Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Duh kwahiyo hapo goma litakuwa lishachanganya mpaka 2025 kikubwa uhaiView attachment 2384374
Mkeka mpya was marvel + Disney + fox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kwahiyo hapo goma litakuwa lishachanganya mpaka 2025 kikubwa uhaiView attachment 2384374
Mkeka mpya was marvel + Disney + fox
Blade jamani [emoji134]View attachment 2384374
Mkeka mpya was marvel + Disney + fox
Wanaenda iharibu Avatar hao jamaa.View attachment 2384374
Mkeka mpya was marvel + Disney + fox
Andor ni nzuri chief... Naifuatilia vizuri na toka episode 1 haijaniangusha.Sasa wakuu, kwa alieangalia "star wars: Andor" , ni nzuri au nipotezee tu?
Hapana sio kweli mimi nimependa hii Fourth wall aisee.. Yaani nimejikuta nacheka kweli.Damn it marvels... I mean ok big news but really?
Season finale of she hulk is certified garbage.
Nimetoka kuishusha hapa ngoja niione😂Damn it marvels... I mean ok big news but really?
Season finale of she hulk is certified garbage.
Kwa skar ilikuwa big news ila daredevil wangemuacha this time. Not cool.Hapana sio kweli mimi nimependa hii Fourth wall aisee.. Yaani nimejikuta nacheka kweli.
Yaani utadhani walikua wanajua hii series tutaiponda[emoji28][emoji28]
Jiandaeni na muvi ya World War Hulk si umeona tayari Skaar yupo
Was looking forward for them to annihilate todd kwa court[emoji23][emoji23][emoji23]Hapana sio kweli mimi nimependa hii Fourth wall aisee.. Yaani nimejikuta nacheka kweli.
Yaani utadhani walikua wanajua hii series tutaiponda[emoji28][emoji28]
Jiandaeni na muvi ya World War Hulk si umeona tayari Skaar yupo
“hulk smashes buildings. i smash fourth walls and bad endings. and sometimes matt murdock” 😂😂😂Hapana sio kweli mimi nimependa hii Fourth wall aisee.. Yaani nimejikuta nacheka kweli.
Yaani utadhani walikua wanajua hii series tutaiponda😅😅
Jiandaeni na muvi ya World War Hulk si umeona tayari Skaal
Walahi hawa watu ni noma sana hii episode nimejikuta naipenda jinsi ilivyogeuzwa. Nimejisikia kama nimeingia ofisi za Marvel Studio. Hii show ni nzuri basi tu ego za watuK.E.L.V.I.N the robot ametengenezewa pia Kofia😂😂View attachment 2386285
View attachment 2386287View attachment 2386289
Wakandan "Bongo drums" sound🥁View attachment 2386291
Marvel ni magenious kinoma noma😁😁
Mkuu mimi mwenyewe nimejikuta nairudia rudia sana si mnajua natamani kufanya kazi ya usafi hapo marvel studios 😅Udhaifu naona wemeforce kumleta DD , ukiacha na hilo KEVIN twist yake was genius... nilidhani watamuonyesha mwenyewe Feige badala wakaweka AI
Swali la Jane kuuliza kuhusu Movies zao na Dady issues was on point maana watu wanataniaga sana kwenye internet... swala la kujisifia kuwa movie zao Ziko near perfect nimecheka mno 😂
Aisee team yao Marvel iko njema sana,
Hahah alivyowauliza what are you doing, akaamua awafuateMkuu mimi mwenyewe nimejikuta nairudia rudia sana si mnajua natamani kufanya kazi ya usafi hapo marvel studios 😅
Yaani nilikua najihisi kama naingia ofisini sasa. And actually ile ndio ofisi ya marvel na sio VFX basi nimetumbua macho hadi yanauma kusoma ile Non Disclosure Agreement.
Nimependa jinsi jeni alivyohaa kutoka menu ya She hulk kwenda Marvel Assemble 😅
Kwenye comics kuna villain alikua anamsumbua sana jane akaona iswe shida akacha pageza kitabu akatupa kwenye Dustibin hafu akasema "This is my book"😅
Hawawezi Mana ile avatar 1 kila mtu anakumbuka visual zilivo kuwa Kali hii itajiua yenyewe Terminator styleWanaenda iharibu Avatar hao jamaa.
Tatizo sio visuals mkuu, tatizo story itakapoelekea. Avatar2 inakubalika, hiyo ya 3,4 na 5 ndo ishu itakapokuja huko. Ndani ya miaka 6 ijayo kuna avatar movies 3.Hawawezi Mana ile avatar 1 kila mtu anakumbuka visual zilivo kuwa Kali hii itajiua yenyewe Terminator style