Marvel Universe aulize
I'm happy to comply ✌️
Ok ishu ni ya Casting tu na hakuna utofauti wowote. Spider-man wwnatofautiana kwakua kulikuwepo actor waliowahi kuigiza kama spiderman lakini upande wa doctor strange muvi ya kwanza imeigizwa miaka ya 70s so kwasasa Nadhani kazeeka sana kama hajafariki.Kuna jambo linalonitatiza kuhusiana na Multiverse. Ukiwaangalia spiderman wa Universe nyingine ni tofauti kabisa ki sura na kiumbo na spiderman wetu.
Lakini sasa kwenye MOM wao wanafanana japo sio exactly.
Sasa swali langu Kwa nini kina spiderman wametofautiana sana?
Nimemiss kujibu maswala.. Mwenye swali lolote la kuhus Marvel Universe aulize
I'm happy to comply ✌️
Ok ishu ni ya Casting tu na hakuna utofauti wowote. Spider-man wwnatofautiana kwakua kulikuwepo actor waliowahi kuigiza kama spiderman lakini upande wa doctor strange muvi ya kwanza imeigizwa miaka ya 70s so kwasasa Nadhani kazeeka sana kama hajafariki.
So right kama kungekua hakuna watu waliowahi kuigiza muvi ya spiderman basi ingebidi Tom Holland aigize nafasi zote kama alivyofanya Doctor strange.
Lakini pia Kuwaleta wale spiderman wa mwanzo ilikua ni strategy ya kuwinBox office kwa kuwaHype watu (Nostalgia)
coz watu tuliwamiss kuwaona na tulipenda kuwaona pamoja. Strategy ilifanya kazi mpaka sasa NWH ni muvi ya sita iliyouza zaidi duniani.
Je nimeeleweka??
Kwanza kabisa naomba nitumie post hii Kumtakio pumziko la milele bwana William Hurt. Natumaini mnafahamu william hurt kafariki mwaka huu kwa maradhi.Elezea The thunderbolts
Ezra miller ni Reverse flash in real life😂😂Ezrq sijuzi kaomba msamaha maana wanasema alikuwa hana displin
Inamaana DC Haina mashabiki jf?Mzee sijauona
Character wote waliokuwepo kwenye Muvi ya Captain Marvel ni young version za character waliopo leo. Ndio maana Ronan the Accuser alifariki kweye Guardian of the Galaxy 2014 ila kwenye Captain Marvel walikuwepo. Ndio maana Nick Fury anaonekana mdogo coz ile muvi imeisetiwa miaka ya 94Nipe utofauti wa Samweli Jackson kuonekana kwenye Avengers ni boss, harafu pia kwenye Captain marvel akawepo pia, pia alikuwa na macho mawili ila paka akamkwaruza ikabidi kuvaa ile miwani ya jicho moja, je hiyo movie ndo ilikuwa inatakiwa kuanza kabla ya Avengers, sijaelewa
Kwa sasa unaweza kuona Scarlett Witch ndio mwenye nguvu zaidi. Lakini kuna mdaa anaitwa Jean Grey kutoka X-Men ni noma. Kuna Maria Rambou,Thor na Carol Denver they're so strong. Kuna mtu anaitwa Wonderman wako wanamtengenezea series yake ngoja utamuona he's so powerful balaaHivi nitoe mfano ni nani mwenye nguvu kushinda wote pale Marvel!?
Inawezekana maana uchawi hua haungalii nguvu za mwili bali nguvu ya akili. Thor ana nguvu lakini aliweza kurogwa na Scarlett Witch kwenye age of ultron. Loki hawezi kurogeka coz ana Powerful mind. Kuna uzi wangu mmoja unasema Mental illusion Projection nimeeleza jinsi mchawi anavyoweza kukuroga.Je mimi nikiwa na nguvu kama za superman naweza kurogwa na uchawi huu wetu nikarogeka au itashindikana😁
Zack hawez kuondoka Dc akiondoka na dc ndo imekufa ben affleck wanerb walitasema atakuwepo kwenye aquaman lost kingdom ya mwakanNi kweli WB hawana mpango wa kumrudisha Henry Cavil wala Zack Snyder.
Kuanzia Zack,Henry,Ezra, Raymond Fisher,Ben Affleck hawa wote wanapigwa chini haijulikani watarudi au lah.
Wamebaki Gal Gadot na Jason Momoa
Kwenye spider-man no way home kwa nini wale maadui walioneka wapo hai tena wakat walikufa kwenye movie zaoNimemiss kujibu maswala.. Mwenye swali lolote la kuhus Marvel Universe aulize
I'm happy to comply ✌️
Mkuu kama nilivyosema mwanzo ukweli ni kwamba hakuna sababu za msingi zinazoelwza kwanini wamekua hai wakati walikufa kwenye muvi zao. Kwa kulijua hilo ndio maana wakaweka stori imekaa kwamba Walionekana kabla ya kutokea matukio ambao yalipelekea wao kufa ndio maana Peter 1 alikua anapambana awatibu kwanza kabla ya wao kurudi ili wasiende kufa kwenye universe yao.Kwenye spider-man no way home kwa nini wale maadui walioneka wapo hai tena wakat walikufa kwenye movie zao
Nimekuelewa Mkuu, kumbe movie ya kwanza ya Doctor Strange ilitoka kitambo namna hiyo.Ok ishu ni ya Casting tu na hakuna utofauti wowote. Spider-man wwnatofautiana kwakua kulikuwepo actor waliowahi kuigiza kama spiderman lakini upande wa doctor strange muvi ya kwanza imeigizwa miaka ya 70s so kwasasa Nadhani kazeeka sana kama hajafariki.
So right kama kungekua hakuna watu waliowahi kuigiza muvi ya spiderman basi ingebidi Tom Holland aigize nafasi zote kama alivyofanya Doctor strange.
Lakini pia Kuwaleta wale spiderman wa mwanzo ilikua ni strategy ya kuwinBox office kwa kuwaHype watu (Nostalgia)
coz watu tuliwamiss kuwaona na tulipenda kuwaona pamoja. Strategy ilifanya kazi mpaka sasa NWH ni muvi ya sita iliyouza zaidi duniani.
Je nimeeleweka??
Doctor strange na Clea wa muvi ya 1978.
View attachment 2331604
Zipo nyingi za zamani mkuu kipindi hicho marvel ilikua haipendwi upande wa muvi kila muvi zao zilifanya vibaya. Ndio maana baadhi ya character waliuzwa kama Hulk,Xmen kwa Fox na Spiderman,Venom,Morbius kwa Sony.Nimekuelewa Mkuu, kumbe movie ya kwanza ya Doctor Strange ilitoka kitambo namna hiyo.