Ok ishu ni ya Casting tu na hakuna utofauti wowote. Spider-man wwnatofautiana kwakua kulikuwepo actor waliowahi kuigiza kama spiderman lakini upande wa doctor strange muvi ya kwanza imeigizwa miaka ya 70s so kwasasa Nadhani kazeeka sana kama hajafariki.
So right kama kungekua hakuna watu waliowahi kuigiza muvi ya spiderman basi ingebidi Tom Holland aigize nafasi zote kama alivyofanya Doctor strange.
Lakini pia Kuwaleta wale spiderman wa mwanzo ilikua ni strategy ya kuwinBox office kwa kuwaHype watu (Nostalgia)
coz watu tuliwamiss kuwaona na tulipenda kuwaona pamoja. Strategy ilifanya kazi mpaka sasa NWH ni muvi ya sita iliyouza zaidi duniani.
Je nimeeleweka??
Doctor strange na Clea wa muvi ya 1978.
View attachment 2331604