Mkuu, wacha mkuu, usianze ku-compare mkuu.Sema ni Kama avangers lite, na cgi baadhi ya sehemu 🤐🤐
😂😂😂🙌🏽tuone ikishatoka avatar 2 kama watakuwa bado wanafanya comedy.
Hapo kwa ryan reynolds sijui maana characters zake za recently he basically plays himself... red notice, 6 undergrounds, free guy, the adam project... you name itActors wengi wanazingua sana kadri wanavyokuwa wakubwa sijui shida i wapi au ndio management?
Mfano kuna hawa;
Muangalie Bruce Wills wa kwenye The tears of the sun, die hard au Armageddon na huyu wa leo.
Tony Jaa wa Ong Bak na huyu wa leo
Iko Uwais wa The raid na huyu wa leo
Scott Adkins wa undisputed na huyu wa leo
Michael Jai White wa Blood and bone na kazi za sasa hivi
Mark Welberg wa Shooter nae kawa comedian.
Na wengine kibao... So sad kwa kweli.
Wapo wanaojitahidi kumaintain kama Jason Statham, Donnie Yen, Ryan Reynolds n.k
kuwa raped unapata grief ya nini ukiwa raped ina maana wewe ni lucky bastard tena na princess what could possibly be wrongI'm Ser Criston Cole ✌️
Yesterday princess Rhaenyra fu!cked ad raped me so I'm still recovering from my grief. Ngoja nizipakue chap 😅 Can't wait to see JerryView attachment 2355352
At least muvi zake unaweza angalia sio kama hao wengine.Hapo kwa ryan reynolds sijui maana characters zake za recently he basically plays himself... red notice, 6 undergrounds, free guy, the adam project... you name it
NakaziaMwenye muvi yake mweyewe kashasema yupo disappointed sisi ni akina nani hadi tusiwe disappointed [emoji28]. Kiukweli I'm so disappointed na hii muvi.
But I'm so excited to see Character ya love itakavyokua huko mbele. Kweye comics Love ni Entity inayocontrol mapenzi na hisia haina jinsia na sio mtoto wa gorr kama tulivyoona. Wameamua kuibadirisha kidogo, ngoja tuone huko mbele
Kenneth Branagh director wa Thor 1 aliondolewa kudirect Thor2: dark World ajili ya muvi yake haikufanya vizuri kwenye box Office hivyo wakamchukua Arlan Taylor ndio akaongoza muvi ya Dark World. Baada ya muvi kutoka Arlan akasema hatarudia tena kuongoza muvi za MCU maana Dark World aliyoingoza na iliyotoka ilikua tofauti kabisa inaonyesha kwenye Post production waliifanyia mabadiriko bila director kujua.
Inshu kama hii ilitokea pia kwenye muvi ya Incredible Hulk Mwigizaji Edward Norton alichukizwa sana jinsi walivyoiharibu muvi yake kwenye Post production/Editing akakataa kuigiza nao na hii ndio ilikua sababu ya Mark Rufallo kuchukuliwa kucheza character ya Bruce Banner badala ya Edward kwenye The Avangers 2012
So baada ya Arlan Taylor kuchukia ajili wameharibu muvi yake ndio akachukuliwa Taika aje kutengeza Muvi ya Ragnarok ambayo ilifanya vizuri coz ilikua balanced kati ya Jokes na seriousness sasa boya huyu kalewa sifa hadi kamfanya Thor awe kituko. Inasemekana hatarudi kuongoza Thor 5 maana muvi imefanya vibaya kwenye Box Office na Critics.
Mimi napendekeza mdada A.C. Bladley Creator wa What If..? Ndio aandike Script ya muvi ijayo.
[emoji3][emoji3] seriouslyDC wanajua trela tu. CGI zao za kiwaki sana.
Top Gun? Serious?lover & Thunder na Top Gun ni uharo mtupuu...
Promo kuuubwa halafu ndani stunt za kitoto tuu...
Kwa mwaka huu sijaona muvi kali kama The Grayman.
Sasa mkuu kuna stori gani pale? Hivi ile ni stori kweli?Top Gun? Serious?
Nakubaliana na wewe kwangu top gun naona iko average tu, acting ilikuwa top notch ila story binafsi naona ilikuwa na plot holes.Sasa mkuu kuna stori gani pale? Hivi ile ni stori kweli?
Huu mwaka sio wa kwenda cinema. Bora kudownload tu yify. Tungoje DC wataleta nini.Nakubaliana na wewe kwangu top gun naona iko average tu, acting ilikuwa top notch ila story binafsi naona ilikuwa na plot holes.
Mfano upande wa maadui, hakukuwa na any development story whatsoever zaidi ya kuambiwa tu wanatakiwa kuoneshwa cha mtema kuni.
Walau hata background ya mtoto wa goose basi wangeweka, tunasimuliwa tu maverick alizuia application zake but nadhani ilifaa hata tuone ile moment how he took it, the anger and frustration.
Stunts pia zilikuwa za kawaida sana ila walau ilikuwa na afadhari kuliko baadhi ya madudu ya mwaka huu.
Mtazamo wangu.
Kweli kabisa chief, utaenda tu kujutia hela yako.Huu mwaka sio wa kwenda cinema. Bora kudownload tu yify. Tungoje DC wataleta nini.
Top Gun narudia ni UHARO..... Nashindwa kujua hata ni kwa nn imekaa top kwenye hii list...Nakubaliana na wewe kwangu top gun naona iko average tu, acting ilikuwa top notch ila story binafsi naona ilikuwa na plot holes.
Mfano upande wa maadui, hakukuwa na any development story whatsoever zaidi ya kuambiwa tu wanatakiwa kuoneshwa cha mtema kuni.
Walau hata background ya mtoto wa goose basi wangeweka, tunasimuliwa tu maverick alizuia application zake but nadhani ilifaa hata tuone ile moment how he took it, the anger and frustration.
Stunts pia zilikuwa za kawaida sana ila walau ilikuwa na afadhari kuliko baadhi ya madudu ya mwaka huu.
Mtazamo wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Captain america 4 tutegemee Anthony Mackie akifanya maajabu kwenye uhusika mkuu kama alivyofanya vizuri movie alizoshirikishwa.
View attachment 2355754