Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Labda Hercules akija Thor ndio atakuwa serious.

Comedy wangewaachia kina spiderman sababu bado ni teenager, deadpool sababu well u know akili zake anazijua mwenyewe.

Pia wamuachie she-hulk cz ni light version ya hulk.

Marvels wamejisahau sana sababu biashara ya muvi hollywood wameishika haswaa, tuone ikishatoka avatar 2 kama watakuwa bado wanafanya comedy.
 
Watu wawe watata kama Thanos, Killmonger, Cable, Ronan the accuser yaani type hizo. Watu kazi kazi[emoji3]
 
Actors wengi wanazingua sana kadri wanavyokuwa wakubwa sijui shida i wapi au ndio management?

Mfano kuna hawa;

Muangalie Bruce Wills wa kwenye The tears of the sun, die hard au Armageddon na huyu wa leo.

Tony Jaa wa Ong Bak na huyu wa leo

Iko Uwais wa The raid na huyu wa leo

Scott Adkins wa undisputed na huyu wa leo

Michael Jai White wa Blood and bone na kazi za sasa hivi

Mark Welberg wa Shooter nae kawa comedian.

Na wengine kibao... So sad kwa kweli.

Wapo wanaojitahidi kumaintain kama Jason Statham, Donnie Yen, Ryan Reynolds n.k
 
Actors wengi wanazingua sana kadri wanavyokuwa wakubwa sijui shida i wapi au ndio management?

Mfano kuna hawa;

Muangalie Bruce Wills wa kwenye The tears of the sun, die hard au Armageddon na huyu wa leo.

Tony Jaa wa Ong Bak na huyu wa leo

Iko Uwais wa The raid na huyu wa leo

Scott Adkins wa undisputed na huyu wa leo

Michael Jai White wa Blood and bone na kazi za sasa hivi

Mark Welberg wa Shooter nae kawa comedian.

Na wengine kibao... So sad kwa kweli.

Wapo wanaojitahidi kumaintain kama Jason Statham, Donnie Yen, Ryan Reynolds n.k
Hapo kwa ryan reynolds sijui maana characters zake za recently he basically plays himself... red notice, 6 undergrounds, free guy, the adam project... you name it
 
Hapo kwa ryan reynolds sijui maana characters zake za recently he basically plays himself... red notice, 6 undergrounds, free guy, the adam project... you name it
At least muvi zake unaweza angalia sio kama hao wengine.

Hao wengine unajikuta unaangalia muvi huku unasikitikia tu mbs zako vile zimeenda bure.[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mwenye muvi yake mweyewe kashasema yupo disappointed sisi ni akina nani hadi tusiwe disappointed [emoji28]. Kiukweli I'm so disappointed na hii muvi.

But I'm so excited to see Character ya love itakavyokua huko mbele. Kweye comics Love ni Entity inayocontrol mapenzi na hisia haina jinsia na sio mtoto wa gorr kama tulivyoona. Wameamua kuibadirisha kidogo, ngoja tuone huko mbele





Kenneth Branagh director wa Thor 1 aliondolewa kudirect Thor2: dark World ajili ya muvi yake haikufanya vizuri kwenye box Office hivyo wakamchukua Arlan Taylor ndio akaongoza muvi ya Dark World. Baada ya muvi kutoka Arlan akasema hatarudia tena kuongoza muvi za MCU maana Dark World aliyoingoza na iliyotoka ilikua tofauti kabisa inaonyesha kwenye Post production waliifanyia mabadiriko bila director kujua.

Inshu kama hii ilitokea pia kwenye muvi ya Incredible Hulk Mwigizaji Edward Norton alichukizwa sana jinsi walivyoiharibu muvi yake kwenye Post production/Editing akakataa kuigiza nao na hii ndio ilikua sababu ya Mark Rufallo kuchukuliwa kucheza character ya Bruce Banner badala ya Edward kwenye The Avangers 2012

So baada ya Arlan Taylor kuchukia ajili wameharibu muvi yake ndio akachukuliwa Taika aje kutengeza Muvi ya Ragnarok ambayo ilifanya vizuri coz ilikua balanced kati ya Jokes na seriousness sasa boya huyu kalewa sifa hadi kamfanya Thor awe kituko. Inasemekana hatarudi kuongoza Thor 5 maana muvi imefanya vibaya kwenye Box Office na Critics.

Mimi napendekeza mdada A.C. Bladley Creator wa What If..? Ndio aandike Script ya muvi ijayo.
Nakazia
 
lover & Thunder na Top Gun ni uharo mtupuu...

Promo kuuubwa halafu ndani stunt za kitoto tuu...

Kwa mwaka huu sijaona muvi kali kama The Grayman.
 
Sasa mkuu kuna stori gani pale? Hivi ile ni stori kweli?
Nakubaliana na wewe kwangu top gun naona iko average tu, acting ilikuwa top notch ila story binafsi naona ilikuwa na plot holes.

Mfano upande wa maadui, hakukuwa na any development story whatsoever zaidi ya kuambiwa tu wanatakiwa kuoneshwa cha mtema kuni.

Walau hata background ya mtoto wa goose basi wangeweka, tunasimuliwa tu maverick alizuia application zake but nadhani ilifaa hata tuone ile moment how he took it, the anger and frustration.

Stunts pia zilikuwa za kawaida sana ila walau ilikuwa na afadhari kuliko baadhi ya madudu ya mwaka huu.

Mtazamo wangu.
 
Nakubaliana na wewe kwangu top gun naona iko average tu, acting ilikuwa top notch ila story binafsi naona ilikuwa na plot holes.

Mfano upande wa maadui, hakukuwa na any development story whatsoever zaidi ya kuambiwa tu wanatakiwa kuoneshwa cha mtema kuni.

Walau hata background ya mtoto wa goose basi wangeweka, tunasimuliwa tu maverick alizuia application zake but nadhani ilifaa hata tuone ile moment how he took it, the anger and frustration.

Stunts pia zilikuwa za kawaida sana ila walau ilikuwa na afadhari kuliko baadhi ya madudu ya mwaka huu.

Mtazamo wangu.
Huu mwaka sio wa kwenda cinema. Bora kudownload tu yify. Tungoje DC wataleta nini.
 
Huu mwaka sio wa kwenda cinema. Bora kudownload tu yify. Tungoje DC wataleta nini.
Kweli kabisa chief, utaenda tu kujutia hela yako.

Hata yts unaona chenga, huwa natest kwanza zali kwenye netnaija ili nisiumie sana.

DC mwaka huu tutapata black adam tu, zingine wamesogeza mbele.
 
Nakubaliana na wewe kwangu top gun naona iko average tu, acting ilikuwa top notch ila story binafsi naona ilikuwa na plot holes.

Mfano upande wa maadui, hakukuwa na any development story whatsoever zaidi ya kuambiwa tu wanatakiwa kuoneshwa cha mtema kuni.

Walau hata background ya mtoto wa goose basi wangeweka, tunasimuliwa tu maverick alizuia application zake but nadhani ilifaa hata tuone ile moment how he took it, the anger and frustration.

Stunts pia zilikuwa za kawaida sana ila walau ilikuwa na afadhari kuliko baadhi ya madudu ya mwaka huu.

Mtazamo wangu.
Top Gun narudia ni UHARO..... Nashindwa kujua hata ni kwa nn imekaa top kwenye hii list...

IMG_20220913_182334.jpg
 
Captain america 4 tutegemee Anthony Mackie akifanya maajabu kwenye uhusika mkuu kama alivyofanya vizuri movie alizoshirikishwa.
images (7).jpeg
 
Back
Top Bottom