Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Mary Chatanda amtuhumu Mzee Joseph Butiku kuwa amehongwa kupinga mkataba wa Bandari

Wewe huu ndo msimamo wako na wengine..
Lakini wapo wanaopinga kabisa uwekezaji..
Sio kweli usemacho. We msimamo wako ni kutetea uwekezaji wa hii kampuni na sio uwekezaji kwa maana ya uwekezaji. Kilio cha wengi ni kuhusu huo mkataba na sio uwekezaji. Na huo mkataba hauwezi kurekebishwa, kwani ni watanzania wenzetu waliokuja kwa mgongo wa hao DP World. Kelele ama njia nyingine yoyote ndio itaweza kuzuia huu wizi kwa kichaka cha uwekezaji.
 
Komredi Butiku alikuwa wapi kuhoji tenda ya ARAB CONTRACTORS kupewa wamisri wa bwawa la mwalimu Nyerere kipindi cha awamu ya 5?!!!
Hao Arab Contractors wamekuja kujenga tu bwawa, likiisha wanaondoka na wala hawatasimia uendeshaji wa hilo bwawa milele. Au unadhani hatujui tofauti ya mikataba?
 
Sio kweli usemacho. We msimamo wako ni kutetea uwekezaji wa hii kampuni na sio uwekezaji kwa maana ya uwekezaji. Kilio cha wengi ni kuhusu huo mkataba na sio uwekezaji. Na huo mkataba hauwezi kurekebishwa, kwani ni watanzania wenzetu waliokuja kwa mgongo wa hao DP World. Kelele ama njia nyingine yoyote ndio itaweza kuzuia huu wizi kwa kichaka cha uwekezaji.
Pengo hajasema kama Mkataba urekebishwe kasema why hatuwezi kuendesha bandari wenyewe..
Shivji kasema serikali haishindwi inafanya kusudi ili kuuza...
Hao ni wachache katika Wengi ambao hawataki kabisa uwekezaji wa Aina yeyote... wanataka serikali ifanye
 
Tangu mjadala umenza nitajie jina la mtu aliyepinga uwekezaji. wote niliowasikia mimi wanaunga mkono uwekezaji lakini wanapinga aina vipengele vya mkataba
Kenya, kanisa, wakristo wote, wanyarwanda, mawakili wa mchongo nk nk nk

Na ni kwa sababu wanafaidika sanaaaa
Sasa mirija inaenda kuzibwa
 
Pengo hajasema kama Mkataba urekebishwe kasema why hatuwezi kuendesha bandari wenyewe..
Shivji kasema serikali haishindwi inafanya kusudi ili kuuza...
Hao ni wachache katika Wengi ambao hawataki kabisa uwekezaji wa Aina yeyote... wanataka serikali ifanye
Ndo watoe majibu ya hizo WHY zao..!! Shida ipo wapi?
 
Mary Chatanda amtuhumu Butiku.


Ukisoma tu hivyo unabakia kucheka.

Pesa inaondoa utu wa mwanadamu.
 
Aisee... Yani nchi ilipofika ni kama taifa la mbumbu watupuu.,

Yani hakuna anayejibu hoja. Wote wanaropoka... Ni hatari.
 
Komredi Butiku alikuwa wapi kuhoji tenda ya ARAB CONTRACTORS kupewa wamisri wa bwawa la mwalimu Nyerere kipindi cha awamu ya 5?!!!
Oyaa jamaa kazi wamemaliza kule almost 90% ya kazi tayari na maji yashaanza kuingia...

Nje ya maada
 
Pengo hajasema kama Mkataba urekebishwe kasema why hatuwezi kuendesha bandari wenyewe..
Shivji kasema serikali haishindwi inafanya kusudi ili kuuza...
Hao ni wachache katika Wengi ambao hawataki kabisa uwekezaji wa Aina yeyote... wanataka serikali ifanye
Kwasababu wanajua viongozi wetu ni wahuni, wanatumia mwanya wa uwekezaji kwa kutuzunguka. Hao uliowataja wanajua fika hao DP world ni bosheni tu, bali viongozi wetu na kina Rostam ndio wenye hiyo deal.

Hivyo hawawezi kuwataja wazi wazi viongozi, na ukweli wa kinachoendelea kutokana na utamaduni uliojengwa wa kuoneana aibu kwenye kuweka ukweli hadharani. Wakati mwingine hata kuhofia usalama wao iwapo wataongeza ukweli.
 
Back
Top Bottom