Marvel Cinematic Universe special thread

Marvel Cinematic Universe special thread

asaidiwe huyu mtu mm sion hata pa kuanzia... msipite tu

Asee ebu mnieleweshe hapa kwa Spider Man no way home, wale jamaa waliokuja kutoka sijui wapi si katika movie wamekufa mfano yule mwenye machuma ya miguu alifia kwenye maji, na huyu mwenye kigari kinachopaa aligongwa na hicho kigari kilikuwa na mikuki sijui, sasa humu wazima imekuwaje
Kwanza ni kweli kabisa hao Character wote walikufa kwenye hizo muvi za za mwanzo kasoro Mmoja tu ambae ni Flint Marco/SandMan kwenye Spiderman 3 hakufa.

Sasa ipo hivi!
Baada ya spell ya Doctor Strange kwenda vibaya kilichotokea ni kwamba kila adui wa spiderman kutoka version mbalimbali aliitwa pamoja na Spiderman wake ndio maana walitokea Venom,Goblin na Doc Ock pia kwa version nyingine walitokea Lizard na Electro.
Logic ni kwamba haijalishi walikufa au hawakufa ila ilimradi walikua ni adui wa spiderman kutoka version mbalimbali.

Lakini pia kwa mujibu wa muvi inaonyesha kwamba walitokea kwenye No way home kabla kule kwenye dunia yao hawajauawa ndio maana Peter wa sasa alikua anapambana na doctor strange kuwatibu matatizo yao ili wakirudi dunia yao waiuawe na Spiderman lakini Doctor Strange alikua anamwambia it's their fate kwamba lazima wauawe na Spiderman.

Mfano rahis kama umeona series ya Loki, huku kwenye Endgame alikufa. Lakini kwenye series yupo maana alitoka timeline moja na kwenda nyingine ambapo huko alikua hai na mpaka leo atakua hai
 
FB_IMG_16425217107500581.jpg

MArVeL's DOPpELGanGer

Gilgamesh and Benedict Wong 🤯
 
Kwanza ni kweli kabisa hao Character wote walikufa kwenye hizo muvi za za mwanzo kasoro Mmoja tu ambae ni Flint Marco/SandMan kwenye Spiderman 3 hakufa.

Sasa ipo hivi!
Baada ya spell ya Doctor Strange kwenda vibaya kilichotokea ni kwamba kila adui wa spiderman kutoka version mbalimbali aliitwa pamoja na Spiderman wake ndio maana walitokea Venom,Goblin na Doc Ock pia kwa version nyingine walitokea Lizard na Electro.
Logic ni kwamba haijalishi walikufa au hawakufa ila ilimradi walikua ni adui wa spiderman kutoka version mbalimbali.

Lakini pia kwa mujibu wa muvi inaonyesha kwamba walitokea kwenye No way home kabla kule kwenye dunia yao hawajauawa ndio maana Peter wa sasa alikua anapambana na doctor strange kuwatibu matatizo yao ili wakirudi dunia yao waiuawe na Spiderman lakini Doctor Strange alikua anamwambia it's their fate kwamba lazima wauawe na Spiderman.

Mfano rahis kama umeona series ya Loki, huku kwenye Endgame alikufa. Lakini kwenye series yupo maana alitoka timeline moja na kwenda nyingine ambapo huko alikua hai na mpaka leo atakua hai
Aah sawa nimeshakupata nimeelewa vizuri sana, pengine sehemu ya mwisho Spider-Man anaenda kwenye ule mgahawa wa yule demu wake harafu yani sijui wamemsahau kila mtu pia akaenda kupanga na chumba harafu kwenye kutoka usiku alivaa mavazi mengine ya Spiderman harafu kama akawa yupo alone hivi na huko mwishoni sijaelewa
 
Hebu twende mbele turudi nyuma. Nini maoni yako kwenye movie ya Eternals. Naona inafanya si vizuri sana kama ilivyotegemewa. Nini shida ??
Kuna msukumo mkubwa sana wa kisiasa USA, UK na nchi nyingine za wazungu kwa sasa kuhusu namna gani jamii inapaswa kuishi.

Kuna hawa watu wa mlengo wa kushoto walio kwenye madaraka kwa sasa wanafanya harakati fulani hivi ambazo zenye jina woke movement.

Movement hii inahusu masuala yote ya BLM pamoja na kujumuishwa kwa watu aina mbalimbali ethnic diversity katika siasa, makampuni, uigizaji filamu, walemavu, LGBTQ+ ambapo kwa sasa wanasema gender fluidity ambapo imepelekea kuzitambua jinsia zaidi ya ishirini n. k.

Sasa kama utakua mfuatiliaji mzuri wa Hollywood utagundua kuwa kuna filamu nyingi wanaingiza cast za blacks sana, mashoga na wanawake kwa sana. Hii imepelekea hata filamu za nyuma ambazo waliigiza wanaume wazifanyie re-make ya all female cast kama expandables na zingine kadhaa ambazo bahati mbaya nimesahau majina. Avengers zijazo kuna uwezekano mkubwa waigizaji wakuu wakawa wanawake.

Sasa kinachofanya movie hizo tajwa hapo juu kufanya vibaya ni watu kulalamika kwamba hii gender swap inafanya kufurahisha wanasiasa wa kiliberali bila kuwa na origanality ya jinsia husika katika filamu fulani.

Hizo ndio baadhi ya sababu zilizopelekea kushindwa kwa eternals katika box office. Kutokana na baadhi ya scenes kutokidhi values za baadhi ya nchi ilipelekea kupigwa ban nchi kadhaa za kiarabu (waliambiwa wafute baadhi ya scenes wakagoma) kama kuwait, Qatar, Saudi Arabia n. k. Lakini pigo kubwa ni kulikosa soko la China ambalo kwa sasa ni kubwa kwa box office kuliko la USA.
 
Kuna msukumo mkubwa sana wa kisiasa USA na UK nchi nyingine za wazungu kwa sasa.

Kuna hawa watu wa mlengo wa kushoto walio kwenye madaraka kwa sasa wanafanya harakati fulani hivi ambazo zenye jina woke movement.

Movement hii inahusu masuala yote ya BLM pamoja na kujumuishwa kwa watu aina mbalimbali ethnic diversity katika siasa, makampuni, uigizaji filamu, walemavu, LGBTQ+ ambapo kwa sasa wanasema gender fluidity ambapo imepelekea kuzitambua jinsia zaidi ya ishirini n. k.

Sasa kama utakua mfuatiliaji mzuri wa Hollywood utagundua kuwa kuna filamu nyingi wanaingiza cast za blacks sana, mashoga na wanawake kwa sana. Hii imepelekea hata filamu za nyuma ambazo waliigiza wanaume wazifanyie re-make ya all female cast kama expandables na zingine kadhaa ambazo bahati mbaya nimesahau majina. Captain America yenyewe kuna uwezekano mkubwa waigizaji wakuu wakawa wanawake.

Sasa kinachofanya movie hizo tajwa hapo juu kufanya vibaya ni watu kulalamika kwamba hii gender swap inafanya kufurahisha wanasiasa wa kiliberali bila kuwa na origanality ya jinsia husika katika filamu fulani.

Hizo ndio baadhi ya sababu zilizopelekea kushindwa kwa eternals katika box office. Kutokana na baadhi ya scenes kutokidhi values za baadhi ya nchi ilipelekea kupigwa ban nchi kadhaa za kiarabu (waliambiwa wafute baadhi ya scenes wakagoma) kama kuwait, Qatar, Saudi Arabia n. k. Lakini pigo kubwa ni kulikosa soko la China ambalo kwa sasa ni kubwa kwa box office kuliko la USA.

hiyo sababu uliyoielezea ni sawa sana, ila kingine ulichosahau kusema kuwa Movie ni mbovu tu in general
 
Aah sawa nimeshakupata nimeelewa vizuri sana, pengine sehemu ya mwisho Spider-Man anaenda kwenye ule mgahawa wa yule demu wake harafu yani sijui wamemsahau kila mtu pia akaenda kupanga na chumba harafu kwenye kutoka usiku alivaa mavazi mengine ya Spiderman harafu kama akawa yupo alone hivi na huko mwishoni sijaelewa

Baada ya ku restore kila kitu na ile spell ya Dr strange, wote waliomfaham peter kuwa ni spiderman wakawa wamemsahau ikiwemo demu wake pamoja na mdau wake kwahiyo ndio maana peter yuko peke yake.

Na shangazi yake kafa ambae alikuwa Legal guardian wake kwahiyo ndio maana ukamuona yuko peke ake kurud kuwa a friendly neighborhood Spiderman
 
Hebu twende mbele turudi nyuma. Nini maoni yako kwenye movie ya Eternals. Naona inafanya si vizuri sana kama ilivyotegemewa. Nini shida ??


Ile movie ilikuwa nzuri sana.

Kama ni shabiki wa MCU angalia tu ila usitegemee makubwa
Mlitazama Trailer ya Moonknight??
Niliitazama ila haikunipa hype kama nilivyotarajia ukizingatia pia wameipeleka mbaaali March 30.

Nampenda zaidi moon knight wa kwenye comics version ningependa awe hivo pia kwenye series. Kwanza huyu jamaa Marv Spector ana matatizo ya akili (Dissociative Identity disorder) napenda mambo yanayohusu mental breakdown.

Kutokana na ugonjwa wake wa akili hua anafanya mambo ya ajabu kweli ambayo hakuna superhero mwingine anaweza kufanya labda kidogo Deadpool.

Kwa mfano hua anavaa nguo nyeupe ili maadui wake wamuone vizuri akiwa anawajia Batman yeye huvaa nguo nyeusi ili asionekane.

Ukimpiga ukamzidi anaweza kukuacha umpige mpaka uvunje mkono au uteuke. Taskmaster hua haCopy mapigano ya Moonknight kwasababu hua anaweza ukampiga ngumi halafu asiikwepe. Yaani ni gaidi fulani hivi asiyejielewa.

Btw naona moja ya actor Aliyeigiza character ya Midnight man kwenye hii series kafariki juzi 19Jan kwa ajali. RIP
 
Mlitazama Trailer ya Moonknight??
Niliitazama ila haikunipa hype kama nilivyotarajia ukizingatia pia wameipeleka mbaaali March 30.

Nampenda zaidi moon knight wa kwenye comics version ningependa awe hivo pia kwenye series. Kwanza huyu jamaa Marv Spector ana matatizo ya akili (Dissociative Identity disorder) napenda mambo yanayohusu mental breakdown.

Kutokana na ugonjwa wake wa akili hua anafanya mambo ya ajabu kweli ambayo hakuna superhero mwingine anaweza kufanya labda kidogo Deadpool.

Kwa mfano hua anavaa nguo nyeupe ili maadui wake wamuone vizuri akiwa anawajia Batman yeye huvaa nguo nyeusi ili asionekane.

Ukimpiga ukamzidi anaweza kukuacha umpige mpaka uvunje mkono au uteuke. Taskmaster hua haCopy mapigano ya Moonknight kwasababu hua anaweza ukampiga ngumi halafu asiikwepe. Yaani ni gaidi fulani hivi asiyejielewa.

Btw naona moja ya actor Aliyeigiza character ya Midnight man kwenye hii series kafariki juzi 19Jan kwa ajali. RIP
Movie ni nzuri sana ni

Fantansy


Mungu wa mwezi ..Egyptian God of moon khonshu anamtumia jamaa kama vessels kupigana na mythical creatures kwakua jamaa ana Dissociative identity disorder anakuwa na multiple personality hivyo anakuwa dangerous

Na matendo anayofanya hajui anajikuta tu ameshtuka sehemu that why kwenye trailer unaoa anasema nahisi ninaanza kuchanganyikiwa siwezi kutofautisha nikiwa nimelala na kuamka that's why Kuna scene amejifunga mguuni kwenye kitanda maana mwanzo alikuwa anajua ni sleep working

Na khonshu kwenye scene anaonekana na pia hii movie Ina introduce dark side of marvel zikifuatiwa na Dr strange multiverse of madness , Blade ,etc



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Movie ni nzuri sana ni

Fantansy


Mungu wa mwezi ..Egyptian God of moon khonshu anamtumia jamaa kama vessels kupigana na mythical creatures kwakua jamaa ana Dissociative identity disorder anakuwa na multiple personality hivyo anakuwa dangerous

Na matendo anayofanya hajui anajikuta tu ameshtuka sehemu that why kwenye trailer unaoa anasema nahisi ninaanza kuchanganyikiwa siwezi kutofautisha nikiwa nimelala na kuamka that's why Kuna scene amejifunga mguuni kwenye kitanda maana mwanzo alikuwa anajua ni sleep working

Na khonshu kwenye scene anaonekana na pia hii movie Ina introduce dark side of marvel zikifuatiwa na Dr strange multiverse of madness , Blade ,etc



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sleep walking not working

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hebu twende mbele turudi nyuma. Nini maoni yako kwenye movie ya Eternals. Naona inafanya si vizuri sana kama ilivyotegemewa. Nini shida ??
Movie ya eternals ni nzuri kwa upande wangu na ime expand marvel cinematic universe imeonyesha how universe started at some point

Na pia tunakuja kujua thanos alikuwa sahihi sema njia aliyoitumia ni misguided lengo lake lilikuwa sio kupunguza population ili planet zi save resources no
Alikuwa ana delay emergency of celestial ktk planets ambazo mbegu zao celestial prime arishem amezipanda maana emergency means kungekuwa na destruction of whole planets hivyo extinction and new planets born so ye Ali save hilo

Na thanos ni mmoja ya eternal ambao waliomua kwenda kuishi Titan kaka yake ndio yule kwenye end credit scene star fox unaona anajitambulisha kwa wale eternals walioamua kuwatafuta wengine wa librate other eternals Kama revolution against celestials yaan wasiwatii Tena .


Sasa eternals namba 2 itakuwa hatari [emoji2] na hivi arishem amesema atarudi kui judge earth Hapo balaa ndio litaanza

Nani ataweza pambana na celestial ?

Labda yupo kama kwenye GOG vol 1 tunaona kichwa cha celestial kule wanakuita nowhere Ina maana yupo aliyekikata yupo alipambana nae nani ?



Sasa hapo marvel ndio itazidi kuwa balaa wakimtoa Galactus kwenye comics wakamleta kwenye movies

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa hivi mrvel tupo phase ya multverse mimi nahisi wale waliofariki kama iron man na black widow watakuja wenzao ambao wanao fanana nao kutoka earth nyinginekama tumeona dr strange antokea mtu alifanana nae au spiderman tumeona wametoke watatu mimi nadhani watakuja nao
Tunawaita variants ( reference from loki season ) Inawezekana na tetesi inasemekana watakuwa hawa variants wengi kwenye Dr strange 2



Na multiverse war the next big villain after thanos ni kang the conquer ambaye character yake kaicheza Jonathan majors na atakuwepo kwenye ant man 3


Kwenye loki variant ya kang anawaambia mi ni mpole ngojeni mkutane na variant wangu

Walivyomuua akawaambia see you soon mamaee [emoji2] nyie marvel acheni kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mambo yana changamka kweli kweli.

"Things just go out of hand.." - Steven strange, supreme.

Tumeingia ngoma ya wakubwa saivi daah marvel imetoka mbali sana alafu kama utani vile kumbe ndio mwendo ulivyo.
 
Tunawaita variants ( reference from loki season ) Inawezekana na tetesi inasemekana watakuwa hawa variants wengi kwenye Dr strange 2



Na multiverse war the next big villain after thanos ni kang the conquer ambaye character yake kaicheza Jonathan majors na atakuwepo kwenye ant man 3


Kwenye loki variant ya kang anawaambia mi ni mpole ngojeni mkutane na variant wangu

Walivyomuua akawaambia see you soon mamaee [emoji2] nyie marvel acheni kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Hivi series ya Loki inaendelea?
 
Tunawaita variants ( reference from loki season ) Inawezekana na tetesi inasemekana watakuwa hawa variants wengi kwenye Dr strange 2



Na multiverse war the next big villain after thanos ni kang the conquer ambaye character yake kaicheza Jonathan majors na atakuwepo kwenye ant man 3


Kwenye loki variant ya kang anawaambia mi ni mpole ngojeni mkutane na variant wangu

Walivyomuua akawaambia see you soon mamaee [emoji2] nyie marvel acheni kabisa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Niliona theory moja wakasema kwenye end of Multiverse of Madness inawezekana Kang akaja akamdefeat Strange kiurahisi na halafu atamfungia kwahiyo strange atagone missing...

Baadae atahitajika kutokana na knowledge yake aliyonayo kuhus Multiverse, inabid Antman na Wasp waende kumuokoa strange kutoka alikofungiwa kwahiyo ndio movie antman Quantumania inazaliwa hapo

Yaani Marvel kila siku inazid kuwa haishikiki na kuhusu Moon Knight nahis itakuwa nzuri kuna vitu ntaweza ku relate
 
Hivi series ya Loki inaendelea?
Ndio inaendelea season 2

Maana silvie alimuua he who remain ( kang variant) huyu ni variant wa kang ni mpole sio adui ndio alikuwa ana protect time hivyo akaharibu flow of time na aka create multiverse na Ile organization ya ku protect time yaan TVA iko kwenye chaos

Na tunaona mwishoni loki anawaonya kang variants wake wanakuja


Na mwisho kwenye maandishi wanaandika loki will return



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Niliona theory moja wakasema kwenye end of Multiverse of Madness inawezekana Kang akaja akamdefeat Strange kiurahisi na halafu atamfungia kwahiyo strange atagone missing...

Baadae atahitajika kutokana na knowledge yake aliyonayo kuhus Multiverse, inabid Antman na Wasp waende kumuokoa strange kutoka alikofungiwa kwahiyo ndio movie antman Quantumania inazaliwa hapo

Yaani Marvel kila siku inazid kuwa haishikiki na kuhusu Moon Knight nahis itakuwa nzuri kuna vitu ntaweza ku relate
Inawezekana maana

Multiverse war ni ya kang na anajaribu ku set matukio ili kuleta chaos maana ana uwezo wa time travel so Kama starange atakuwa threat na obstacle kwake anaweza kumfungia

Maana pia ye ndio aliiweka zile rings kwenye tombs baba ake Shang chi akazikuta akaazisha organization crimes ten rings hapo lengo la chaos linatimia kwake kwenye comics wanasema alizukuta kwenye alien ship ya mukullan race sasa pale mwishoni kwenye end credit scene Dr banner na Wong na Denver walikuwa wanasema hazijulikani zina mda gani zaidi ya ma 1000 na kuzid na kang nae anatoka 31st century na pale mwishoni zilikuwa zinasend signal Shaun anauliza kwa nani ? [emoji1787] Hawajui

Ila hapo sasa ni kwa mzee mzima kang au mukullan race waje hapo hatujajua

Sasa sijajua na lile jambazi Dr strange supreme atauliwa au itakuwaje maana kwenye season ya what if halikufa instead lilibadili moyo liliamua nalo ku protect multiverse sasa sijajua kwenye DS 2 wataungana against kang au vip na pia bado hii na chairman wa marvel Kevin feige amesema ile season ni canon to other marvel movies ita relate kwa kiasi kikubwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Sasa sijajua na lile jambazi Dr strange supreme atauliwa au itakuwaje maana kwenye season ya what if halikufa instead lilibadili moyo liliamua nalo ku protect multiverse sasa sijajua kwenye DS 2 wataungana against kang au vip na pia bado hii na chairman wa marvel Kevin feige amesema ile season ni canon to other marvel movies ita relate kwa kiasi kikubwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Naomba wasimuue tu maana kukiwa Strange Supreme akiwa anafight alongside strange dah sitapati picha. Zile Ten rings zitaplay part kama unavyosema credit scene ni mwanzo wa movie nyingine

MCU ni huge yaani kila siku naona ndio we are getting started it keeps getting better and better sema ila credit scene ya Eternals Harry styles yeye kama eternal mbona niliona kama ni uamuz wa hatari hivi
 
Back
Top Bottom