Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

Tatizo sio visuals mkuu, tatizo story itakapoelekea. Avatar2 inakubalika, hiyo ya 3,4 na 5 ndo ishu itakapokuja huko. Ndani ya miaka 6 ijayo kuna avatar movies 3.

Mkuu labda niulize, source material ya avatar ni ipi?
Haina source material hii , pia hata ya Kwanza mafanikio yake NI kutokana na CGI kuwa nzuri story ya kawaida Saana ,Kama hata hii ya pili,3,4 zitategemea Sana visual zitaibeba washafeli. Avatar vS infinity ?
 
Great actor.
accurate.mcu-20221015-0001.jpg
 
Watu wameiponda vibaya mno final episode ya she-hulk mbona sikuona shida sana, au nshazoea kuangalia garbages 😅
 
Tatizo sio visuals mkuu, tatizo story itakapoelekea. Avatar2 inakubalika, hiyo ya 3,4 na 5 ndo ishu itakapokuja huko. Ndani ya miaka 6 ijayo kuna avatar movies 3.

Mkuu labda niulize, source material ya avatar ni ipi?
Mkuu, mpaka sasa wapo wanashoot Avatar 4. 2&3 tayari
Hakuna material source kwa hizi Muvi maybe kitabu au comics. Ni stori na characters tu James Cameron alizitunga.
 
Watu wameiponda vibaya mno final episode ya she-hulk mbona sikuona shida sana, au nshazoea kuangalia garbages 😅
It's a masterpiece wala usiwajali. Uzuri ni kwamba Ep9 ilikua kama jinsi Jen alivyokua anafanya kwenye comics. Alikua anawafokea waandishi kwamba wanampa stori mbaya, Villains wabaya nk
 
11/11 tukaone our black heritage
It's a masterpiece wala usiwajali. Uzuri ni kwamba Ep9 ilikua kama jinsi Jen alivyokua anafanya kwenye comics. Alikua anawafokea waandishi kwamba wanampa stori mbaya, Villains wabaya nk
 
Achaneni na videogames zilivhochangamka mnazo ita anination leteni majina ya muvi kali za mkono
 
aisee ndg zangu tutaonana Nov itabid nikamalize hii CPA yasije yakatukuta ya Law school
Aisee Until next time ✊🏾
 
Watched black adam..

Pierce Brosnan killed it as doctor fate. So did Aldis Hodge as hawkman.
The superman cameo was spot on.
 
Back
Top Bottom