bravocharlie
JF-Expert Member
- Feb 1, 2020
- 861
- 857
Sema inaelekea alikua hatari sana.Ngoja kwanza nicheke mbona jina kama limekaa kihaya hivi[emoji28][emoji23][emoji23]
Wewe jau kweli 🤣Sema inaelekea alikua hatari sana.
Hayo mavyuma kuyavaa daah na anakojoaje sijui?[emoji28]
Kwenye comics silver surfer alikuwa akitumiwa na galactus japo sio kwa kupenda.Hivu jamaa alikua anakuja kuandaa mazingira ya kitu kikubwa zaidi eeeh?
Iron man aliulizwa hili swali na spider man I think,next movie infinity war eeh tukaona nano suit.Wewe jau kweli [emoji1787]
Yes yesKwenye comics silver surfer alikuwa akitumiwa na galactus japo sio kwa kupenda.
Silver surfer alikuwa anadestroy planets kwa ajili ya Galactus kwa makubaliano kuwa Galactus hatoidestroy planet anakotokea silver surfer.
So kama nakumbuka sawa sawa ni kuna sehemu aliwaonya fantastic four kuhusu huyo Galactus.
Avatar 2[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukiangalia kwa 3D[emoji91][emoji91] wowNapita tu, ila walioangalia Avatar 2 wanasema visual, storyline na cinematography kiujumla zipo iconic
👏Avatar 2[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukiangalia kwa 3D[emoji91][emoji91] wow
Najitahidi nikaangalie ukoAvatar 2[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ukiangalia kwa 3D[emoji91][emoji91] wow
OtappNajitahidi nikaangalie uko
Hivi kuna app ya kuangalia bei na ratiba ya movie cinemax
Pia kati ya mlimani na kule fire ipi iko poa maana nimeangalia cinemax mlimani sijapenda sana na hapo nilikua sijaenda muda nilianzisha tabia ya kusubiria HD
Otapp
Ya Aura ni nzuri
Jamaa kajibu kila kituNajitahidi nikaangalie uko
Hivi kuna app ya kuangalia bei na ratiba ya movie cinemax
Pia kati ya mlimani na kule fire ipi iko poa maana nimeangalia cinemax mlimani sijapenda sana na hapo nilikua sijaenda muda nilianzisha tabia ya kusubiria HD
Barikiwa sanaOtapp
Ya Aura ni nzuri
Naona short and clearJamaa kajibu kila kitu
Shukrani[emoji1666][emoji1666]Barikiwa sana
Msaada otapp inazingua ku register inasema "something went wrong" i thinkShukrani[emoji1666][emoji1666]
Msaada otapp inazingua ku register inasema "something went wrong" i think
Hahaha noma kweli,hapana sijaweza ngoja nilete screenshotDuh usiku ilishapita! Vipi uliweza?
Email na namba ya simu zinafanya kazi vyote? Yaani imekubali