brAin cRacker
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 590
- 767
Sema gunn Ana balls kumkacha Henry Cavill sikazi ndogo mwamba Hapa wanaenda na reboot
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema gunn Ana balls kumkacha Henry Cavill sikazi ndogo mwamba Hapa wanaenda na reboot
Saa nyingine wanazingua, watareboot mpaka lini?Sema gunn Ana balls kumkacha Henry Cavill sikazi ndogo mwamba Hapa wanaenda na reboot
Sijafurahishwa na maamizi ya leo. Jamaa ali sacrifice kila kitu kwa ajili ya hii character.Sema gunn Ana balls kumkacha Henry Cavill sikazi ndogo mwamba Hapa wanaenda na reboot
Aliajiriwa na dc kama director wa Suicide Squad wakati akiwa na mkataba pia wa marvel studio. Mwaka 2019 marvel walimfukuza ila walimrudisha tena akaendelea kuandaa Vol 3. Baada ya Kutengeneza series ya Peacemaker ilipendwa sana WB wakafukuza uongozi mzima wa dc ndio wakamchukua James Gunn awe CEO, alimwambiwa kabisa Kevin feige kua kachukuliwa dc awe CEO na Kevin kampa baraka zote.Hivi James Gunn si ndo huyu huyu alietayarisha movie ya Guardian of the galaxy special holiday, huko Marvel, imekuwaje amekuja kuwa boss DC na kuwatoa kina superman,
Let's hope so. Mapema mwakani atatoa muongozo wa kule walikuwa wanakipanga.Binafsi nimeumizwa na kuondolewa kwa Henry ila James ana lengo zuri anataka atengeneze plan yake kama ilivyokua marvel nadhani tukimpa muda atafanya vizuri kumbuka ana madini&Experience kutoka marvel
Kwaiyo movie zilizokuwa zitoke kama za Aqua man and the lost city ndo itakuwajeAliajiriwa na dc kama director wa Suicide Squad wakati akiwa na mkataba pia wa marvel studio. Mwaka 2019 marvel walimfukuza ila walimrudisha tena akaendelea kuandaa Vol 3. Baada ya Kutengeneza series ya Peacemaker ilipendwa sana WB wakafukuza uongozi mzima wa dc ndio wakamchukua James Gunn awe CEO, alimwambiwa kabisa Kevin feige kua kachukuliwa dc awe CEO na Kevin kampa baraka zote.
Cha kwanza kufanya kafuta kila kitu...
Ni Aquaman na The flash tu zitakazotoka zingine zote zipo canceled, kwanza Jasom Momoa hataigiza tena as Aquaman baada ya the lost city. James Gunn kashamsainisha kuigiza character ya LoboKwaiyo movie zilizokuwa zitoke kama za Aqua man and the lost city ndo itakuwaje
Nope pattisonson hatakuwa Batman wa DCU wanatengeneza wakwao pia joker nayo iko kivvyake vyake kwasababu hizi movie zote zimetengeneza mkwanja mrefu naona wanarudia kosa Lilelile la AquamanSaa nyingine wanazingua, watareboot mpaka lini?
Then ndio tuseme na jamaa wa twilight ndio atamreplace ben Affleck mazima?
Minasubiri endapo hata ifuta peacemaker nayo itadivide DCU vibayaSijafurahishwa na maamizi ya leo. Jamaa ali sacrifice kila kitu kwa ajili ya hii character.
Slate nzima ya mwakani ni useless ila endapo blue beetle ikapta pesa wanaweza iweka dcuKwaiyo movie zilizokuwa zitoke kama za Aqua man and the lost city ndo itakuwaje
Hii lobo ni character gani tenaNi Aquaman na The flash tu zitakazotoka zingine zote zipo canceled, kwanza Jasom Momoa hataigiza tena as Aquaman baada ya the lost city. James Gunn kashamsainisha kuigiza character ya Lobo
Minasubiri endapo hata ifuta peacemaker nayo itadivide DCU vibaya
Ni character mmoja hivi wa DC anapenda ugomvi kinoma na anaua kwa kuinjoy tu.Hii lobo ni character gani tena
Warner Bros imefirisika hawawezi kuvunja mkataba kirahisi hivyo. Labda asubiri awamu nyingine tuHuyu jamaa afukuzwe tu bora wamrudishe zack aendeleze story yake
Hivu jamaa alikua anakuja kuandaa mazingira ya kitu kikubwa zaidi eeeh?Hapana alionekana kwenye fantastic 4 tu.
Ila nilitamani sana kama ningemuona zaidi
Daaah huyu amekaa kama predator aisee